Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
- Thread starter
-
- #141
Ndio maana tunasema ni Air freshener..Zamani hizi dawa ukimaliza kupiga unakimbia nje haraka maana utakohoa hadi ukome lakini siku hizi unapiga na unalala humo humo bila tatizo
Naona zote tu ni yale yale ila una make sense.. maybe inaweza kuwork outHIT ni nzuri ila unapokwenda dukani nunua hit rangi ya kijani ndio inanguvu rangi ya orange na puple sio nzuri' kijani utakuja kunishukuru na ndio maana maduka yote huwezi kupata hit kopo la kijani zinakuwa zimeisha hata mwenye duka mangi kaniuliza mbona kila anaikuja anataka HIT ya mfuniko wa kijani nikamwambia ndio kali aijachanganya na manukato
Well noted...
Mbu wa Dar wamepinda sana alafu wanajua kukwepa.Mbu wa skuzi wanakili na wanajua kuadapt balaa,usikute wanavaa hadi maski,maana hata doom skuiz napulizia Ile ya machungwa ilete harufu nzuri gheto si kuua mbu tena,Anyway nimeskia wa Dasalamu wanauma mchana nowadays
Mnoo Mkuu.Kumbe tupo wengi hivi!
Well noted Sir...Kuna dawa inaitwa "Doom" nzuri sana
Zinapatikana Supermarket nyingi,zinatengenezwa nchi jirani
Tuipige chini tu..Aise huu ni ukweli kabisa leo nilivyouona huu uzi Sasa ndo napigia mstari kabisaa, hit nilitumia siku za nyuma lakin kila nikirud nyumban nakuta mbu wako vilevile hawajafa na taratibu zote za kupuliza nimefanya
ila Kati ya Hit na rungu angalau Rungu napuliza mara 1 tu kwa wiki inasaidia mbu hawapo hawa hit bidhaa yao haiuwi mbu kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni.
Hakuna dawa kabsa humoHit ndio ilikuwa dawa yangu Bora kabisa Kwa kuua mbu ila sijaitumia siku nyingi kumbe wameshaichakachua tayari? Wameshajichimbia kaburi lao
Ni perfume ile...Umejua kunichekesha. Nilikuwa na stress ila kwa andiko lako mbavu zimeuma. Anyways kwa Sasa hakuna dawa za mbu, ni usanii TU.
Nashindwq kuelewa Mamlaka ya usimamiz wa Ubora Haiangaliii hilo.Hii dawa ya HIT haifai hata kuwa air freshner, nilishawahi kuitumia nilijuta kununua...
Kwanza ina harufu mbaya utadhani kitu kilichooza,
PIli, haiui mbu hata sisimizi haiui.
Ni dawa isiyofaa hata ukipewa bure
Mbu muda huo wana DJ wao kama AllyB anapiga miruzi huko🤣🤣🤣
Jana nilipuliza hiyo dawa kuua mbu nikiwa kitandani nikawa napitia threads hapa jf nikakutana na ile ya bar na kumbi 89 kufungiwa.
Wakati napitia comments nikaona member ameweka app ya kupima sauti, nikadownload nikapima sauti ikaniondika 20dB: Mosquito,.
View attachment 2616026
Nikasema yaani yenyewe mpaka sauti za mbu inatambua na nimepuliza dawa kumbe bado kuna mbu wapo.
Tanzania tuna kiwanda kipo Kibaha. Kinatengeneza dawa za kuua mazalia ya mbu. Kipo kibaha, mkoa wa Pwani.Aise hizi dawa ni hamna kitu kabisa
Hamna kitu pale. Tuanibiwa tu na nahis wanasambaza rushwa sana ktk hili swalaYaani mie mpk boss ananiambia dawa tunapulizia nyingi mbona siku 2 tu ishaisha...yaani sio mbu tu hata wadudu wengine ukitaka wafe lazima uipulize kwa wingi
Umebugi pakubwa sana.. hiyo dawa haiui MBU ije iue kunguni?? Neveryaani sasa hivi nimenunu hit kwa bei 7000 nafungua jf nakutana na stori ya hit nimepata hasara au ngoja nitajaribu maana nimeinunua sababu ya kunguni
Na vile vya kuchoma vya kifimbo vina afadhali kuliko Hit Auntie..Mkuu kuhusu hit ni kweli jamani inalevya mbu sio kuua mpaka nilijiuliza au hii ni fake bora rungu mara 100 kuliko hit
Auntie tena hizi za kuchoma unaona kabisa mbu walivyokufa yaani auntie hit bado haijaisha kila siku naipuliza ukikaa kidogo unasikia mbu wanaliaNa vile vya kuchoma vya kifimbo vina afadhali kuliko Hit Auntie..