Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

leo nimempata kunguni mmoja nikamuweka sehemu open nakachukua HIT kuona kama wanaosema ni kweli? nikampulizia yule kunguni nikaona bado anatembea tena fasta nikasubiri daki moja nikampulizia tena HIT nikaona bado anatembea tu, nikahakikisha yanayosemwa ni ukweli
Hata ungemweka kwenye kopo la Hiti humo humo bado ungekuta anatembea
 
Hizi dawa zilikuwa vizuri miaka minne iliyopita ila hali ya sasa kwa kweli ni UTAPELI wa wazi.

1. Haiui MBU kwa kiwango kinachopaswa yaani katika Mbu 50 watakufa watatu (3).

Yaani mpk mbu afe ni umloweshe na hiyo dawa ndio atakufa ila ukipuliza kama inavyoelekezwa upulize ktk mazingira ya eneo waliopo, hakika hatokufa Mbu hata mmoja, ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni.

2. Hata Mbu kuzimia kidogo hakuna! Sana sana watajificha tu kwa muda wa lisaa limoja baada ya kupuliza ila watarudi na wakirudi wanarudi na NJAA ya kufa mtu. (Inawezekana hii Dawa ina wapa Appetite zaidi)

Si kwa HIT tu nimetumia dawa ya RUNGU pia haina matokeo mazuri ktk kuangamiza MBU.

Je wana JF mmekutana na hii changamoto?

Je mnapendekeza dawa ipi bora ya kuangamiza hawa viumbe?

NB: Nimezungumzia kwa upande wa Mdudu aina ya MBU tu kwa kuwa ndio mdudu anayenisumbua mahala nilipo, hakuna Mende wala wadudu wengine, hivyo ufanisi wa dawa hii kwa kuua viumbe wengine sijaupima.

Nawasilisha.
1683824344756925836192687999554.jpg
Tumia hii ni nzuri.
 
leo nimempata kunguni mmoja nikamuweka sehemu open nakachukua HIT kuona kama wanaosema ni kweli? nikampulizia yule kunguni nikaona bado anatembea tena fasta nikasubiri dakika moja nikampulizia tena HIT nikaona bado anatembea tu, nikahakikisha yanayosemwa ni ukweli, HIT NI OVYOOO SINUNUI TENA
😅😅😅 unawafuga mkuu?
 
Mbu wa sahivi wapo very technical kwanza wanakuuma kwanza alafu maumivu unapata tyr ameshaondoka eneo la tukio yaan wapo stealthy..... .

Kingine hawaonekani kirahisi/kijingajinga.

Pia ni wabishi kufa au kuzimia.

Nahis hawa mbu ni laboratory modified species..
😅😅😅jana nilikuwa napiga story na wife namwambia hawa mbu sio wa kawaida.
Nahisi tumeletewa biological weapons.
Mbu wanawasha kama viwavi ndio mbu gani?
 
Hizi dawa zilikuwa vizuri miaka minne iliyopita ila hali ya sasa kwa kweli ni UTAPELI wa wazi.

1. Haiui MBU kwa kiwango kinachopaswa yaani katika Mbu 50 watakufa watatu (3).

Yaani mpk mbu afe ni umloweshe na hiyo dawa ndio atakufa ila ukipuliza kama inavyoelekezwa upulize ktk mazingira ya eneo waliopo, hakika hatokufa Mbu hata mmoja, ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni.

2. Hata Mbu kuzimia kidogo hakuna! Sana sana watajificha tu kwa muda wa lisaa limoja baada ya kupuliza ila watarudi na wakirudi wanarudi na NJAA ya kufa mtu. (Inawezekana hii Dawa ina wapa Appetite zaidi)

Si kwa HIT tu nimetumia dawa ya RUNGU pia haina matokeo mazuri ktk kuangamiza MBU.

Je wana JF mmekutana na hii changamoto?

Je mnapendekeza dawa ipi bora ya kuangamiza hawa viumbe?

NB: Nimezungumzia kwa upande wa Mdudu aina ya MBU tu kwa kuwa ndio mdudu anayenisumbua mahala nilipo, hakuna Mende wala wadudu wengine, hivyo ufanisi wa dawa hii kwa kuua viumbe wengine sijaupima.

Nawasilisha.
Hizo uliambiwa ni dawa za kuuwa mbu?

Hizo ni dawa za kufukuza mbu (repellants).


Dawa ya kuuwa mbu hutumika kwa nje ya nyumba, zikipuliziwa ndani ya nyumba itabidi, kwa uchache, siku tatu usiingie ndani ya hiyo nyumba. Ukijifanya mkaidi utakufa wewe.
 
leo nimempata kunguni mmoja nikamuweka sehemu open nakachukua HIT kuona kama wanaosema ni kweli? nikampulizia yule kunguni nikaona bado anatembea tena fasta nikasubiri dakika moja nikampulizia tena HIT nikaona bado anatembea tu, nikahakikisha yanayosemwa ni ukweli, HIT NI OVYOOO SINUNUI TENA
Wapi ulipoambiwa HIT ni dawa ya kuuwa kunguni?
 
Biadhaa Tanzania ni utapeli Mtupu hata maji ya Kopo haya tunayonunua ukifatilia kwa makini utaona ni maji feki.

Sema walishapewa nembo za kubandika za Mamlaka husika basi haya maji ya nomba wanatuwekea tu
Hivi maji ya Kilimanjaro umekunyw hivi recently..? Maji ya chumvi kbs
 
Back
Top Bottom