UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Astonishing,
Very Astonishing Claims to make,
Mods watueleze,hapa ni mahala rasmi kwa kuja kukejeli dini yetu waislam?uzi huu umeanzishwa ili uje kukejeli iman za watu?
Na siku zote huwa nawauliza Mods kwa vipi huwa wanafumbia macho mambo ya kipuuz kama haya na kuja kuyafunga baadae ili hali inakua hisia za watu tayari zishaumizwa?
Huyu hapa anakuja kusema kwamba uislam ndio unasabababisha kila aina ya maovu na machafu kutokana na ahadi za mafundisho ya dini hii,hizi si ni dharau?

Wale wanaamrisha kufungisha ndoa za jinsia moja na ushoga ni waislam?
Wanaopigana vita uganda na Lord Resistance army kwa ishara ya kutetea amri kumi za mungu ni waislam?
waliovamia Iraq kwa kusema nchi hiyo ina weapons of mass destruction na uhusiano na alqaeda ni waislam?
Waliokaswagwa wanyarandwa makanisani na kuwatupa sadaka wauwawe kwenye ile genocide ni waislam?

Waliokuja kufanya biashara ya utumwa na kuwachukua millions of african people kwenda america na sehemu zingine tena kwa kusomewa vifungu vya maneno matakatifu ni waislam?

Analeta propaganda zake kwamba waislam wana miadi ya kuwaangamiza waamin wa iman zingine ili wapate malipo wapi anayatoa mambo haya,aangalie sehemu zilizo na waislam na zenye machafuko kisha aangalie mkono wa america ukoje sehemu hizo,
na aangalie sehemu zilizo na utulivu kisha apime kipi kinasababisha sehemu hizo kuwa ivo,

Lawama hizi za matusi kejeli na udhalilishaji mimi nawabebesha mods,kwa kuwa ndie ambao wanaruhusu watu kuja kujadili mambo ya kijinga na kipuuzi huku wakipuuzia,hebu jiulize nin mantik ya uzi huu,
Mtu mmoja mpuuz mpuuz na kila mtu anamfaham aje hapa na kusema ye kafanya research,research ipi,si ni huyu huyu alikuja kusema kapata ufadhili na ubalozi wa marekani kuandika mambo ya ugaidi,alisema haya hapa jukwaani na mara baada ya kubanwa na kuulizwa uhalisia akaishia kuuma uma maneno,ana credibility gani ya kusimama mbele yetu na kuzungumza utumbo wake hapa,
Ajabu kuna watu wanakuja mpongeza na kumwona wa maana kwa lipi?

Mtu anakuja kuongopea hata nasaba isiyo ya kwake ili aishi kwa utapeli mjin hapa,nani hajui kuwa huyu ni m'babaishaji tuh?
Anakuja kuongopa yeye ni C.E.0 wa kampuni ili hali ni fundi mchundo tuh?nani amuamin,
Hana elimu,hana kazi ya maana,kutwa kuchwa anashinda mitandaoni,sijui muda wa kujishughulisha anaupata wapi kama sio utapeli,
Sasa kama watu wamekosa vya kuzungmza wasianze kutaka kusababisha farki na chuki kwenye jamii,ni watu wapuuz tuh wanaweza kuwaza kwa akili fupi kama hizi.
Ndugu yangu,

Punguza itikadi za kidini katika mjadala huu ili uende sambamba nasi,


Ukiendelea hivyo utaumiza sana moyo wako tena sana!
 
As a muslim,
As a believer of islam,
As a follower of islam,
I can say that i will stand as an ambassador for islam netc,

we want to apologize,we want to apologize to the world,

1.kwa kuua millions of people in hiroshima & nagasaki,
2.tunaapologize kwa kuua millions of jews enzi hizo za utawala wa hitler,
3.tunaaopologize kwa kuwatumikisha watoto wadogo hhuko uganda msituni katika vita vya kusimamisha amri kumi za mungu kunakofanywa na joseph koni na kuacha maafa ya kina mama na watoto pamoja na wajane,

4.tunaapoligize kwa political instability iliyosababisha mmiddle east kwa kusema kwamba nchi hzo zinamiliki silaha za maangamizi ili hali hakukua na ukweli katika hilo na kusababisha mauaji ya maelfu wa kina mama na watoto wasio na hatia,

5.tunaapologize kwa mauaji ya rohingya muslms yanayofanywa kila leo huko myanmar huku jamii ya kimataifa ikikaa kimya na kufumba macho,

6.tunaapologize kwa kufanywa kwa biashara ya utumwa iliyosababisha kufa kwa millions of africans na wengine kuondoshwa na kupelekwa sehem zisizo zao bila hiyari yao,

7.tuna apologize kwa maovu ya kufungishwa ndoa za jiinsia moja na ndo za mashoga zinazoamrishwa na vitvitabu vya dini yetu,

8,tunaapologize kwa kuanzishwa kwa bakwata bila ridhaa ya watanzania na kuwekwa kinyemela ndan ya milki ya kodi za watz ili kuwabana waislam kwenye mambo yao,kwa kweli tunaapologize kwa mengi sana.

Ila tunachosema ni kwamba mwisho wa siku ukweli utadhihiri na uhalisia utafahamika,
Sisi hatuna muda wala nafasi ya kuzungumza na watu waliokosa weledi wa kuzungumza mambo yenye tija na yenye kujenga,na sisi tunaufaham uhalsia ulivyo na nguvu ya propaganda na ujinga katika kuupaka matope na kuupiga vita uislam na waislam,hayajaanza leo,na hayatakua ya mwsho,
Si kweli kwamba muislam adui yake ni mtu asie muislam si kweli hata kidogo,na ukweli wa haya mambo yamenza karne hiz kuonekana,
Uislam umeanza shamiri tokea karne ya 16,hatukuskia vurugu na umwagani damu miaka hiyo iweje tuje kuskia leo karne ya 21?
We are peaceful to someone who is peaceful with us,
We are torelant to somebody who is torelant with us,
We dont stil,we dont gamble,we are strictly prohibited to kill the life of innocent living organism sembuse mwanadamu mwenzetu?
Nadhan kama watu wana mission yao tuwekane wazi sasa,na nadhani kama jukwaa hili limekua ngao ya kustawisha mission hii tuwekane wazi pia.
 
Ndugu yangu,

Punguza itikadi za kidini katika mjadala huu ili uende sambamba nasi,


Ukiendelea hivyo utaumiza sana moyo wako tena sana!

Unatengeneza Farki kwenye jamii ya watanzania na kusababisha watu wako waje kuitukana iman yangu na kuikejeli huku ukidhan vip sasa,mimi nikae kimya niache kusema ukweli?
Nikae kimya niache kuzungumza uhalisia wa dini yangu,
Kama ulikua huna nia ya kuchochea mihemko ya dini,ni nin mantik ya huu upuuzi wako uliouweka hapa?
Hii research umeifanya wapi,?wewe kwa akili yako unaona hii ni research ya kuja nayo kuwachokonoa wenzako waje wajadili?
Haya mambo mbona yameshazungumzwa na kutolewa ufafanuz ni nani kakuambia anatoa lawama na kukuomba wewe uende ukafanye huu unaosema ni utafiti?

sasa skia kijana,sisi tuna mambo yetu mengi sana ya kufanya.labda kama wewe umekosa kazi na kuanza kushadadhia utumbo kama huu,na kweli kabisa unaonesha huna kazi,

Kila nchi ina historia yake,kila watu wana origin yao,sisi origin yetu ni tanzania,na hizi dini zimetukuta tanzania hapa,tunataka kuijenga tanzania iwe sehemu bora ya kuish kwa kizazi hiki na kizazi kijacho,haya unayoyafanya hayajengi yanabomoa,yangekua ya maana basi kama yangekua yana uhalisia,lakin hayana uhalisia kitu kinachoonekana kwamba umekuja mah'susi na lengo lako maalum,
madhila ambayo yamewakuta waislam,au tuseme waumin wa iman mbali mbali humu nchin sio siri,zipo takwimu zenye uhakika na uthibitisho juu ya mambo haya,kuanza kuleta propaganda na maneno yalikosa uthibitisho ni kujenga tatizo lingine na sio kutatua,

Tena nakupa favor sana kujadiliana naww hapa,na lait kama ungekua haujaugusa uislam wangu usingeniona kabisa nakuja kujadili huu upuuzi,kwani kwa kweli miongon mwa watu ambao niwadharau na kuwahurumia wewe ni miongon mwao,
i call you as PEOPLE WITH SAD DESTINY...
Hujui unataka nin,hujijui wewe mwenyewe,hutambui vipaombele vya maisha yako na jamii yako,
Thats why nakuambia tafuta shughuli ya kufanya,nafas ya kuacess mitandao uliyoipta itumie kwa tija na sio kwa ulimbuken kama hivi unavofanya...

1.tulikuumbua kuhusu kuongopa nasaba yako,pale uliposema wewe ni mtoto wa julius kambarage,na baadae ukaja kuomba radhi na kuisema nasaba yako halali,unakumbuka?do you think that was funny?

2.tulikuumbua kuhusu elimu yako na kazi yako na uongo uliokawa unaongopea kwa watu,umesahau?kwanin sasa unajitoa ufaham?

Huoni sasa ni muda muafaka wa kuacha ubabishaji na kuish maisha yako?

Matter of fact unatia kichefu chefu sana kijana..
 
As a muslim,
As a believer of islam,
As a follower of islam,
I can say that i will stand as an ambassador for islam netc,

we want to apologize,we want to apologize to the world,

1.kwa kuua millions of people in hiroshima & nagasaki,
2.tunaapologize kwa kuua millions of jews enzi hizo za utawala wa hitler,
3.tunaaopologize kwa kuwatumikisha watoto wadogo hhuko uganda msituni katika vita vya kusimamisha amri kumi za mungu kunakofanywa na joseph koni na kuacha maafa ya kina mama na watoto pamoja na wajane,

4.tunaapoligize kwa political instability iliyosababisha mmiddle east kwa kusema kwamba nchi hzo zinamiliki silaha za maangamizi ili hali hakukua na ukweli katika hilo na kusababisha mauaji ya maelfu wa kina mama na watoto wasio na hatia,

5.tunaapologize kwa mauaji ya rohingya muslms yanayofanywa kila leo huko myanmar huku jamii ya kimataifa ikikaa kimya na kufumba macho,

6.tunaapologize kwa kufanywa kwa biashara ya utumwa iliyosababisha kufa kwa millions of africans na wengine kuondoshwa na kupelekwa sehem zisizo zao bila hiyari yao,

7.tuna apologize kwa maovu ya kufungishwa ndoa za jiinsia moja na ndo za mashoga zinazoamrishwa na vitvitabu vya dini yetu,

8,tunaapologize kwa kuanzishwa kwa bakwata bila ridhaa ya watanzania na kuwekwa kinyemela ndan ya milki ya kodi za watz ili kuwabana waislam kwenye mambo yao,kwa kweli tunaapologize kwa mengi sana.

Ila tunachosema ni kwamba mwisho wa siku ukweli utadhihiri na uhalisia utafahamika,
Sisi hatuna muda wala nafasi ya kuzungumza na watu waliokosa weledi wa kuzungumza mambo yenye tija na yenye kujenga,na sisi tunaufaham uhalsia ulivyo na nguvu ya propaganda na ujinga katika kuupaka matope na kuupiga vita uislam na waislam,hayajaanza leo,na hayatakua ya mwsho,
Si kweli kwamba muislam adui yake ni mtu asie muislam si kweli hata kidogo,na ukweli wa haya mambo yamenza karne hiz kuonekana,
Uislam umeanza shamiri tokea karne ya 16,hatukuskia vurugu na umwagani damu miaka hiyo iweje tuje kuskia leo karne ya 21?
We are peaceful to someone who is peaceful with us,
We are torelant to somebody who is torelant with us,
We dont stil,we dont gamble,we are strictly prohibited to kill the life of innocent living organism sembuse mwanadamu mwenzetu?
Nadhan kama watu wana mission yao tuwekane wazi sasa,na nadhani kama jukwaa hili limekua ngao ya kustawisha mission hii tuwekane wazi pia.

Umesahau kuomba radhi kwa propaganda za kuwa Tanzania ni ya mfumo kristu
 
Heshima mbele Mkuu Yericko Nyerere, naona umetafiti zaidi kwa kuangalia mfumo wenyewe au majina/imani ya walio kwenye nafasi fulani? Kama lengo lilikuwa takwimu za wangapi wako wapi, basi umethibitisha madai ya wale jamaa kuwa wao ni wengi zaidi kwenye sensa, vinginevyo ungekwenda mbali zaidi ukatafiti mfumo wa uchumi na utawala ambao kiuhalisia umerithiwa toka kwa waliotutawala.
Utafiti wake hausemi lolote kuhusu idadi ya waislamu nchini... Wala wakristu nchini..
 
Unatengeneza Farki kwenye jamii ya watanzania na kusababisha watu wako waje kuitukana iman yangu na kuikejeli huku ukidhan vip sasa,mimi nikae kimya niache kusema ukweli?
Nikae kimya niache kuzungumza uhalisia wa dini yangu,
Kama ulikua huna nia ya kuchochea mihemko ya dini,ni nin mantik ya huu upuuzi wako uliouweka hapa?
Hii research umeifanya wapi,?wewe kwa akili yako unaona hii ni research ya kuja nayo kuwachokonoa wenzako waje wajadili?
Haya mambo mbona yameshazungumzwa na kutolewa ufafanuz ni nani kakuambia anatoa lawama na kukuomba wewe uende ukafanye huu unaosema ni utafiti?

sasa skia kijana,sisi tuna mambo yetu mengi sana ya kufanya.labda kama wewe umekosa kazi na kuanza kushadadhia utumbo kama huu,na kweli kabisa unaonesha huna kazi,

Kila nchi ina historia yake,kila watu wana origin yao,sisi origin yetu ni tanzania,na hizi dini zimetukuta tanzania hapa,tunataka kuijenga tanzania iwe sehemu bora ya kuish kwa kizazi hiki na kizazi kijacho,haya unayoyafanya hayajengi yanabomoa,yangekua ya maana basi kama yangekua yana uhalisia,lakin hayana uhalisia kitu kinachoonekana kwamba umekuja mah'susi na lengo lako maalum,
madhila ambayo yamewakuta waislam,au tuseme waumin wa iman mbali mbali humu nchin sio siri,zipo takwimu zenye uhakika na uthibitisho juu ya mambo haya,kuanza kuleta propaganda na maneno yalikosa uthibitisho ni kujenga tatizo lingine na sio kutatua,

Tena nakupa favor sana kujadiliana naww hapa,na lait kama ungekua haujaugusa uislam wangu usingeniona kabisa nakuja kujadili huu upuuzi,kwani kwa kweli miongon mwa watu ambao niwadharau na kuwahurumia wewe ni miongon mwao,
i call you as PEOPLE WITH SAD DESTINY...
Hujui unataka nin,hujijui wewe mwenyewe,hutambui vipaombele vya maisha yako na jamii yako,
Thats why nakuambia tafuta shughuli ya kufanya,nafas ya kuacess mitandao uliyoipta itumie kwa tija na sio kwa ulimbuken kama hivi unavofanya...

1.tulikuumbua kuhusu kuongopa nasaba yako,pale uliposema wewe ni mtoto wa julius kambarage,na baadae ukaja kuomba radhi na kuisema nasaba yako halali,unakumbuka?do you think that was funny?

2.tulikuumbua kuhusu elimu yako na kazi yako na uongo uliokawa unaongopea kwa watu,umesahau?kwanin sasa unajitoa ufaham?

Huoni sasa ni muda muafaka wa kuacha ubabishaji na kuish maisha yako?

Matter of fact unatia kichefu chefu sana kijana..

Kunijadili mimi unapoteza mda wako na malighafi tu,

Mada ipo hapo, ukweli wa uongo wenu upo hapo!

Teteeni dhana yenu ya mfumo kristu ama sivyo kaeni kimya!
 
Haijakidhi vigezo..batili hii..kariakoo kuna maduka laki 4..fikiria
 
Kunijadili mimi unapoteza mda wako na malighafi tu,

Mada ipo hapo, ukweli wa uongo wenu upo hapo!

Teteeni dhana yenu ya mfumo kristu ama sivyo kaeni kimya!

Wewe hujafikia level ya kujadiliwa,
Because you are no body,you got no identity,
Wewe ni wa kuhurumiwa,
Thas why i call you as A Somebody with Sad Destiny,
Wapelekee mafundi mchundo wenzako utafit huu muujadili,
Watu wenye akili zao timamu washakupuuza tokea mda mrefu sana,
Needless to say that huna unalolijua,na hujui kuwa huna unalolijua,you have lost your mind.
 
Utafiti wake hausemi lolote kuhusu idadi ya waislamu nchini... Wala wakristu nchini..

Nililiepuka hilo kwa maksudi tu,

Niliamua kushughulika na dhamira tajwa ambayo ni mfumo kristu kwakuangalia sekta zinazoongozwa na serikali!

Na hata ukisoma huo utafiti sijaweka hitimisho, nimeacha watu wafanye hesabu wao kisha wapate jibu walitakalo
 
Wewe hujafikia level ya kujadiliwa,
Because you are no body,you got no identity,
Wewe ni wa kuhurumiwa,
Thas why i call you as A Somebody with Sad Destiny,
Wapelekee mafundi mchundo wenzako utafit huu muujadili,
Watu wenye akili zao timamu washakupuuza tokea mda mrefu sana,
Needless to say that huna unalolijua,na hujui kuwa huna unalolijua,you have lost your mind.

Mimi sina vigezo vya "kujadiliwa"?

Na hapa unafanya nini? Tangu ulipoanza kuchangia bandiko lako la kwanza ulipoiona tu mada hii umeanza kwa mipasho kuja kwangu, eti unasema huwezi kunijadili?

Hahaahaa nilikwambia mada hii usipokuwa makini inaweza kukuletea ugonjwa wa kihoro ghafla
 
Mimi naomba niseme ukweli japo kuna ambao wata chukia. Ukweli ni kwamba kutokana ma sababu mbali mbali Waislamu(ma si wa Tanzanja tu) wako very sensitive kwenye maswala ya imani yao. Wanakua na hisia kali mno ambayo saa nyingine husababisha jazba na kukurupuka. Ndio maana si rahisi kusikia Wakristo wakiandamana kisa Yesu katukanwa au biblia ime chomwa moto lakini kwa wenzetu ni jambo la kawaida kuandamana na hata kuua kisa mtu mmoja au watu wachache wamemtukana Mohammad au kuchoma moto kurani.

Sasa basi turudi kwa Tanzania. Kutokana na hisia kali za Waislamu kutokana na dini yao ni rahisi watu wachache wenye maslahi binafsi kutoa matamko na kuwa tumia Waislamu vibaya. Kama mtakua mmesoma critical thinking au philosophy mtakua mnajua nadharia za ethos/emotions (kubishana kwa kuteka hisia za watu) na logos/logic (kutumia logic kwenye ubishi). Sasa kutokana na wenzetu kuwa na emotions kali ukiwaambia chochote kuhusu dini yao badala ya kukaa chini na kutafakari wana tumia hisia mno. Je Tanzania ni mara ngapi kuona Wakristo kama Wakristo kuandamana? Je mara ngapi tumeona Waislamu wakifanya hivyo?

Mimi siwalaumu wenzetu kuwa na hisia kali na dini zao. Ni jambo jema. Lakini watambue kwamba ulimwengu kuna watu wa aina mbali mbali. Wasitumie hisia kali kutokana na matamko au vitendk vya wajinga wachache. Kwa hili ningeomba wapunguze papara na jazba na watambue kuna watu wanao tumia dini kwa maslahi binafsi. Sio kila mtu mwenye imani sawa na wewe ana nia njema na wewe. Usimsikilize mtu kisa tu ana abudu kwenye jengo sawa na wewe na usimpuuzw mwingine kisa tu hana imani sawa na wewe.

Najua kuna wachache wata nijibu kwa jazba (nategemea hilo nisha lielezea hili hapo juu) lakini natumia mtu akitulia na kutafakari ataona kuwa kuna kwa ukweli fulani kwenye maneno yangu.
 
h ahahaha..ndugu zanguni waislam mnaogopa sana ukweli kwa sababu ya INFERIORITY COMPLEX na kuona ukweli ni kama mmekashifiwa au kutukanwa hiyo pia ni moja kati ya dalili za UPUMBAVU

Astonishing,
Very Astonishing Claims to make,
Mods watueleze,hapa ni mahala rasmi kwa kuja kukejeli dini yetu waislam?uzi huu umeanzishwa ili uje kukejeli iman za watu?
Na siku zote huwa nawauliza Mods kwa vipi huwa wanafumbia macho mambo ya kipuuz kama haya na kuja kuyafunga baadae ili hali inakua hisia za watu tayari zishaumizwa?
Huyu hapa anakuja kusema kwamba uislam ndio unasabababisha kila aina ya maovu na machafu kutokana na ahadi za mafundisho ya dini hii,hizi si ni dharau?

Wale wanaamrisha kufungisha ndoa za jinsia moja na ushoga ni waislam?
Wanaopigana vita uganda na Lord Resistance army kwa ishara ya kutetea amri kumi za mungu ni waislam?
waliovamia Iraq kwa kusema nchi hiyo ina weapons of mass destruction na uhusiano na alqaeda ni waislam?
Waliokaswagwa wanyarandwa makanisani na kuwatupa sadaka wauwawe kwenye ile genocide ni waislam?

Waliokuja kufanya biashara ya utumwa na kuwachukua millions of african people kwenda america na sehemu zingine tena kwa kusomewa vifungu vya maneno matakatifu ni waislam?

Analeta propaganda zake kwamba waislam wana miadi ya kuwaangamiza waamin wa iman zingine ili wapate malipo wapi anayatoa mambo haya,aangalie sehemu zilizo na waislam na zenye machafuko kisha aangalie mkono wa america ukoje sehemu hizo,
na aangalie sehemu zilizo na utulivu kisha apime kipi kinasababisha sehemu hizo kuwa ivo,

Lawama hizi za matusi kejeli na udhalilishaji mimi nawabebesha mods,kwa kuwa ndie ambao wanaruhusu watu kuja kujadili mambo ya kijinga na kipuuzi huku wakipuuzia,hebu jiulize nin mantik ya uzi huu,
Mtu mmoja mpuuz mpuuz na kila mtu anamfaham aje hapa na kusema ye kafanya research,research ipi,si ni huyu huyu alikuja kusema kapata ufadhili na ubalozi wa marekani kuandika mambo ya ugaidi,alisema haya hapa jukwaani na mara baada ya kubanwa na kuulizwa uhalisia akaishia kuuma uma maneno,ana credibility gani ya kusimama mbele yetu na kuzungumza utumbo wake hapa,
Ajabu kuna watu wanakuja mpongeza na kumwona wa maana kwa lipi?

Mtu anakuja kuongopea hata nasaba isiyo ya kwake ili aishi kwa utapeli mjin hapa,nani hajui kuwa huyu ni m'babaishaji tuh?
Anakuja kuongopa yeye ni C.E.0 wa kampuni ili hali ni fundi mchundo tuh?nani amuamin,
Hana elimu,hana kazi ya maana,kutwa kuchwa anashinda mitandaoni,sijui muda wa kujishughulisha anaupata wapi kama sio utapeli,
Sasa kama watu wamekosa vya kuzungmza wasianze kutaka kusababisha farki na chuki kwenye jamii,ni watu wapuuz tuh wanaweza kuwaza kwa akili fupi kama hizi.
 
Astonishing,
Very Astonishing Claims to make,
Mods watueleze,hapa ni mahala rasmi kwa kuja kukejeli dini yetu waislam?uzi huu umeanzishwa ili uje kukejeli iman za watu?
Na siku zote huwa nawauliza Mods kwa vipi huwa wanafumbia macho mambo ya kipuuz kama haya na kuja kuyafunga baadae ili hali inakua hisia za watu tayari zishaumizwa?
Huyu hapa anakuja kusema kwamba uislam ndio unasabababisha kila aina ya maovu na machafu kutokana na ahadi za mafundisho ya dini hii,hizi si ni dharau?

Wale wanaamrisha kufungisha ndoa za jinsia moja na ushoga ni waislam?
Wanaopigana vita uganda na Lord Resistance army kwa ishara ya kutetea amri kumi za mungu ni waislam?
waliovamia Iraq kwa kusema nchi hiyo ina weapons of mass destruction na uhusiano na alqaeda ni waislam?
Waliokaswagwa wanyarandwa makanisani na kuwatupa sadaka wauwawe kwenye ile genocide ni waislam?

Waliokuja kufanya biashara ya utumwa na kuwachukua millions of african people kwenda america na sehemu zingine tena kwa kusomewa vifungu vya maneno matakatifu ni waislam?

Analeta propaganda zake kwamba waislam wana miadi ya kuwaangamiza waamin wa iman zingine ili wapate malipo wapi anayatoa mambo haya,aangalie sehemu zilizo na waislam na zenye machafuko kisha aangalie mkono wa america ukoje sehemu hizo,
na aangalie sehemu zilizo na utulivu kisha apime kipi kinasababisha sehemu hizo kuwa ivo,

Lawama hizi za matusi kejeli na udhalilishaji mimi nawabebesha mods,kwa kuwa ndie ambao wanaruhusu watu kuja kujadili mambo ya kijinga na kipuuzi huku wakipuuzia,hebu jiulize nin mantik ya uzi huu,
Mtu mmoja mpuuz mpuuz na kila mtu anamfaham aje hapa na kusema ye kafanya research,research ipi,si ni huyu huyu alikuja kusema kapata ufadhili na ubalozi wa marekani kuandika mambo ya ugaidi,alisema haya hapa jukwaani na mara baada ya kubanwa na kuulizwa uhalisia akaishia kuuma uma maneno,ana credibility gani ya kusimama mbele yetu na kuzungumza utumbo wake hapa,
Ajabu kuna watu wanakuja mpongeza na kumwona wa maana kwa lipi?

Mtu anakuja kuongopea hata nasaba isiyo ya kwake ili aishi kwa utapeli mjin hapa,nani hajui kuwa huyu ni m'babaishaji tuh?
Anakuja kuongopa yeye ni C.E.0 wa kampuni ili hali ni fundi mchundo tuh?nani amuamin,
Hana elimu,hana kazi ya maana,kutwa kuchwa anashinda mitandaoni,sijui muda wa kujishughulisha anaupata wapi kama sio utapeli,
Sasa kama watu wamekosa vya kuzungmza wasianze kutaka kusababisha farki na chuki kwenye jamii,ni watu wapuuz tuh wanaweza kuwaza kwa akili fupi kama hizi.

Nice presentation..kijana keep reading and reason..
Enyi binadamu msikubali kuwa watumwa wa kiakili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom