chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Naunga mkono hoja 100%Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.
Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba
1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi
2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie
Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..
1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar
2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.
3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
Sasa huo uchaguzi si mtamchagua huyo huyo? Au unadhani Mboe ndo atashinda?Katiba ibadilishwe,
1. Uwepo wa waziri mkuu na makamu wa raisi kwa wakati mmoja kwa nchi masikini namna hii ni upotevu wa rasilimali.
2. Raisi akifariki makamu/waziri mkuu akamate nchi na kuitisha uchaguzi mkuu ndani ya siku 90.
3. Serikali ziwe tatu, kwa muungano huu haijulikani Tanganyika iko wapi. Vyetu vinaliwa tu na wenzetu, vyao hawaruhusu vitoke.
Huyo JPM ndio alikuwa anakubarika na wote?Kujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.
Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba
1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi
2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie
Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..
1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar
2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.
3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
Justfy mkuu usiongee tu kwa sabqbu wewe ni mznzNi chuki tupu Raisi samia ni mzuri hata kuliko JPM, ila mwenye chuki na husda atamuona kama mbaya.
Rungwe yupo vizuri upstairs. Huwezi kumfananisha na chawa wa CCM.Vyama vya siasa pia iwe fundisho kwao kuhusu kuchagua wagombea wazuri na wasomi kwenye nafasi za u-Rais na u-makamu wa Rais. Tumefikia hatua hadi Rungwe alitaka u-Rais, nchi ya hovyo sana hii.
Acha makasirikoHizo kodi zetu. Utaratibu wa fedha zetu kuziita za mama mnazingua
Hapo ndipo unapokosea. Umesahau kuwa kwenye karatasi ya kupiga kura kulikuwa na picha mbili? Moja ya Rais na nyingine Mgombea Mweza ambaye anakuwa Makamu wa Rais? Kwa hiyo wakati unapiga kura kumchagua Rais na yeye anahesabiwa kura hiyohiyo. Acheni upumbavu wa kusema kuwa HAKUCHAGULIWA kwa kura.Nchi ya Kidemokrasia yenye Rais asiyetokana na kura za Wananchi.
Kwani akiamua kuuza Kila Kitu Kwa Wageni mtamfanyaje.
Katiba Mpya na Bora ni muhimu sana
Mkuu huko uliko mungu akuongeezee umri wa kuishi ili uendelee kutupatia MadiniKujifunza kutokana na Makosa ndo huku sasa. Hatukutegemea Rais kufa akiwa madarakani. Makamu wa Rais huwa anateuliwa ilimradi ni mtu tu.
Sasa kama Katiba haitabadilishwa japo iseme kwamba
1. Rais akifariki madarakani uchaguzi mkuu ufanyike baada ya siku kama 90 hivi
2. Rais na Makamu wake wote wapigiwe kura siyo mmoja kupita kwa mgongo wa mwenzie
Basi tofauti na hapo tuna safari ndefu sana. Kwa Katiba ya sasa ya kurithi madaraka Makamu wa Rais anapochaguliwa lazima wazingatie haya..
1. Makamu wa Rais hatakiwi kutoka Zanzibar
2. Makamu wa Rais awe na uwezo mkubwa wa kiuongozi sawa na Rais au zaidi.
3. Rais na Makamu wake lazima wawe na Maono sawa isifike mahali mmoja amburuze mwenzake waelewane.
We jamaa unaishi wapi? Ina maana huoni hata hata hizo shule zilizojengwa na vituo vya afya karibu nchi nzima? Aisee kweli mtu akikuchukia atakupa majina yote dahh nchi ngumu hii.Justfy mkuu usiongee tu kwa sabqbu wewe ni mznz
Rais ana macho mazuriNi chuki tupu Raisi samia ni mzuri hata kuliko JPM, ila mwenye chuki na husda atamuona kama mbaya.
😳Rais ana macho mazuri
Umemaliza mkuuHapo suluhisho ni kuchenji katiba ya chama ili rais wa nchi hasiwe m/kiti wa chama.
SecondedRais ana macho mazuri
Samia sio mbaya kaka sema nchi inapigwa hadi aibu .Ni chuki tupu Raisi samia ni mzuri hata kuliko JPM, ila mwenye chuki na husda atamuona kama mbaya.
Umeandika mambo ya maana sana ila next time usiandike kwa capital letters tupu zinaumiza macho kusoma.Huyo JPM ndio alikuwa anakubarika na wote?
AFRIKA TUNAJAZAGA NAFASI TU YA KILE KITI. HUKO MAGHARIBI WANAPINDUANA TU.
MNAMUONEA KWA SABABU NI MWANAMKE ?
HAO WALIOPITA WAMEFANYA NINI CHA MFANO WA KUTAJWA. HAKUNA SEKTA HATA MOJA ILIOJITOSHELEZA NA KUWA MFANO NDANI YA MIAKA 60.
HATA UKIWEKWA WEWE PALE HAKUNA CHA TOFAUTI UTAKACHOFANYA.
KITILA MKUMBO ALIKUWA MPINGAJI AKATEULIWA AWE WAZIRI WA VIWANDA, JE NCHI NI YA VIWANDA SASA HIVI?
KAA UJUE NCHI HAIJENGWI NA RAISI BALI WANANCHI.
KENYA WAMEBADILI KATIBA MARA NGAPI MBONA WANAPOPOANA MAWE TU?
SHIDA IPO KWENYE VICHWA VYA WATANZANIA WALA USIMUONEE RAISI. ATAKUJA RAISI MWINGINE MAMBO YATAKUWA HIVI HIVI MPAKA MINDSET ZIBADIRIKE.
KWA NINI MNAAMINI KTK MTU NYIE?
WEWE UMEFANYA NINI KTK ENEO LAKO, AU UNAONA MAPUNGUFU YA WENGINE TU.
SIKUPINGI KWA SABABU NI MIMI NI CCM SINA CHAMA.