Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Sikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!

Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA karibu na anadai kunipenda ?
Enjoy love n sex as it lasts! Maswala ya kujifanya FBI kwenye mahusiano hutakaa ufurahie wala!
 
Mnaongea vipi, hakuna limitation ya kupiga kutuma msg n.k? Je unampata muda wowote unaomuhitaji au mpaka muweke ratiba? Mkikutana hua mnaspend usiku mzima au ni lazima arudi nyumbani akalale? Unaenda kwake utakavyo? Maongezi yake yako vipi ?

Kama yote hayo bado na unataka kujua basi jaribu
Kumpigia simu usiku uone kama atapokea na kama ukipokea je mtaongea kwa uhuru na kujiachia kama mnavyoongeaga muda mwingine,

Jaribu, kutaka kuspend nae usiku mzima au hata siku mbili mfululizo

Kama hujawahi fika kwake pambania uende

Ila ukijua ni mume wa mtu utamuacha?

Anyway mume wa mtu mtamu na mzuri ila raha awe amekuambia mwenyewe na umeridhia apo utaenjoy [emoji23]
Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!

Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga

Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
 
Wewe uwe unapenda kuongea naye usiku kwenye simu .,

Utaona anakupa ratiba kibaooo


Lkn kwann akufiche?? Mimi nikitaka mwanamke, namwambia tu, aisee nmekuelewa ila Nina familia, tunaweza Kulana ??

Na mwitikio unakua mzuri tu.
Hivi unawajua hawa wababa wa wizara mbali mbali waliopelekwa Dodoma? Na wale ambao wake zao wamepelekwa Dodoma?
Unaweza kuongea nao na simu hata hadi panakucha maana wapo wenyewe.
 
Mnaongea vipi, hakuna limitation ya kupiga kutuma msg n.k? Je unampata muda wowote unaomuhitaji au mpaka muweke ratiba? Mkikutana hua mnaspend usiku mzima au ni lazima arudi nyumbani akalale? Unaenda kwake utakavyo? Maongezi yake yako vipi ?

Kama yote hayo bado na unataka kujua basi jaribu
Kumpigia simu usiku uone kama atapokea na kama ukipokea je mtaongea kwa uhuru na kujiachia kama mnavyoongeaga muda mwingine,

Jaribu, kutaka kuspend nae usiku mzima au hata siku mbili mfululizo

Kama hujawahi fika kwake pambania uende

Ila ukijua ni mume wa mtu utamuacha?

Anyway mume wa mtu mtamu na mzuri ila raha awe amekuambia mwenyewe na umeridhia apo utaenjoy [emoji23]
Siku zote hata gari ya kuazima hua inanoga sana kuliko yako😅 ina excitement tofauti sana!
 
Hivi unawajua hawa wababa wa wizara mbali mbali waliopelekwa Dodoma? Na wale ambao wake zao wamepelekwa Dodoma?
Unaweza kuongea nao na simu hata hadi panakucha maana wapo wenyewe.
Yeah it is true!
 
Sikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!

Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA karibu na anadai kunipenda ?
1: Kwanza kwenye mawasiliano lazma atakuwa bussy mno pili hutaweza kuongea nae kwa kujiachia mda ote usiku

2:Atakuwa anakugongea gest tu kila ukitaka kwenda kwake utakuwa unakula sababu 10000

3: Ngumu kuwajua marafiki zake,na hata kama utawajua basi watakua wachache sana

4: Mitoko mtakuwa mnatoka sehemu za mbali kabisa na maeneo ya kujificha
 
Hata Nipe techniques sasa
Techniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!

1.Jamaa anaishi na demu wake wa malengo na muda ambao anarudi home ni kuanzia saa 2. So lazma akupange ili usipige simu.

2.Jamaa ana mke ambaye tayari wamefunga ndoa so muda ambao unataka kumpigia simu akiwa na mkewe hawezi pokea on the spot. Siku mkewe akiwa hayupo ndio ataongea na wewe free hadi utashangaa!

3. Hawezi kulala kwako overnight au sleepovers zile. Lazma arudi kwake yani by any means 😅

4.Kufika kwake sahau yani labda siku mkewe akiwa hayupo kasafiri 😂 na huwezi ruhusiwa kwenda kwenda hovyo!

NB: Maisha hayo magumu sana yani niliwahi kuyaishi na manz mmoja alikuwa ananibana kweli nimpeleke kwangu kwa kweli ilikuwaga shughuli yani anaboreka kwanini namkazia kumpeleka kwangu😅 kumbe kule kuna mke mwenzie dah😂😂😂 ujana maji ya moto sikuhizi tumekuwa lakini!
 
Kwani mnakutana wap ... Huendi kwao ... Alaf mwanaume ana miaka 31 anakaa kwao huo ni uzembe . Umwambie akapang

1: Kwanza kwenye mawasiliano lazma atakuwa bussy mno pili hutaweza kuongea nae kwa kujiachia mda ote usiku

2:Atakuwa anakugongea gest tu kila ukitaka kwenda kwake utakuwa unakula sababu 10000

3: Ngumu kuwajua marafiki zake,na hata kama utawajua basi watakua wachache sana

4: Mitoko mtakuwa mnatoka sehemu za mbali kabisa na maeneo ya kujificha
Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
 
Techniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!

1.Jamaa anaishi na demu wake wa malengo na muda ambao anarudi home ni kuanzia saa 2. So lazma akupange ili usipige simu.

2.Jamaa ana mke ambaye tayari wamefunga ndoa so muda ambao unataka kumpigia simu akiwa na mkewe hawezi pokea on the spot. Siku mkewe akiwa hayupo ndio ataongea na wewe free hadi utashangaa!

3. Hawezi kulala kwako overnight au sleepovers zile. Lazma arudi kwake yani by any means 😅

4.Kufika kwake sahau yani labda siku mkewe akiwa hayupo kasafiri 😂 na huwezi ruhusiwa kwenda kwenda hovyo!

NB: Maisha hayo magumu sana yani niliwahi kuyaishi na manz mmoja alikuwa ananibana kweli nimpeleke kwangu kwa kweli ilikuwaga shughuli yani anaboreka kwanini namkazia kumpeleka kwangu😅 kumbe kule kuna mke mwenzie dah😂😂😂 ujana maji ya moto sikuhizi tumekuwa lakini!
Yaaani ahsante nimepata vitu vya kunisaidia
 
Back
Top Bottom