Utaratibu wa kulazimisha mtoto wa kwanza kuanza kufunga ndoa kwanza kisha ndio wafuate wadogo zake

Utaratibu wa kulazimisha mtoto wa kwanza kuanza kufunga ndoa kwanza kisha ndio wafuate wadogo zake

kwetu sisi mdogo akiolewa lazima ampe kama ni kanga au nguo kasoro ya ndani tu either kitenge au sket au blauz yake aliokwisha ivaa anamuachia dada yake sjajuaga ina maana gani

Anamuachia upako
 
ingekuwa ni mm, namtia mimba huyo binti tuanze kulea mtoto huku tukusubiri breakthru ya dada mtu na baadae tubariki ndoa
 
Lazima mkubwa aolewe kwanza hujui tu maana yake wazee wanajua miiko, kumbuka hata kwenye bible Raheli alipendwa Ila siku ya harusi yake akawekwa dada yake badala yake ili aolewe kwanza ndio afate, I think huu usasa tunaoiga una walakini.
Umeongea point
Haiwezekani dada yako awe nyumbani eti wewe uondoke kabla yake
Huko nikumdhalilisha.
Lakini hapa JF, na sehemu nyingine nyingi tu nimepata kusikia watu wakisema "Ndoa upangwa na Mungu!"

Na pia nimepata kusikia sehemu nyingi, na kwa mambo mbali mbali watu wakisema "Mungu humpa amtakae, na kumnyima amtakae"!

Am not sure with of the above arguments lakini cariha hapo kazungumzia issue ya Raheli huku Saint Anne, your user ID says it all! I mean, you're probably some kind of religious guys, na kama ndivyo si ajabu mnakubaliana na hizo arguments hapo juu!!

Now tusema cariha ni mdogo kwa Saint Anne lakini arguments zote mbili hapo juu zinam-favor cariha over Saint Anne, and thanks God, wazazi wenu wamewapa mamlaka ya kuamua mambo yenu!

My first question to y'all: Je, mnakubaliana na hizo arguments 2 hapo juu?

2. Je, Saint Anne utamkataza mdogo wako cariha kuolewa kwa sababu tu wewe bado network haisomi?!

3. Nawe cariha, pamoja na upendo wako wote kwa mchumba wako ambae unamuona he's everything kwako, utagoma kufunga nae ndoa kwa sababu dada yako Saint Anne argument ya kwanza na ya pili hapo juu hazijatimia kwa upande wake?!

Karibuni tafadhali mtu na dadake!!!
 
Hiyo alishakosea tokea mwanzo. Ilitakiwa apambanie kupendwa na huyo binti mdogo. Yeye mwenyewe alifuata mila kupeleka barua kuomba uchumba. Imekula kwake. Angekuwa anapendana teari na msichana, kikwazo kisingekuwepo kwa sababu haoi familia, ila anaoa msichana.

Ila alishaanza kuhusisha familia. Sasa inakula kwake
Mi naona angetia mimba kabisa
 
Lakini hapa JF, na sehemu nyingine nyingi tu nimepata kusikia watu wakisema "Ndoa upangwa na Mungu!"

Na pia nimepata kusikia sehemu nyingi, na kwa mambo mbali mbali watu wakisema "Mungu humpa amtakae, na kumnyima amtakae"!

Am not sure with of the above arguments lakini cariha hapo kazungumzia issue ya Raheli huku Saint Anne, your user ID says it all! I mean, you're probably some kind of religious guys, na kama ndivyo si ajabu mnakubaliana na hizo arguments hapo juu!!

Now tusema cariha ni mdogo kwa Saint Anne lakini arguments zote mbili hapo juu zinam-favor cariha over Saint Anne, and thanks God, wazazi wenu wamewapa mamlaka ya kuamua mambo yenu!

My first question to y'all: Je, mnakubaliana na hizo arguments 2 hapo juu?

2. Je, Saint Anne utamkataza mdogo wako cariha kuolewa kwa sababu tu wewe bado network haisomi?!

3. Nawe cariha, pamoja na upendo wako wote kwa mchumba wako ambae unamuona he's everything kwako, utagoma kufunga nae ndoa kwa sababu dada yako Saint Anne argument ya kwanza na ya pili hapo juu hazijatimia kwa upande wake?!

Karibuni tafadhali mtu na dadake!!!
Hizo mila na desturi ni ngonjera tu labda kama huyo mdogo mtu ana miaka 24 ila kama dogo yuko 29 nadhani wazee wangeharakisha sana zoezi.

Hio familia nina mashaka watakuwa watu wa Mbeya hao akina nyonyoma 🤣🤣🤣 sio kwa misimamo hio ya familia nzima. Kitu akiongea dada hata kama upuuzi wadogo wote mnasikiliza.
 
kwetu sisi mdogo akiolewa lazima ampe kama ni kanga au nguo kasoro ya ndani tu either kitenge au sket au blauz yake aliokwisha ivaa anamuachia dada yake sjajuaga ina maana gani

Kwetu sisi waoaji wanaleta ndama mmoja kwa kila dada aliyevukwa mfano dogo anayeolewa ni watatu na ana madada wawili juu wakubwa hawaolewa so ndama zinaletwa mbili ila dogo anaolewa kama kawa...
 
Lakini hapa JF, na sehemu nyingine nyingi tu nimepata kusikia watu wakisema "Ndoa upangwa na Mungu!"

Na pia nimepata kusikia sehemu nyingi, na kwa mambo mbali mbali watu wakisema "Mungu humpa amtakae, na kumnyima amtakae"!

Am not sure with of the above arguments lakini cariha hapo kazungumzia issue ya Raheli huku Saint Anne, your user ID says it all! I mean, you're probably some kind of religious guys, na kama ndivyo si ajabu mnakubaliana na hizo arguments hapo juu!!

Now tusema cariha ni mdogo kwa Saint Anne lakini arguments zote mbili hapo juu zinam-favor cariha over Saint Anne, and thanks God, wazazi wenu wamewapa mamlaka ya kuamua mambo yenu!

My first question to y'all: Je, mnakubaliana na hizo arguments 2 hapo juu?

2. Je, Saint Anne utamkataza mdogo wako cariha kuolewa kwa sababu tu wewe bado network haisomi?!

3. Nawe cariha, pamoja na upendo wako wote kwa mchumba wako ambae unamuona he's everything kwako, utagoma kufunga nae ndoa kwa sababu dada yako Saint Anne argument ya kwanza na ya pili hapo juu hazijatimia kwa upande wake?!

Karibuni tafadhali mtu na dadake!!!
Mimi siwezi kumkataza mdogo wangu kufunga ndoa ila yeye mwenyewe anapaswa ajiongeze,avute japo kamuda ili nitoke kwanza (hii ni kama nina dalili za kuolewa)
Kama alishamleta mtu nyumbani basi sina budi kukubali japo najua wazazi watajisikia vibaya kwa Sababu yangu na Mimi mwenyewe nitajisikia unyonge.

Nikijizungumzia binafsi,Mimi ni mtoto wa mwisho kwetu.
Juzi tu dada yangu amenitamkia kwamba mdogo wangu ukipata mchumba olewa ila jua utakuwa umenivua nguo Mimi dada yako.Nimepishana naye miaka 9.
Kauli yake hii ilinifanya nitafakari.
 
Hizo mila na desturi ni ngonjera tu labda kama huyo mdogo mtu ana miaka 24 ila kama dogo yuko 29 nadhani wazee wangeharakisha sana zoezi.

Hio familia nina mashaka watakuwa watu wa Mbeya hao akina nyonyoma 🤣🤣🤣 sio kwa misimamo hio ya familia nzima. Kitu akiongea dada hata kama upuuzi wadogo wote mnasikiliza.
Yaani huwa nikisoma michango ya wana-JF hapa kuhusu familia zao hadi huwa nahisi kwamba sie wengine familia zetu hazina maadili kabisa!

Kwenye familia yetu (ya baba + mama) watoto tupo hivi:-
1. Male (chige)
2. Female
3. Male
4. Male
5. Male.

Hadi sasa, mpangilio wa ndoa upo hivi: 2, 4! Baada ya hapo nani atafuata, only God knows!!

Anyway, inawezekana sie wa mjini "tunaiga" mila za hovyo hovyo, manake pamoja na kwamba mimi ndie mkubwa kuliko wote, lakini sijawahi kuwasikia madingi wakimpangia au kumlazimisha yeyote kuhusu mambo ya ndoa!!! Au labda kwa familia iliyojaa madume kama ya kwetu, hiyo rule huenda hai-apply!

Lakini nikja kwenye familia ya mama mkubwa, mpangilio upo hivi:-
1. Female
2. Female
3. Female.

Ndoa: #3

Hao huwezi kusema wanaiga mambo ya hovyo kwa sababu ukitoa #1, wengine wote in the family ikiwa ni pamoja na wazazi wao, wanaishi Bush!!

Ni kutokana na hayo, ndo maana huwa nahisi labda sie wengine mafamilia yetu yapo yapo tu!!!
 
Back
Top Bottom