Kwanza kbsa pole za dhati zfike kwako mlalamikaji,ingawa kuna watakaosema una roho ya kichoyo wapuuze.
Inatia smanz na hasra, kuna familia ikibaini tu una kauwezo bas wanafanya kuhamia kwako; kwako panakuwa ndo sehemu yamakimbilio yao, s mashemej s mawif wanafanya kuhamia bila kuwaza kuwa na ww una majukumu binafs unayopaswa kuyatatua.
Wanawaza pesa zako n za kula tu na kuwafurahsha wao, yapasa usmame kama mwanaume baba kichwa cha familia na kiongozi wa familia. Ongea na mkeo akileta mambo meus, itsha kikao cha hao wageni wasio rasma waeleze ukweli. Mjini vtu n gharama, kwann kurudshana nyuma kimaisha. Maana hata baraka hupat maana unatoa(unawapa chakula malazi na mahitaji mengne) kwa kulazmika na s kwa moyo wa kupenda.
Ukikaa kimya unayeumia n ww wakat mwngne yafaa uchukue maamuz magumu, yann kufa na tai shngoni umenikumbusha kisa kimoja:-
"Baba moja ambaye n jirani yetu, amepanga hapa nyumba nzma yy pamoja na familia yake(mkewe na watoto 4). Huyu baba n mtu wa mara yy pamoja na mkewe, baba n fund magar(gereji) na mazaa n mam wa nyumbani.
Hapa kat mke alikileta kitongoji chake, mama ake mzaz watt wawil wa kaka yake dada yake pamoja na mtoto wa jirani yao huko mara. Hichikijiji chote kiliishi hapa kikimtegemea baba kwa asilimia 99.9, kutokana na hali ya uchumi familia ikamlemea baba wa watu.
Huyu baba n miongon mwa watu ambao n waongeaji n hatari, wazee wa makavu "laivu". Yaan hawapepesi macho, ukitaka kumuua nyani shart usmtazame usoni.
Basi ikawa sku ikawa week ikawa mwez ikawa miez, baba akaona maji yamemfika shngoni. Jion akaitsha kikao cha dharura, akitaka kujua nia na madhumun ya ugen ule endelevu. Kwa kweli kikao kilikua cha moto maana wagen walipata smanzi na huzuni mioyoni mwao, lkn kwa mwenyej wao ilikua ahueni maana aliona n her awaeleze ukweli kuliko kufa na tai shngoni.
Baada ya week ule ugen mzto ulirejea makwao, na mpk leo sjawah ona tena wagen wa aina ile nyumban kwa muhanga n muhanga wa wagen sugu wanaotoka makwao na kuhamia kwa wengne bila hata soni machon mwao.