maalimtoba
Member
- May 6, 2024
- 74
- 105
😂😂😂Muoga huyo Mkuu hizo Kazi atuachie tusioona Kinyaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Muoga huyo Mkuu hizo Kazi atuachie tusioona Kinyaa.
Wenye Vibamia Tukuka ngoja tusubirie jibu hapa.So how many inches can satisfy a woman?
Napenda kujipimia ila sio kwa asubuhiHuoni kua ukikaa kwenye seat ya abiria,dereva anaweza kukupitisha kwenye njia mbaya?
Si bora hilo Gari uliendeshe wewe mwenyewe ili uchagua njia bora ya kupita?
Mwandamo tayariNa kama kuna akina Matomoso ambao mtalibishia hili naomba mkija Kubisha mje mniambie ni kwanini 90% ya Wanawake (Mademu) ambao huachana na Waume zao / Mabwana zao wengi wao hujikuta wameangukia katika Mahusiano na Wanaume Machakaramu (Masela na Watukutu) na ni nadra sana kukuta wameanzisha Mahusiano tena na Wanaume Wastaarabu kama waliokuwa nao?
Huu Utafiti wangu nimeufanya kwa miezi Mitatu na kuwahusisha Watu wa Tanzania, Kenya na Uganda na ni wa Kweli.
Wewe Pimbi unajua ni Muhuni sana? Yaani umenifanya Nicheke sana na hiki Ulichokiandika hapa. Mkeo ana Kazi sana.Huoni kua ukikaa kwenye seat ya abiria,dereva anaweza kukupitisha kwenye njia mbaya?
Si bora hilo Gari uliendeshe wewe mwenyewe ili uchagua njia bora ya kupita?
3So how many inches can satisfy a woman?
Wa Mama yako Mzazi.Mwandamo tayari
Tayari mwezi mchangaWa Mama yako Mzazi.
Acha kufungua code basi🤣🤣Utukutu + usela= pesa🤣🤣
Second Tomaso.Hii ni habari ya uongo, kuna aina ya wanawake wa 2000 na waenda club ndo wanapenda hawa vijana bhana,kweni si tunaishi humu humu nchini tunaona
Kama Mama yako Mzazi.Tayari mwezi mchanga
Kichwa kiko ngapa, mwili uko mang’ola
Basi kama kero itaongezeka huko kwa kulazimishwa udereva,karibu sana kwangu ili uwe unakaa kwenye seat ya abiria tu na kuenjoy mandhari ya njiani wakati ukiwa safarini.Napenda kujipimia ila sio kwa asubuhi
Piga CPZ upoeKama Mama yako Mzazi.
Kama Mama yako Mzazi.Piga CPZ upoe
😆😆 code rahisi hiyoAcha kufungua code basi🤣🤣
Majini kaingia mnyama anayeitwa mbwa"MBWA yuko ndani ya Maji"
Andika hii sentensi kwa kuanza na neno "Maji".
Kama ambavyo hio sentensi utayoandika HAITAELEWEKA, Vivo hivyo na wanawake nao hawaeleweki.
BUT unalosema ni sahihi kwa kiasi kikubwa. Ila sio 100%.
USHAURI: Kama kijana unaingia kwenye kiwanda cha Mapenzi, basi ukiwa na mentality za watu kama aliowataja ndugu GENTAMYCINE utafurahia zaidi mahusiano kuliko ukiwa tofauti na hivyo.
Kashtaki kwa mods basiKama Mama yako Mzazi.