Utafiti wangu binafsi: 75% ya wanawake hupenda wanaume wenye usela na utukutu kuliko wale wastaarabu

si mnabariki tendo ili mtoto akipatikana awe na akili timamu
 
Wengine tukijua kuwa ni Mke wa Mtu huwa hatuishii tu Kuilamba bali hudiriki hata kwenda njia mbadala kupisha Foleni.
Mmh ndo maana tunaona vijana wanapush tu landrover diskavare za mashangazi ,kumbe vijana wanajilipua sana
 
Mkuu kabla sijaleta ubishani.
Ningependa uendelee na utafiti zaidi juu ya usela na utukutu
Pia ustaarabu.

I refuse to take things literally

Hivi mkuu tangu lini wanawake wamekuwa viumbe complicated kiasi cha kuwa wanavutiwa na usela na uchakaramu?
No bro!
No way!
Come on bro!

Hakuna anaevutiwa na stupid bad boy.

Badala yake
Mwanamke anavutiwa na strong masculine man haijalishi wewe ni less talkative au una big mouth ,
Haijalishi uwe chakaramu au mstaarabu . Kama unamfanya ajisikie kupendwa utakuwa ume win respect yake.

Ungefanya utafiti juu ya kwann wanawake wanawapenda / wanaolewa na weak feminine men ila wanavutiwa zaidi na strong masculine men na ndio ambao wana wa respect kiasi cha kuwapa sex for free.

Nb. Mwanaume anaetembea na wake za watu huyo sio strong man
 
Mkuu mbona kama vile umeandika hii Post yako ukiwa na Usununu / Makasiriko? Naona Kugongewa Mkeo Kumekuuma.
 
Third Tomaso.
 
Stori inaisha akakutoa kafara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…