Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #121
Sawa mkuuIla mama zangu wadogo na uncle zangu watoto wao wote nawajua na nikikutana nao Ni stori tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuIla mama zangu wadogo na uncle zangu watoto wao wote nawajua na nikikutana nao Ni stori tu
Sawa mkuu. ThanksUndugu huchagui, inategemea na ukaribu wenu naturally na involvement ya wazazi. Na kujichanganya pia
Niliwahi kuhudhuria send off ya rafiki yangu mmoja. Eti wakati wa mawaidha mama wa mke anasimama na kusema, "baba tumekupa huyu binti hana alama yoyote ya kipigo mwilini mwake. Ikitokea amekushinda au mmeishana tafadhali usimguse, mrudishe tu nyumbani kama ulivyomchukua." Huu ni ujinga mkubwa na ni pigo kuu kwa ndoa. Mwanamke huingia kwenye ndoa mguu mmoja ndani mmoja nje. Hana cha kupoteza kwenye ndoa no matter what happens.
Sasa mimi nilimwambia jamaa yangu, "ingekuwa mimi ndio naoa, ndoa hii ingeishia hatua hii hii ya send off, basi!!" Jamaa hakunielewa kabisa. Usithubutu kuoa mwanamke ambaye wazazi wake hawako radhi kumwacha huru. Huwezi kamwe kujenga familia imara badala yake itakupasa wewe ndio uwe nafasi ya mke kusudi ndoa idumu. Matokeo yake upande wa mwanamke utakuwa na nguvu kwenye ndoa yenu kwa, sababu bila hivyo mke hakai.
Mke bora kabisa ni yule ambaye maisha yake ameyatoa asilimia 100 kujenga ndoa yake. Mwanzoni roho yake iliambatana na wazazi wake, lakini tangu mwanamume alipomwingilia akamtoa bikra, alipanda ndani yake roho mpya ambayo inakwenda kuziba gap lililokuwa likijazwa na wazazi. Sasa amefungamana na mtu mpya, ndio maana binti kabla ya kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza huripoti kwa wazazi kila tukio linalohusu mapenzi. Ila siku akiingiliwa tu, huanza kuficha kila tendo wazazi wasijue, hakuna tena muunganiko. Anaweza hata kubanwa gheto kwa msela kwa siku kadhaa huku wazazi wakihaha kumtafuta.
Sasa ukioa mwanamke wa aina hii, hawezi kuwa na muunganiko wa kweli na mumewe, achilia mbali ukoo wa mume. Kwake yeye wazazi ni kimbilio pale anapoharibu, kwa sababu rohovyake ishavurugwa na wanaume wengi, hivyo ana emotional blur. HAJUI KUPENDA, anategemea mashosti wa Instagram na semina za akina mauki wamfundishe mapenzi ni nini. Amesahau kuwa alitoroka darasani pale wazazi wake walipokuwa wakifundisha kwa mtaala halisi wa malezi, akakimbilia ukahaba. Sasa akiingia kwenye ndoa ataishi kwa experience ya hao wanaume walio tangulia kuwa naye, atamchukukia mume wa ndoa kama WANAUME WENGINE TU. Kwa mtindo huu kwa nini asiimarishe ukoo wake ndani ya ndoa?
Kosea yote, lakini usikosee kuoa, majuto yake ni makuu.
Asante
Unakuwa unamjaza binti kiburi katika ndoa mkuuWewe mwenyewe ukiwa na mabinti uta ongea hayo hayo. Uchungu wa mwana aujuaye mzazi na si mtu mwingine yoyote
Unakuwa unamjaza binti kiburi katika ndoa mkuu
Eti mzazi wa binti ananiambi mimi muoaji kwamba;zaa wa kwako ndio utajua uchungu wake. Hakuna mtu mwenye uchungu na mtoto wa mwingine ukiwa na wa kwako hata hutaona unampa kiburi bali utaona unamuasa sawa.
Eti mzazi wa binti ananiambi mimi muoaji kwamba;
"baba tumekupa huyu binti hana alama yoyote ya kipigo mwilini mwake. Ikitokea amekushinda au mmeishana tafadhali usimguse, mrudishe tu nyumbani kama ulivyomchukua."
Siku hiyo hiyo mbona nitaomba kurudishiwa mahari yangu nao wabaki na huyo binti yao azeekee hapo nyumbani.
Naelewa maana ya ndoa mkuu. Kama uchungu wa Mwana ndio huo, basi usiruhusu binti yako aolewe ili awe salama mikononi mwako.Wewe mwenyewe ukiwa na mabinti uta ongea hayo hayo. Uchungu wa mwana aujuaye mzazi na si mtu mwingine yoyote
Okaymfano mimi nimelelewa na bibi na babu wa mama na sio kwa baba so hapo kwa namna yoyote ile lazima niwe karibu na ndugu upande wa mama na sio baba
Naelewa maana ya ndoa mkuu. Kama uchungu wa Mwana ndio huo, basi usiruhusu binti yako aolewe ili awe salama mikononi mwako.
Hujamuelewa kamsome tena kuna kitu ndani huo msemo.Kwa dunia ya sasa hata hao ndugu wa mama wanaweza kuwa sio wa uhakika mkuu.
Naelewa maana halisi, sio hiyo fabricated kiasi ndoa imegeuka taasisi ya Malalamiko na manung'uniko. Kitendo cha mzazi kuongoza maisha ya mwanaye anayeolewa ni KUTOKUTAMBUA NA KUHESHIMU TAASISI YA NDOA. THINKUkiwa na binti utaelewa maana ya ndoa na maana ya mzazi
Mhhh...Kweli kabisaa!! Uzuri wa shngz Pesa, Mtoto akipendwa upande wa Babae, Lazima baba yake ni Maskini, anasaidiwa saidiwa tu, lkn Baba akiwa msomi na mifwedha, Mijumba ya maana , Magari, na Watoto wote mnasoma Shule nzuri! Air Ticket go en Return! Mabinti wanaolewa ndoa za maana, hapa ndoo! ayah! yaya yay! wanatamani kufa!
Mashangazi Elimu dororo, pesa, mbaya zaidi hawajaolewa! na watoto wao wanaishia Ualimu tuu! wakiolewa ni mmoja kwa Bahati. llazima wajikombe kwa kaka yao aoe wa-mzime wifi yao! na watoto wa Ba mkubwa wapigaji, mara kauza Ng'ombe katimka kwao, mara kauza baiskeri, mara Kaiba Radio.
Baba mtu akioa tu lazima maisha hayatakuwa standard tena, watoto mtayumba kidogo kiuchumi asipo kuwa makini. Labda amuombe Mungu sana na kutubu!
Undugu ni wa uhakika maana hao ndugu wa mama nao wamezaliwa na mama yake mama (bibi).Kwa dunia ya sasa hata hao ndugu wa mama wanaweza kuwa sio wa uhakika mkuu.
Mwanzo 2 (Biblia Takatifu)Wewe mwenyewe ukiwa na mabinti uta ongea hayo hayo. Uchungu wa mwana aujuaye mzazi na si mtu mwingine yoyote
Safi sana mkuu. Andiko zuri hiliMwanzo 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁴ Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
²⁵ Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.[/I]
Sasa hapo mzazi anatafuta nini kwenye ndoa ya binti yake? Wazazi nao ni ndoa kamili kama ilivyo kwa watoto wao, hivyo NI DHAMBI KUBWA kujiunganisha na ndoa ya watoto. Habari za uchungu wa mwana hazina mashiko hata kidogo. Mzazi mwenye uchungu na binti yake atamlea katika maadili mema kisha atasimama kuhakikisha anaolewa na kijana sahihi. Sio kusubiri anapoolewa halafu anamwekea masharti, ni upungufu wa hekima na pia ni dhambi.
Mwanzo 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁴ Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
²⁵ Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.[/I]
Sasa hapo mzazi anatafuta nini kwenye ndoa ya binti yake? Wazazi nao ni ndoa kamili kama ilivyo kwa watoto wao, hivyo NI DHAMBI KUBWA kujiunganisha na ndoa ya watoto. Habari za uchungu wa mwana hazina mashiko hata kidogo. Mzazi mwenye uchungu na binti yake atamlea katika maadili mema kisha atasimama kuhakikisha anaolewa na kijana sahihi. Sio kusubiri anapoolewa halafu anamwekea masharti, ni upungufu wa hekima na pia ni dhambi.
Ukiwa na hofu ya Mungu utapata hekima, sio binti. Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa. Nje ya hapo ni maneno ya kutoka kwa yule mwovu. Kumbe hekima ya KUMTOA BINTI AOLEWE haina jipya zaidi ya hekima ya Mungu. Tabia mbovu ya wazazi wa kisasa; wanawake ambao binti zao katika ukahaba kisha wanakuwa na mashaka kama watabaki salama kwa waume zao. Ndivyo pia wanavyolelewa vijana wa kisasa, hawajui hata majukumu ya ndoa. Matokeo yake ndoa imegeuka taasisi ya majaribio. HEKIMA INA MUNGU PEKEE.Ukiwa na binti omba hekima