dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Miaka 31 mtoto wa kiume hutakiwi kuwa, kwa wazaziNikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Enjoy love n sex as it lasts! Maswala ya kujifanya FBI kwenye mahusiano hutakaa ufurahie wala!Sikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!
Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA karibu na anadai kunipenda ?
Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!Mnaongea vipi, hakuna limitation ya kupiga kutuma msg n.k? Je unampata muda wowote unaomuhitaji au mpaka muweke ratiba? Mkikutana hua mnaspend usiku mzima au ni lazima arudi nyumbani akalale? Unaenda kwake utakavyo? Maongezi yake yako vipi ?
Kama yote hayo bado na unataka kujua basi jaribu
Kumpigia simu usiku uone kama atapokea na kama ukipokea je mtaongea kwa uhuru na kujiachia kama mnavyoongeaga muda mwingine,
Jaribu, kutaka kuspend nae usiku mzima au hata siku mbili mfululizo
Kama hujawahi fika kwake pambania uende
Ila ukijua ni mume wa mtu utamuacha?
Anyway mume wa mtu mtamu na mzuri ila raha awe amekuambia mwenyewe na umeridhia apo utaenjoy [emoji23]
Hivi unawajua hawa wababa wa wizara mbali mbali waliopelekwa Dodoma? Na wale ambao wake zao wamepelekwa Dodoma?Wewe uwe unapenda kuongea naye usiku kwenye simu .,
Utaona anakupa ratiba kibaooo
Lkn kwann akufiche?? Mimi nikitaka mwanamke, namwambia tu, aisee nmekuelewa ila Nina familia, tunaweza Kulana ??
Na mwitikio unakua mzuri tu.
Siku zote hata gari ya kuazima hua inanoga sana kuliko yakoπ ina excitement tofauti sana!Mnaongea vipi, hakuna limitation ya kupiga kutuma msg n.k? Je unampata muda wowote unaomuhitaji au mpaka muweke ratiba? Mkikutana hua mnaspend usiku mzima au ni lazima arudi nyumbani akalale? Unaenda kwake utakavyo? Maongezi yake yako vipi ?
Kama yote hayo bado na unataka kujua basi jaribu
Kumpigia simu usiku uone kama atapokea na kama ukipokea je mtaongea kwa uhuru na kujiachia kama mnavyoongeaga muda mwingine,
Jaribu, kutaka kuspend nae usiku mzima au hata siku mbili mfululizo
Kama hujawahi fika kwake pambania uende
Ila ukijua ni mume wa mtu utamuacha?
Anyway mume wa mtu mtamu na mzuri ila raha awe amekuambia mwenyewe na umeridhia apo utaenjoy [emoji23]
Inategemea na malengo yako!Enjoy love n sex as it lasts! Maswala ya kujifanya FBI kwenye mahusiano hutakaa ufurahie wala!
Yeah it is true!Hivi unawajua hawa wababa wa wizara mbali mbali waliopelekwa Dodoma? Na wale ambao wake zao wamepelekwa Dodoma?
Unaweza kuongea nao na simu hata hadi panakucha maana wapo wenyewe.
We unataka uolewe sio ndio target right?Inategemea na malengo yako!
Mimi sihitaji mwanaume for enjoyment tu ,hapana ....
Yes!We unataka uolewe sio ndio target right?
Ila umenichekesha jamaniBora usimpigie simu usiku asije akafukuzwa kwao mkuu. [emoji38][emoji38]
Hapo nimekupata vyema sasa.Yes!
Ananiambia amejenga ila anamalizia nyumbayeah vijana wamepanga hata kama wanaish maisha magum ila hawaish kwa wazaz,,,,mpaka hapo jibu na ushaul juu ya uzi wako ushajijibu
Sent from my SH-02J using JamiiForums mobile app
Hata Nipe techniques sasaHapo nimekupata vyema sasa.
1: Kwanza kwenye mawasiliano lazma atakuwa bussy mno pili hutaweza kuongea nae kwa kujiachia mda ote usikuSikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!
Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA karibu na anadai kunipenda ?
Techniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!Hata Nipe techniques sasa
Miaka 31 mtoto wa kiume hutakiwi kuwa, kwa wazazi
Mimi hapanani kasema?
Kwani mnakutana wap ... Huendi kwao ... Alaf mwanaume ana miaka 31 anakaa kwao huo ni uzembe . Umwambie akapang
Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam1: Kwanza kwenye mawasiliano lazma atakuwa bussy mno pili hutaweza kuongea nae kwa kujiachia mda ote usiku
2:Atakuwa anakugongea gest tu kila ukitaka kwenda kwake utakuwa unakula sababu 10000
3: Ngumu kuwajua marafiki zake,na hata kama utawajua basi watakua wachache sana
4: Mitoko mtakuwa mnatoka sehemu za mbali kabisa na maeneo ya kujificha
Yaaani ahsante nimepata vitu vya kunisaidiaTechniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!
1.Jamaa anaishi na demu wake wa malengo na muda ambao anarudi home ni kuanzia saa 2. So lazma akupange ili usipige simu.
2.Jamaa ana mke ambaye tayari wamefunga ndoa so muda ambao unataka kumpigia simu akiwa na mkewe hawezi pokea on the spot. Siku mkewe akiwa hayupo ndio ataongea na wewe free hadi utashangaa!
3. Hawezi kulala kwako overnight au sleepovers zile. Lazma arudi kwake yani by any means π
4.Kufika kwake sahau yani labda siku mkewe akiwa hayupo kasafiri π na huwezi ruhusiwa kwenda kwenda hovyo!
NB: Maisha hayo magumu sana yani niliwahi kuyaishi na manz mmoja alikuwa ananibana kweli nimpeleke kwangu kwa kweli ilikuwaga shughuli yani anaboreka kwanini namkazia kumpeleka kwanguπ kumbe kule kuna mke mwenzie dahπππ ujana maji ya moto sikuhizi tumekuwa lakini!
Hahahahhh duh!Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31