Utaratibu wa kuishi na ndugu baada ya ndoa unafaa uwe vipi?

Utaratibu wa kuishi na ndugu baada ya ndoa unafaa uwe vipi?

Kaka yangu alifanya hivi...
Ndugu wakija nyumban kwake kukaa basi ni ndugu wenye faida haijalishi anatoka upande gani hakuwahi kutaka ujinga kabisa na anaishi vizuri mpaka leo kikubwa msimamo tu.

imagine
Ana kila kitu nyumban kaz nzuri, mshahara mnono alichofanya alianza kilimo cha mpunga bondeni kama mnavyojua kaz za mpunga haziishi mwezi wowote ni kazkaz tu kwahyo ndugu wakienda kwake anawasombelea wote kwenda shamban kumsaidia kaz huko maana yye yuko bize ni kutoa maelekezo tu. Walikuwa wakienda kwake ni trip moja tu hawarud tena wanalalamika tu afu maisha frsh tu
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hapo mmepanga au mmejenga !? Tuanzie hapo kwanza

Kama mmepanga nina washauri muhame kimya kimya na muhamie mbali na wao , pia hakikisha kama mkeo Hana kazi umtafutie kazi ya kufanya awe busy kiasi kwamba wawe wanakosa muda wa kuja kuwa tembelea
 
Familia zetu tumezoea kuishi kiujamaa Kama wahindi na waarabu
kuna raha gani ya kuishi mtu na mke tu?
Kama nyumba kubwa acha watu waishi.
Uchumi una ruhusu au unaongea tu!? Hapo ikitokea jamaa akafilisika mashemeji wote wataanza kumbeza watasahau kuwa alikuwa anatumia gharama nyingi kwaajili yao
 
Hapo mmepanga au mmejenga !? Tuanzie hapo kwanza

Kama mmepanga nina washauri muhame kimya kimya na muhamie mbali na wao , pia hakikisha kama mkeo Hana kazi umtafutie kazi ya kufanya awe busy kiasi kwamba wawe wanakosa muda wa kuja kuwa tembelea
tumepanga, ujenzi unaendelea nitakamilisha vyumba vichache tu itakuwa zuia mojawapo
 
Habari za siku nyingi watu wa Mungu.

Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa napenda sana ndugu ila kuishi na ndugu ni mtihani kama mtu ana uhitaji na tuna uwezo wa kumsaidia bora tumsaidie huko huko aliko kukiwa na ulazima sana ndipo ataishi kwetu.

Bahati mbaya huyu mwenzangu na ndugu zake wamefanya nyumba yangu kijiwe ndugu zake wote wapo hapa hapa mjini sasa imekuwa anakuja huyu anakaa wiki anaondoka wanapokezana , likizo watoto zao wanawaleta kwangu na wana vurugu kweli ile likizo ya mwaka mpya walinivunjia side mirror ya gari ikabidi niwafukuze manake walikuwa wakiaanza kukimbizana wanapita mpaka juu ya makochi ilibaki kidogo wakanyage kompyuta niliwafukuza siku hiyo hiyo.

Tatizo la pili kuna ndugu zake hawa watu wazima wakike ambao ni dadazake ni wakubwa kiasi mmoja binti yake ndiyo mwenye watoto niliowafukuza, hawa wanakaa tu nyumbani hawafanyi chochote ni kuangalia tu tamthiliya mpaka kurudi nyumbani sasa naona kero mimi na wife hatujajaliwa watoto sasa hapo nyumbani kuna familia ya watu 4 na wote wanatokea hapo mabibo yaani mimi ndio nimekuwa kama mgeni kwenye familia.

Nikimuambia hawa watu kwanini wasirudi kwenu kwenye nyumba ya familia wakae sisi tutakaa nao mpaka lini anasema soon wataondoka toka mwezi wa pili anasema hivyo soon wataondoka, karibuni mama anataka kuja kwenye matibabu MOI ila kagoma kufikia kwangu hawezi lala kitanda kimoja na mtu mwingine anashida na mifupa.

hapo bado kuna ndugu zake wanakuja tu wikend wakijisikia na wakiondoka hawana nauli wanakuomba tena shemeji nauli hasa namuuliza hawa nao wanakuja kila wikend kufanya nini, anasema kama sitaki ndugu zake waje atawaambia ila tatizo sio kuja tatizo hata nauli hawana ukiwapa ndogo wanakuimbia kuna sehemu ya kupanda bodaboda.

Ajabu wao wenyewe kwa wenyewe hawatembeleani ni kama vile wanaamua kunimalizia pesa hivi. Nipeni busara kudeal na hawa watu nahisi kuanza kukata mahitaji.

Mkuu nikikuita wewe ni mjinga nitakuwa nakosea?

Jitahidi uwe na roho ngumu na uhodari Kama Mwanaume linapokuja suala la furaha yako binafsi. Usijali lolote, fukuza wote, Mkeo nao akizingua fukuza
 
... kama hawamegi pakubwa ishi nao tu, sometime huwa wanakuwa na baraka zao. Maisha ni haya haya tu na ya kupita. Mapokeo na mtizamo utakaowachukulia ndio itakuwa hivyo...Upande wa pili hiyo ni familia yako una mamlaka kamili ya kuchagua nani wa kuishi naye nje ya mkeo so be straight.
Baraka za kinyonyaji kwan hana kwao??
 
Habari za siku nyingi watu wa Mungu.

Hivi ni utaratibu gani unafaa kufuatwa katika kuchagua ndugu wa kuishi nao baada ya ndoa. Nakumbuka mwanzo kabisa kipindi namuoa mke wangu nilimjulisha kuwa napenda sana ndugu ila kuishi na ndugu ni mtihani kama mtu ana uhitaji na tuna uwezo wa kumsaidia bora tumsaidie huko huko aliko kukiwa na ulazima sana ndipo ataishi kwetu.

Bahati mbaya huyu mwenzangu na ndugu zake wamefanya nyumba yangu kijiwe ndugu zake wote wapo hapa hapa mjini sasa imekuwa anakuja huyu anakaa wiki anaondoka wanapokezana , likizo watoto zao wanawaleta kwangu na wana vurugu kweli ile likizo ya mwaka mpya walinivunjia side mirror ya gari ikabidi niwafukuze manake walikuwa wakiaanza kukimbizana wanapita mpaka juu ya makochi ilibaki kidogo wakanyage kompyuta niliwafukuza siku hiyo hiyo.

Tatizo la pili kuna ndugu zake hawa watu wazima wakike ambao ni dadazake ni wakubwa kiasi mmoja binti yake ndiyo mwenye watoto niliowafukuza, hawa wanakaa tu nyumbani hawafanyi chochote ni kuangalia tu tamthiliya mpaka kurudi nyumbani sasa naona kero mimi na wife hatujajaliwa watoto sasa hapo nyumbani kuna familia ya watu 4 na wote wanatokea hapo mabibo yaani mimi ndio nimekuwa kama mgeni kwenye familia.

Nikimuambia hawa watu kwanini wasirudi kwenu kwenye nyumba ya familia wakae sisi tutakaa nao mpaka lini anasema soon wataondoka toka mwezi wa pili anasema hivyo soon wataondoka, karibuni mama anataka kuja kwenye matibabu MOI ila kagoma kufikia kwangu hawezi lala kitanda kimoja na mtu mwingine anashida na mifupa.

hapo bado kuna ndugu zake wanakuja tu wikend wakijisikia na wakiondoka hawana nauli wanakuomba tena shemeji nauli hasa namuuliza hawa nao wanakuja kila wikend kufanya nini, anasema kama sitaki ndugu zake waje atawaambia ila tatizo sio kuja tatizo hata nauli hawana ukiwapa ndogo wanakuimbia kuna sehemu ya kupanda bodaboda.

Ajabu wao wenyewe kwa wenyewe hawatembeleani ni kama vile wanaamua kunimalizia pesa hivi. Nipeni busara kudeal na hawa watu nahisi kuanza kukata mahitaji.
Utateseka Sana kama utashindwa ongoza mke na Kuja kulia jamii forums
 
Hapo ni wewe na mkeo kusafiri kidogo, kisha kualika wana waje kuwatembezea rombo hao WAHAMIAJI HARAMU usiku kucha, wanapigwa Mbupu mpaka asubui na Ma POPOBAWA
 
Kwanza kbsa pole za dhati zfike kwako mlalamikaji,ingawa kuna watakaosema una roho ya kichoyo wapuuze.

Inatia smanz na hasra, kuna familia ikibaini tu una kauwezo bas wanafanya kuhamia kwako; kwako panakuwa ndo sehemu yamakimbilio yao, s mashemej s mawif wanafanya kuhamia bila kuwaza kuwa na ww una majukumu binafs unayopaswa kuyatatua.

Wanawaza pesa zako n za kula tu na kuwafurahsha wao, yapasa usmame kama mwanaume baba kichwa cha familia na kiongozi wa familia. Ongea na mkeo akileta mambo meus, itsha kikao cha hao wageni wasio rasma waeleze ukweli. Mjini vtu n gharama, kwann kurudshana nyuma kimaisha. Maana hata baraka hupat maana unatoa(unawapa chakula malazi na mahitaji mengne) kwa kulazmika na s kwa moyo wa kupenda.

Ukikaa kimya unayeumia n ww wakat mwngne yafaa uchukue maamuz magumu, yann kufa na tai shngoni umenikumbusha kisa kimoja:-

"Baba moja ambaye n jirani yetu, amepanga hapa nyumba nzma yy pamoja na familia yake(mkewe na watoto 4). Huyu baba n mtu wa mara yy pamoja na mkewe, baba n fund magar(gereji) na mazaa n mam wa nyumbani.

Hapa kat mke alikileta kitongoji chake, mama ake mzaz watt wawil wa kaka yake dada yake pamoja na mtoto wa jirani yao huko mara. Hichikijiji chote kiliishi hapa kikimtegemea baba kwa asilimia 99.9, kutokana na hali ya uchumi familia ikamlemea baba wa watu.

Huyu baba n miongon mwa watu ambao n waongeaji n hatari, wazee wa makavu "laivu". Yaan hawapepesi macho, ukitaka kumuua nyani shart usmtazame usoni.

Basi ikawa sku ikawa week ikawa mwez ikawa miez, baba akaona maji yamemfika shngoni. Jion akaitsha kikao cha dharura, akitaka kujua nia na madhumun ya ugen ule endelevu. Kwa kweli kikao kilikua cha moto maana wagen walipata smanzi na huzuni mioyoni mwao, lkn kwa mwenyej wao ilikua ahueni maana aliona n her awaeleze ukweli kuliko kufa na tai shngoni.

Baada ya week ule ugen mzto ulirejea makwao, na mpk leo sjawah ona tena wagen wa aina ile nyumban kwa muhanga n muhanga wa wagen sugu wanaotoka makwao na kuhamia kwa wengne bila hata soni machon mwao.
 
Mkuu hili wazo nilikuwa nalo na nilimuambia wife nitapanga chumba sababu nyumba imekuwa ghetto kuna madogo ndugu zake walikuwa wanasubiri matokeo ya chuo basi nyumba ni mziki kwa kwenda mbele mara wameunganisha tv na simu. mara wamegawana zase za kuhifadhia miwani wengine wamechukua notebook za kazini ambazo hazijatumika yaani ni vurugu tupu, hili wazo linafanyiwa kazi.
Unaishi kwenye chumba kimoja? Usioe kabla hujawa na uwezo wa kujenga nyumba yako. Period.
 
Kama huwataki kwako waambie ukweli, acha kutia huruma mwanaume. Na kama huna hiyo bajeti ya nauli waambie hauna acha kulialia jf…otherwise kaa chini na mkeo umwambie ulimuoa yeye hukuoa familia.

Alafu acha uchoyo mkuu[emoji1787] japo hiyo hali inakera[emoji2314]
 
Kama huwataki kwako waambie ukweli, acha kutia huruma mwanaume. Na kama huna hiyo bajeti ya nauli waambie hauna acha kulialia jf…otherwise kaa chini na mkeo umwambie ulimuoa yeye hukuoa familia.

Alafu acha uchoyo mkuu[emoji1787] japo hiyo hali inakera[emoji2314]
Uchoyo una msumbua huyu.
 
Wewe anza kulalamika tu hali ngumu,
Hadi home lalamika hali ngumu muanze kula matembeli, dagaa au maharagwe

Wakija wakikaa week ya kwanza, ya pili wakiona hamna mabadiliko watasepa wote

kumbuka hali ngumu mpaka kwenye nauli plus vifurushi vya TV
 
sema wananiona mpole kuna kaka zao kabisa wako vizuri kipesa lakini kwao hawakanyagi, ila kwangu kila wikend nilishaanza wabania pesa wanakuja kwa machale, shida hawa wamama hapa nyumbani mtu ana 47 ana watoto watatu, mtoto wake wa kwanza kaolewa ila hajawhi enda ishi na mkwe wake ila hapa kwa mdogowake ndio amefanya kwake.

Maanina, punguza bajeti mpe mkeo pesa ya siku makadirio ya watu wawili, au mmoja wewe kula nje ukirudi uko poa, usiwape room ya kuongea nao sana sana.Usilipie king’amuzi, weka vikwazo kiuchumi kwa mkeo
 
Asee hilo linatakiwa kujulikana mapema kabisa kabla ya kuoana,cha muhimu wapige stop kuja,au kama watakuja na unaunga mkono maoni ya shetani basi ww tafuta mchempuko mpangie chumba wakija ndugu zake ww hamia kwa mchepuko kwa muda na matumizi yako afu mtumie sms "nimewapa nafasi kwanza wakiondoka niambie nirudi"

Bila shaka utakuwa mwisho wao kama mkeo ni mtu wa kujiongeza
Duu ujumbe huu kama nauelewa ,lakini asije hamia jumla kwa mchepuko[emoji1][emoji1]
 
Kaka yangu alifanya hivi...
Ndugu wakija nyumban kwake kukaa basi ni ndugu wenye faida haijalishi anatoka upande gani hakuwahi kutaka ujinga kabisa na anaishi vizuri mpaka leo kikubwa msimamo tu.

imagine
Ana kila kitu nyumban kaz nzuri, mshahara mnono alichofanya alianza kilimo cha mpunga bondeni kama mnavyojua kaz za mpunga haziishi mwezi wowote ni kazkaz tu kwahyo ndugu wakienda kwake anawasombelea wote kwenda shamban kumsaidia kaz huko maana yye yuko bize ni kutoa maelekezo tu. Walikuwa wakienda kwake ni trip moja tu hawarud tena wanalalamika tu afu maisha frsh tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee wa Warioba aliwanunulia majembe mbona walimkoma mpaka sahizi huyo anapepea tu hana hata kitambi cha stress haa ha ha ha
 
Back
Top Bottom