Siwezi danganya nimetapeliwa kweli ndugu zangu siko kwenye hali nzuri, nifarijini tu najua yatapita naomba Mungu uzima tu.
Nimeenda CRDB nimewaomba details za huyo aliyefungua account namba wamekataa, hawaruhusiwi details za mtu za kibenki basi nimeishia hapo.
Cha msingi jamaa ni kufanya attempt ya kuwapata wahalifu wake, huenda akaokoa pesa kidogo au akaishi kwa tumaini.
Atume humu miamala ya bank na contacts zote alizotumia.
Kuna watu humu wana ujuzi mwingi wa kisheria na kimitandao wanaweza kumsaidia.
Mfano kasema pesa yenyewe aliwalipia katika bank ya CRDB, amejaribu kwenda kuomba details zao benki, benki wamekataa.
Unaona mpaka hapo suala la sheria hilo, hauwezi kwenda kuomba details za mtu benki ukapewa.
Aombe msaada wa kisheria humu.
Atuonyeshe pia mfumo aliotumia ku cancell order.
😂😂. Pole sana mkuu wanguNimewasiliana nao Real wa ukweli wameconferm sio wao
nilikuwa barabarani ndugu zangu,inforealmotor@gmail.com. ndo email yao.
Ndio nnayo na hiyo kampuni imesajiliwa kabisa Brela.Una deposit slip uliyotumia kuweka pesa CRDB ?
Haiwezi kuishia hapo kizembe namna hiyo.
Una pa kuanzia
Ndio nnayo na hiyo kampuni imesajiliwa kabisa Brela.
Kama kampuni imesajiliwa brela usikubali matokeo kirahisi hivi. Cha mwanaume hakipotei tu hivi hivi pambana nenda polisi fungua kesi.NASHUKURU MUNGU SANA NIMEZUNGUMZA NA MKE WANGU NIMEMWAMBIA KILA KITU KILICHOTOKEA AMENIFARIJI SANA TUNAMUOMBA MUNGU ATUPE KUSAMEHE NA WEPESI WA KUBEBA HILI JAMBO,NALICHUKULIA KAMA KUTOA SADAKA MAISHA LAZIMA YAENDELEE.MUNGU AWABARIKI SANA NDUGU ZANGU HUMU JUKWAANI MMENIFARIJI PIA NA NIMEJIFUNZA MAKOSA NI MWALIMU MUNGU ATUBARIKI SOTE.
Shamba tayari analoBora ungenunua hata shamba kibaha mbeleni ukate viwanja
Kampuni inatumia email ya "gmail"?? Basi ni uzembe wako kupigwaNimewasiliana nao Real wa ukweli wameconferm sio wao
nilikuwa barabarani ndugu zangu,inforealmotor@gmail.com. ndo email yao.
ulichukulia mambo kirahisi sana kwenye vitu serious unavyoweka pesa.Nilikuwa nawasiliana nao kwa email na insta.
Ni kweli kabisa nilifanya uzembe sana,naombeni mnisamehe kwa hilo Mniombee nipite salama kwenye hili pito langu.ulichukulia mambo kirahisi sana kwenye vitu serious unavyoweka pesa.
Wewe boya unafikiri kujua ndio kujua kila kitu. Mbona babu yako mzaa Mama aliwaigi kutapelewa Kariakoo mbona haujamwambia mzembe?Kampuni inatumia email ya "gmail"?? Basi ni uzembe wako kupigwa
Hata biblia inakataza huu msimamo inapokuja swala la haki yako.NASHUKURU MUNGU SANA NIMEZUNGUMZA NA MKE WANGU NIMEMWAMBIA KILA KITU KILICHOTOKEA AMENIFARIJI SANA TUNAMUOMBA MUNGU ATUPE KUSAMEHE NA WEPESI WA KUBEBA HILI JAMBO,NALICHUKULIA KAMA KUTOA SADAKA MAISHA LAZIMA YAENDELEE.MUNGU AWABARIKI SANA NDUGU ZANGU HUMU JUKWAANI MMENIFARIJI PIA NA NIMEJIFUNZA MAKOSA NI MWALIMU MUNGU ATUBARIKI SOTE.
Wewe mat*k kweli! 🤣🤣🤣Wewe boya unafikiri kujua ndio kujua kila kitu. Mbona babu yako mzaa Mama aliwaigi kutapelewa Kariakoo mbona haujamwambia mzembe?
Pole sana chief ndo kijifunza hela zinatafutwa.! Tunajifunza kutokana na makosa. 9M sio mbaya sana, utapata zaidi ya hizoNi kweli kabisa nilifanya uzembe sana,naombeni mnisamehe kwa hilo Mniombee nipite salama kwenye hili pito langu.