Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

Mr. Siko hapa kutangaza business.
Sitaomba hata mia kutoka kwa mwana jf kwa uzi huu au uzi wowote ule.
Am here just to share my experience I heard and I seen .
Narudia tena , sihitaji misaada wala pesa ya mwana jf kwa njia yoyote
Kwahiyo umekuja tu kuturingishia sio??!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 in short walikukomesha
 
Utapeli upatiwe mamilioni kwa kupeleka sindano nadhani tz tungekuwa na mabilionea wengi kuliko nchii yoyote hapa duniani. Jamaa utakuwa na degree ya marketing
 
Yafaa nini kujitafutia chakula kwa shida Na taabu na ushindwe kukifurahia? Mungu nitakushika Na kukuamini mpaka mwisho wa uhai wangu...najua hutakaa uniaibishe,nami sitamsujudia shetani kwenda kwa mganga ili nipate Mali,..nitaifanya kazi halali hata nipatapo kidogo Nile Kwa amani nifurahie kazi ya mikono yangu...nikishika mausia waliyonipa baba yangu Na mama yangu ya kwamba nikutegemee wewe daima...kwakuwa hukuwahi kuwaiibisha japo uliwapa majaribu... Na milango uliwafungulia ..ukae nami . mola tafadhali takabali dua yangu... Duhhh...sijui nimetolea wapi hii vibe Leo life ohhh life ohhhhh life ohh life turututuuuuuu #nimeimba.
 
Thanks
 
Kuna jamaa mpaka leo hanunu kitanda wala godoro, anaweza kupata hata laki tatu kwa mkupuo lakini ni pombe na madem baasi ndio maisha yake
 
Fool! Nani alikuambia wanakula ovyo...nani alikuambia wanalala ovyo..ulikuepo walipokua wanapewa hayo masharti au umeangalia youtube

Siwezi bishana na wewe mkuu, wewe ndo wajua kama wanakula vizuri, kulala vizuri na kutembelea ma V8 ama la!

Na umekuwa mkali kweli, yaani kila comment ni mwendo wa fool[emoji81].
 
Kafara kubwa Ni mbili "DAMU na KULAWITI" hzo nyingne Ni cham toto Sana huwa za kuanzia Kuna level ukifika lazima wakuchane wakulungwa unataka kuendelea na utajiri lazima utoe damu au ulawiti sasa utachagua mwenyewe
 
Hayo masharti ni simple sana.kama unachemka kwa masharti simple Kama haya,Basi ww ni mzembe kupindukia.yapo masharti ukiambiwa,unamwambia mganga akupe muda ukatafakari,hata yy anakwambia Rudi kwanza halafu ukishaamua njoo tuendelee.
Shida sio hayo masharti kufuata ila hawa wataalamu wana tabia za kukusahaulisha ili ufeli na madude yake yapate sababu ya kukufilisi
 
Connection boss wapi ..ni PM
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio mbali Kuna mwana mmoja asaiv ana vyuma hatarii alikula kiapo yeye na mkewe hakuna kuchepuka akitaka mwanamke lazima afunge nae ndoa Kwanza ndio amgegede.

Jamaa alikuwa Hana vyuma nikampeleka Hilo chimbo alivyofanikiwa kanikataa kabisa yaaani kisa mm sijataka huo utajiri habar ya kupangiana kugegeda sitak kusikia kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio mbali Sana nikupita mto wami TU kwa mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…