UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

Daaaah..Jamaa kapatwa na nini asee .
Mbona majanga yanamuandama sana .
Alikuwaga na ndinga kali sana BMW ikala mzinga then huku madeni juu.

Yule manzi ake hajamkimbia kweli.??
Mana manzi fulani mjanja janja sana anaonekana.
 
kuna mwingine naye hapa hapa bongo kachukua usd laki moja na nusu kwa watu toka January mpaka leo kapotea pasipo julikana, kibaya zaidi aliwasainisha watu mikataba hata pesa isipo rudi he is not liable
Huyu sio yule wa JNIC kweli huyu
 
 
Wajinga waliwao
Acha wapigwe .....wapenda slope

Ova
 
IMG_20190501_115625.jpeg



 
Najiuliza kila siku bila kupata majibu kama Forex inakupatia hela kwann una manage account za watu.
Kutafuta kiki isiyo na msingi ujulikane na kila mtu
 
Huwa hazilipiki hela kama hizo za Forex..mi nimekuwa mpole kitambo sasa baada ya kupigwa na mkenya na msouth Andile
Ile ya $500 ya estate sijui vitu gani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaaah..Jamaa kapatwa na nini asee .
Mbona majanga yanamuandama sana .
Alikuwaga na ndinga kali sana BMW ikala mzinga then huku madeni juu.

Yule manzi ake hajamkimbia kweli.??
Mana manzi fulani mjanja janja sana anaonekana.
Aliachana nae alivyoanza kuwa maarufu na demu akaresign kuwa co CEO jamaa akaenda kwa kademu kengine kachuo sijui kale ikawa ivo kwa mujibu wa wanazengo
 
Aliachana nae alivyoanza kuwa maarufu na demu akaresign kuwa co CEO jamaa akaenda kwa kademu kengine kachuo sijui kale ikawa ivo kwa mujibu wa wanazengo
Hahahahahah dogo hela zilimzuzua sana sijui alipatwa na nini

Alianza jeuri na nyodo kudadadek wana tuliokuwa tunampa vitabu longtime akatuona takataka aisee

Tukasema tawile baba hivi sasa kajificha njombe huko kwao anapambana na MT4 haipandi kila siku vitasa kwani soko sio LA babake hahahahshah
 
Back
Top Bottom