Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

Sasa we we kama unamuachia mzazi mwenzako apange likizo kwenda kwao halafu hushiriki , mfano , familia nzima iende kijijini kwenu (kama mnatoka kijiji kimoja), mzazi (aidha mama au baba) atajisikia comfortable zaidi kufikia kwao halafu kuenda kusalimia upande wa pili wa familia. Kama mkisafiri wote angalau mnaweza mkafanya 50/50.
Mhhh...
 
Kingine, nilichogundua kwenye familia nyingi, kuna wababa wanakumbatia sana upande wao. Hata wakioa na kuzaa watoto wao, wako radhi kuweka watoto wa kaka na dada zao kwanza kabla ya watoto wao. Kuna makabila mengi, hasa ukikuta baba ni first born,wako radhi hela ikosekane home lakini watoto wa dada na kaka wapate hela walizoomba kwa ba mkubwa.
Sijawahi kukutana na situation kama hii mkuu
 
Sijawahi kukutana na situation kama hii mkuu
Mimi nililelewa na BIBI mzaa MAMA
BABA yangu alifariki nikiwa bado mdogo
Baba alikuwa na mke pamoja na wanawake kibao wa nje MAMA yangu hakiwa mmoja wao na alikuwa na watoto kibao so sikupata bahati ya kuwajua ndugu zake baada ya kuwa mkubwa nilianza harakati za kuwatafuta ndugu wa upande wa BABA nikafanikiwa kuwapata KAKA na DADA zangu hambao MAMA yao ndo alikuwa mke wa BABA KAKA zangu wawili walinipokea vizuri lakini ndugu zangu wengine walinikataa kwaiyo mimi nipo karibu sana na ndugu wa upande wa MAMA kuliko wa BABA

Mpaka leo sijawai kukutana na kaka wa baba wala dada hata wazizi baba sijawai kuwaona
 
Mimi nililelewa na BIBI mzaa MAMA
BABA yangu alifariki nikiwa bado mdogo
Baba alikuwa na mke pamoja na wanawake kibao wa nje MAMA yangu hakiwa mmoja wao na alikuwa na watoto kibao so sikupata bahati ya kuwajua ndugu zake baada ya kuwa mkubwa nilianza harakati za kuwatafuta ndugu wa upande wa BABA nikafanikiwa kuwapata KAKA na DADA zangu hambao MAMA yao ndo alikuwa mke wa BABA KAKA zangu wawili walinipokea vizuri lakini ndugu zangu wengine walinikataa kwaiyo mimi nipo karibu sana na ndugu wa upande wa MAMA kuliko wa BABA
Okay...
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania kulingana na utafiti wangu;

Kwanini katika familia nyingi watoto wengi hupenda zaidi ndugu wa upande wa mama kuliko wale wa upande wa baba zao?

Ni mara chache sana utaona mtoto wa baba mdogo na mkubwa wanasaidiana.

Mimi licha ya umri wangu huu mdogo lakini nimekuwa nikishirikishwa sana katika kutatua changamoto za kifamilia kwa jamaa na marafiki.

Kwa mfano unaweza kukuta mtu anakaa Dar lakini amepata safari ya kwenda kwenye interview ya kazi huko mkoani Iringa ambapo kuna ndugu wa pande zote mbili.

Kuna ndugu upande wa mama (mama mdogo) pamoja na ndugu upande wa baba (baba mdogo). Ila amini usiamini, asilimia 95% ya watoto watakuwa na furaha zaidi kwenda Iringa na kukaa nyumbani kwa mama mdogo kuliko kwa baba mdogo.

Watoto wa baba mdogo na baba mkubwa wengi wanakuwaga na beefs za hapa na pale tofauti kabisa na watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.

Unaweza ukakuta watoto wa baba mdogo/mkubwa wanawweza kukaa hata miaka 2 bila hata kutumiama SMS ya kujuliana hali lakini watoto wa mama yake mkubwa ama mama mdogo wanawasiliana kila baada ya mwezi mmoja.

Nilijaribu kwenda mbali zaidi kutaka kujua chanzo ni nini kutokana na mahojiana na watu wengi wazima walionizidi umri.

Wengi walionipa majibu wanasema kwamba chanzo kikubwa ni kuwa akina mama wanapoolewa katika koo za watu wengine wao ndio wanakuwa chanzo cha kuleta kelele ndani ya koo walizoolewamo (bado sina uhakika na tetesi hii)

Kuna baadhi ya wataalam niliohojiana nao walipata kuniambia kwamba tafiti za kisaikoloji inaonesha kwamba mtoto ni rahisi sana kuamini maneno ya mama kuliko ya baba. Yaaani mama akikwambia kuwa yule mke wa baba yako mdogo amenitukana na kuanzia leo msiende kwao, na kweli watoto watatembelea mkoa huo lakini hawataenda nyumbani kwa baba yao mdogo/mkubwa tofauti kabisa akiambiwa na baba yake.

USHAURI KWA WABABA WENZANGU: Msikubali wanawake mliowaoa wavunje undugu wenu kwa maana nyie mmetoka mbali zaidi tangia mpo wadogo huko kwenu kuliko hao wake zenu mliokutana nao ukubwani.

Wanawake wengi hupenda zaidi kuwavuta watoto upande wa ndugu zao tu. Yaaani unakuta likizo mtoto anapelekwa kutembelea kwa mama zake au bibi mzaa mama tu baaaas, na hapa ndio mwanaume anapaswa kuwa kichwa ngumu na kusimama kama baba wa familia.

Kuna baadhi ya wababa huwa wanawachukua watoto wa nguvu na kuwapeleka upande wa ndugu zao pia ili wazoeleke na huko. Baadhi ya mwanaume legelege unakuta hata watoto wakizaliwa hata kama wapo 4 basi majina yote yanatokea ndugu upande wa mkewe.

NINAOMBA KUKOSOLEWA KATIKA UTAFITI HUU KAMA SIPO SAHIHI

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mwenye ndoa ni mume, mke huja KUJENGA UKOO wa mwanamume kama mwendelezo. Leo hii? Ndoa za KISASA kujidai TUKO INDEPENDENT matokeo yake ndio hayo. Kila mwanamume hujidai kuanzisha "kijiukoo" chake mwenyewe. Utasikia kauli za KILOFA, "sitaki ndugu watuingilie kwenye ndoa yetu." Ukisikia hivyo ujue wazi WATOTO WATAELEMEA UPANDE WA MKE.

Huo ni ujanja wa wanawake wa kisasa, kukuweka mbali na nduguzo ili akuunge kwenye ukoo wake. Sasa wanaume wasiotambua nafasi yao wamenasa kwenye hila hii. Kama huamini tafuta threads humu wanaume wakijisifia ujinga eti mie mke wangu ndio kanifikisha hapa sitaki kabisa wazazi wangu waniingilie. Kwa mtindo huo watoto watamjua ndugu yupi?

Mijitu inalishana ujinga eti mambo ya kutembeleana yamepitwa na wakati. Halafu bila kufikiri utakuta mwanamke ndio hutembelea kwao AKIWA NA WATOTO walau mara mbili kwa mwaka, huku dume limewakazia wazazi, kama sio ubwege ni nini? Watoto wanajua ndugu wote wa mke, halafu upande wa baba hola!!

Ndio maana tunashauri, unapotaka kuoa, EPUKA KABISA MWANAMKE ALIYE NA MAFUNGAMANO NA NDUGU ZAKE. Huyu amepoteza sifa muhimu ya kuwa mke wa ndoa. Wewe Kulwa Jimisha unaishi na mkeo Jesca Mushi, halafu miaka ishirini baadaye bado tu huyo mke anatambulika kama JESCA MUSHI!! Hapo hakuna ndoa. Ni sawa tu na kuzaa na mwanamke yeyote afu akawa mnalea watoto pamoja. SIRI PEKEE ni mwanamke ajisikie fahari kutambulika kwa ukoo wa mume, hiyo ndio ndoa. Mke anabadili ukoo na kuwa mzaliwa wa ukoo mwingine KIROHO, ndio maana mwanamke wa aina hii anakuwa na nguvu na heshima kubwa kwenye ukoo wa mume. Achana na hawa wa mwendo kasi, akina haki sawa, hao ni kama kampuni za mkonge tu, kazi na ujira.

Mke akijiunganisha na ukoo wa mume HAKUNA TENA KESI YA WATOTO KUPENDA UPANDE WA MKE. La sivyo mwanamume huna ujanja wa kuwadhibiti watoto kumzidi mke anayeshinda nao kutwa. Utasababisha chuki kutoka kwa watoto wako na mkeo pia.

Uko tayari kulipa gharama? Acha kuoa bambataa, oa mwanamke mwenye sifa za mke. Asante
 
Siku zote mtaonekana wachache sababu kila anaye toboa hataki mahusiano.anapotelea hukohuko mjini anaoa kabila lingine. sana labda amepita tu kaonana na ndg mmoja tu madukani
 
Mwenye ndoa ni mume, mke huja KUJENGA UKOO wa mwanamume kama mwendelezo. Leo hii? Ndoa za KISASA kujidai TUKO INDEPENDENT matokeo yake ndio hayo. Kila mwanamume hujidai kuanzisha "kijiukoo" chake mwenyewe. Utasikia kauli za KILOFA, "sitaki ndugu watuingilie kwenye ndoa yetu." Ukisikia hivyo ujue wazi WATOTO WATAELEMEA UPANDE WA MKE.

Huo ni ujanja wa wanawake wa kisasa, kukuweka mbali na nduguzo ili akuunge kwenye ukoo wake. Sasa wanaume wasiotambua nafasi yao wamenasa kwenye hila hii. Kama huamini tafuta threads humu wanaume wakijisifia ujinga eti mie mke wangu ndio kanifikisha hapa sitaki kabisa wazazi wangu waniingilie. Kwa mtindo huo watoto watamjua ndugu yupi?

Mijitu inalishana ujinga eti mambo ya kutembeleana yamepitwa na wakati. Halafu bila kufikiri utakuta mwanamke ndio hutembelea kwao AKIWA NA WATOTO walau mara mbili kwa mwaka, huku dume limewakazia wazazi, kama sio ubwege ni nini? Watoto wanajua ndugu wote wa mke, halafu upande wa baba hola!!

Ndio maana tunashauri, unapotaka kuoa, EPUKA KABISA MWANAMKE ALIYE NA MAFUNGAMANO NA NDUGU ZAKE. Huyu amepoteza sifa muhimu ya kuwa mke wa ndoa. Wewe Kulwa Jimisha unaishi na mkeo Jesca Mushi, halafu miaka ishirini baadaye bado tu huyo mke anatambulika kama JESCA MUSHI!! Hapo hakuna ndoa. Ni sawa tu na kuzaa na mwanamke yeyote afu akawa mnalea watoto pamoja. SIRI PEKEE ni mwanamke ajisikie fahari kutambulika kwa ukoo wa mume, hiyo ndio ndoa. Mke anabadili ukoo na kuwa mzaliwa wa ukoo mwingine KIROHO, ndio maana mwanamke wa aina hii anakuwa na nguvu na heshima kubwa kwenye ukoo wa mume. Achana na hawa wa mwendo kasi, akina haki sawa, hao ni kama kampuni za mkonge tu, kazi na ujira.

Mke akijiunganisha na ukoo wa mume HAKUNA TENA KESI YA WATOTO KUPENDA UPANDE WA MKE. La sivyo mwanamume huna ujanja wa kuwadhibiti watoto kumzidi mke anayeshinda nao kutwa. Utasababisha chuki kutoka kwa watoto wako na mkeo pia.

Uko tayari kulipa gharama? Acha kuoa bambataa, oa mwanamke mwenye sifa za mke. Asante
Yeees! Sasa km ndg wa babayo hawana mpango na wewe. Makauzu? Inatevemea na jicho la msaada, unapenda unapo pendwa ndo watoto wako wataenda
 
Watoto watakuwa karibu na ndugu aliye karibu na familia (hasa mama)...
Huu ndio ukweli sababu mababa wengi wanachukulia poa haya mambo. Mpk kwa wengine unakuta hata wale ndugu wa kiumeni uliozoeana nao ni wale wanaoelewana na mama zaidi
 
Mwenye ndoa ni mume, mke huja KUJENGA UKOO wa mwanamume kama mwendelezo. Leo hii? Ndoa za KISASA kujidai TUKO INDEPENDENT matokeo yake ndio hayo. Kila mwanamume hujidai kuanzisha "kijiukoo" chake mwenyewe. Utasikia kauli za KILOFA, "sitaki ndugu watuingilie kwenye ndoa yetu." Ukisikia hivyo ujue wazi WATOTO WATAELEMEA UPANDE WA MKE.

Huo ni ujanja wa wanawake wa kisasa, kukuweka mbali na nduguzo ili akuunge kwenye ukoo wake. Sasa wanaume wasiotambua nafasi yao wamenasa kwenye hila hii. Kama huamini tafuta threads humu wanaume wakijisifia ujinga eti mie mke wangu ndio kanifikisha hapa sitaki kabisa wazazi wangu waniingilie. Kwa mtindo huo watoto watamjua ndugu yupi?

Mijitu inalishana ujinga eti mambo ya kutembeleana yamepitwa na wakati. Halafu bila kufikiri utakuta mwanamke ndio hutembelea kwao AKIWA NA WATOTO walau mara mbili kwa mwaka, huku dume limewakazia wazazi, kama sio ubwege ni nini? Watoto wanajua ndugu wote wa mke, halafu upande wa baba hola!!

Ndio maana tunashauri, unapotaka kuoa, EPUKA KABISA MWANAMKE ALIYE NA MAFUNGAMANO NA NDUGU ZAKE. Huyu amepoteza sifa muhimu ya kuwa mke wa ndoa. Wewe Kulwa Jimisha unaishi na mkeo Jesca Mushi, halafu miaka ishirini baadaye bado tu huyo mke anatambulika kama JESCA MUSHI!! Hapo hakuna ndoa. Ni sawa tu na kuzaa na mwanamke yeyote afu akawa mnalea watoto pamoja. SIRI PEKEE ni mwanamke ajisikie fahari kutambulika kwa ukoo wa mume, hiyo ndio ndoa. Mke anabadili ukoo na kuwa mzaliwa wa ukoo mwingine KIROHO, ndio maana mwanamke wa aina hii anakuwa na nguvu na heshima kubwa kwenye ukoo wa mume. Achana na hawa wa mwendo kasi, akina haki sawa, hao ni kama kampuni za mkonge tu, kazi na ujira.

Mke akijiunganisha na ukoo wa mume HAKUNA TENA KESI YA WATOTO KUPENDA UPANDE WA MKE. La sivyo mwanamume huna ujanja wa kuwadhibiti watoto kumzidi mke anayeshinda nao kutwa. Utasababisha chuki kutoka kwa watoto wako na mkeo pia.

Uko tayari kulipa gharama? Acha kuoa bambataa, oa mwanamke mwenye sifa za mke. Asante
📌
 
Kuna sababu kadhaa ambazo huwa zinasababisha mtoto kupenda sana kwa wajomb/mama zao wadogo/wakubwa kuliko ndugu wa upande wa baba,nitataja sababu kadhaa ambazo kwa uzoefu wa kuona na zingine kuziona na kuziishi...

Mosi ni Utamaduni wa baadhi ya makabila kuamini kuwa mtoto kwao ni kwa mama yake, kwamba baba unaweza ukasingiziwa lakini mama huwezi kusingiziwa...ndio wababa hujikuta hawana nguvu sana na watoto hasa mama akikosa busara na kuamua kuwavuta upande wa kwao.

Pili,ni Ukatili wa ndugu wa upande wa baba. Ujue baadhi ya makbila wanaamini kwamba upande wa baba ndio wenye mamlaka...sasa unakuta baba mdogo,ba mkubwa,shangazi na hata mabro na sista wa upande huo wanakufanyia vitendo vya ukatili...konzi,vibao..basi kuonewa tu. Tofauti na kwa mjomba,mama mdogo ma mkubwa mabinamu hawana shida,mnaongea story zote na hamna shida. Ni marafiki na watetezi maranyingi. Kule upande wa baba..ukimuondoa babu na bibi,wengine wote ni wakatili.

ngoja kwanza matokeo yanatangazwa ya diwani wangu.
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania kulingana na utafiti wangu;

Kwanini katika familia nyingi watoto wengi hupenda zaidi ndugu wa upande wa mama kuliko wale wa upande wa baba zao?

Ni mara chache sana utaona mtoto wa baba mdogo na mkubwa wanasaidiana.

Mimi licha ya umri wangu huu mdogo lakini nimekuwa nikishirikishwa sana katika kutatua changamoto za kifamilia kwa jamaa na marafiki.

Kwa mfano unaweza kukuta mtu anakaa Dar lakini amepata safari ya kwenda kwenye interview ya kazi huko mkoani Iringa ambapo kuna ndugu wa pande zote mbili.

Kuna ndugu upande wa mama (mama mdogo) pamoja na ndugu upande wa baba (baba mdogo). Ila amini usiamini, asilimia 95% ya watoto watakuwa na furaha zaidi kwenda Iringa na kukaa nyumbani kwa mama mdogo kuliko kwa baba mdogo.

Watoto wa baba mdogo na baba mkubwa wengi wanakuwaga na beefs za hapa na pale tofauti kabisa na watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.

Unaweza ukakuta watoto wa baba mdogo/mkubwa wanawweza kukaa hata miaka 2 bila hata kutumiama SMS ya kujuliana hali lakini watoto wa mama yake mkubwa ama mama mdogo wanawasiliana kila baada ya mwezi mmoja.

Nilijaribu kwenda mbali zaidi kutaka kujua chanzo ni nini kutokana na mahojiana na watu wengi wazima walionizidi umri.

Wengi walionipa majibu wanasema kwamba chanzo kikubwa ni kuwa akina mama wanapoolewa katika koo za watu wengine wao ndio wanakuwa chanzo cha kuleta kelele ndani ya koo walizoolewamo (bado sina uhakika na tetesi hii)

Kuna baadhi ya wataalam niliohojiana nao walipata kuniambia kwamba tafiti za kisaikoloji inaonesha kwamba mtoto ni rahisi sana kuamini maneno ya mama kuliko ya baba. Yaaani mama akikwambia kuwa yule mke wa baba yako mdogo amenitukana na kuanzia leo msiende kwao, na kweli watoto watatembelea mkoa huo lakini hawataenda nyumbani kwa baba yao mdogo/mkubwa tofauti kabisa akiambiwa na baba yake.

USHAURI KWA WABABA WENZANGU: Msikubali wanawake mliowaoa wavunje undugu wenu kwa maana nyie mmetoka mbali zaidi tangia mpo wadogo huko kwenu kuliko hao wake zenu mliokutana nao ukubwani.

Wanawake wengi hupenda zaidi kuwavuta watoto upande wa ndugu zao tu. Yaaani unakuta likizo mtoto anapelekwa kutembelea kwa mama zake au bibi mzaa mama tu baaaas, na hapa ndio mwanaume anapaswa kuwa kichwa ngumu na kusimama kama baba wa familia.

Kuna baadhi ya wababa huwa wanawachukua watoto wa nguvu na kuwapeleka upande wa ndugu zao pia ili wazoeleke na huko. Baadhi ya mwanaume legelege unakuta hata watoto wakizaliwa hata kama wapo 4 basi majina yote yanatokea ndugu upande wa mkewe.

NINAOMBA KUKOSOLEWA KATIKA UTAFITI HUU KAMA SIPO SAHIHI

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Kuna sababu kadhaa ambazo huwa zinasababisha mtoto kupenda sana kwa wajomb/mama zao wadogo/wakubwa kuliko ndugu wa upande wa baba,nitataja sababu kadhaa ambazo kwa uzoefu wa kuona na zingine kuziona na kuziishi...

Mosi ni Utamaduni wa baadhi ya makabila kuamini kuwa mtoto kwao ni kwa mama yake, kwamba baba unaweza ukasingiziwa lakini mama huwezi kusingiziwa...ndio wababa hujikuta hawana nguvu sana na watoto hasa mama akikosa busara na kuamua kuwavuta upande wa kwao.

Pili,ni Ukatili wa ndugu wa upande wa baba. Ujue baadhi ya makbila wanaamini kwamba upande wa baba ndio wenye mamlaka...sasa unakuta baba mdogo,ba mkubwa,shangazi na hata mabro na sista wa upande huo wanakufanyia vitendo vya ukatili...konzi,vibao..basi kuonewa tu. Tofauti na kwa mjomba,mama mdogo ma mkubwa mabinamu hawana shida,mnaongea story zote na hamna shida. Ni marafiki na watetezi maranyingi. Kule upande wa baba..ukimuondoa babu na bibi,wengine wote ni wakatili.

ngoja kwanza matokeo yanatangazwa ya diwani wangu.
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania kulingana na utafiti wangu;

Kwanini katika familia nyingi watoto wengi hupenda zaidi ndugu wa upande wa mama kuliko wale wa upande wa baba zao?

Ni mara chache sana utaona mtoto wa baba mdogo na mkubwa wanasaidiana.

Mimi licha ya umri wangu huu mdogo lakini nimekuwa nikishirikishwa sana katika kutatua changamoto za kifamilia kwa jamaa na marafiki.

Kwa mfano unaweza kukuta mtu anakaa Dar lakini amepata safari ya kwenda kwenye interview ya kazi huko mkoani Iringa ambapo kuna ndugu wa pande zote mbili.

Kuna ndugu upande wa mama (mama mdogo) pamoja na ndugu upande wa baba (baba mdogo). Ila amini usiamini, asilimia 95% ya watoto watakuwa na furaha zaidi kwenda Iringa na kukaa nyumbani kwa mama mdogo kuliko kwa baba mdogo.

Watoto wa baba mdogo na baba mkubwa wengi wanakuwaga na beefs za hapa na pale tofauti kabisa na watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.

Unaweza ukakuta watoto wa baba mdogo/mkubwa wanawweza kukaa hata miaka 2 bila hata kutumiama SMS ya kujuliana hali lakini watoto wa mama yake mkubwa ama mama mdogo wanawasiliana kila baada ya mwezi mmoja.

Nilijaribu kwenda mbali zaidi kutaka kujua chanzo ni nini kutokana na mahojiana na watu wengi wazima walionizidi umri.

Wengi walionipa majibu wanasema kwamba chanzo kikubwa ni kuwa akina mama wanapoolewa katika koo za watu wengine wao ndio wanakuwa chanzo cha kuleta kelele ndani ya koo walizoolewamo (bado sina uhakika na tetesi hii)

Kuna baadhi ya wataalam niliohojiana nao walipata kuniambia kwamba tafiti za kisaikoloji inaonesha kwamba mtoto ni rahisi sana kuamini maneno ya mama kuliko ya baba. Yaaani mama akikwambia kuwa yule mke wa baba yako mdogo amenitukana na kuanzia leo msiende kwao, na kweli watoto watatembelea mkoa huo lakini hawataenda nyumbani kwa baba yao mdogo/mkubwa tofauti kabisa akiambiwa na baba yake.

USHAURI KWA WABABA WENZANGU: Msikubali wanawake mliowaoa wavunje undugu wenu kwa maana nyie mmetoka mbali zaidi tangia mpo wadogo huko kwenu kuliko hao wake zenu mliokutana nao ukubwani.

Wanawake wengi hupenda zaidi kuwavuta watoto upande wa ndugu zao tu. Yaaani unakuta likizo mtoto anapelekwa kutembelea kwa mama zake au bibi mzaa mama tu baaaas, na hapa ndio mwanaume anapaswa kuwa kichwa ngumu na kusimama kama baba wa familia.

Kuna baadhi ya wababa huwa wanawachukua watoto wa nguvu na kuwapeleka upande wa ndugu zao pia ili wazoeleke na huko. Baadhi ya mwanaume legelege unakuta hata watoto wakizaliwa hata kama wapo 4 basi majina yote yanatokea ndugu upande wa mkewe.

NINAOMBA KUKOSOLEWA KATIKA UTAFITI HUU KAMA SIPO SAHIHI

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Yeees! Sasa km ndg wa babayo hawana mpango na wewe. Makauzu? Inatevemea na jicho la msaada, unapenda unapo pendwa ndo watoto wako wataenda
HAKUNA KITU KAMA HICHO. Huo ni utapeli wa wanawake, watawafundisha watoto kupenda kwao. Ni akili za hovyo za vibinti vya kisasa. Badala ya kujenga mji wake anamwibia mume KUJENGA KWA SHANGAZI YAKE. Upeo finyu wahusika. Wanaoibiwa ni watoto sio mume, mwanamke anayefanya hayo anawadhulumu watoto wake mwenyewe. Ni sawa na hili la watoto kung'ang'ania watambulike zaidi kwa mwanamke kisa "wanapendwa zaidi." Ni mwanamume mjinga atakayekubali huo upuuzi. Wanawake wengi wamekuwa wafitini wa waume zao dhidi ya ndugu kwa sababu binafsi. Ukiona mwanamke anang'ang'ania kuwa na mahusiano ya karibu na ukoo wake ELEWA WAZI UMEINGIA CHAKA. Hiyo ndio type ya wanawake wasiochelea kusema "SIJAUA KWETU, KAMA UMENICHOKA NIRUDISHE!" Ni aina mpya ya makahaba waliojiweka kama mke wa ndoa!! Men you better watch out!!! [emoji102]
 
HAKUNA KITU KAMA HICHO. Huo ni utapeli wa wanawake, watawafundisha watoto kupenda kwao. Ni akili za hovyo za vibinti vya kisasa. Badala ya kujenga mji wake anamwibia mume KUJENGA KWA SHANGAZI YAKE. Uoeo finyu wahusika. Wanaoibiwa ni watoto sio mume, mwanamke anayefanya hayo anawadhulumu watoto wake mwenyewe. Ni sawa na hili la watoto kung'ang'ania watambulike zaidi kwa mwanamke kisa "wanapendwa zaidi." Ni mwanamume mjinga atakayekubali huo upuuzi. Wanawake wengi wamekuwa wafitini wa waume zao dhidi ya ndugu kwa sababu binafsi.
Sawa mkuu...
 
Uhakika ni kwa Mama. Upande wa Baba ni lolote linawezekana. Unaweza kudhani ni ndugu ni Mhutu!
 
Back
Top Bottom