Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

Lakini hapo chini umejibu mfano wangu ambao ulikuwa unaonesha protocols za wakristo kuisoma biblia.

Wewe umedai kuwa hoja ni kua
Uzuri hili swali nalo nimelijibu katika maelezo yangu hapo juu na nikauliza swali na kukupa muongozo. Unasema wakristo wanaongozwa na Roho Mtakatifu, ili kujua ukweli ea jambo hilo lazima turudi katika machimbo ya mafundisho ya Ukristo, kwamba ni nani ameyasema hayo. Kama Yesu hakuyasema na hajatoa ishara itabidi watuambie wameyapata wapi. Uongo unaanza kujulikana hapo. Haya mambo marahisi sana.
Sasa hapa ndio tunarudi pale pale je hicho ulichokisoma kwenye biblia kabla ya kukifikiria ni sahihi au lah je ulishushiwa roho mtakatifu wa kukuongoza kusoma hiyo biblia?
Shida yenu vijana hamjui kuchimba mambo na kuujua ukweli. Kwanza ili kujua huo ukweli, lazima tujibiwe maswlai kuhusu huyo roho mtakatifu kuwa ni nani na je hiyo kazi kweli anaifanya na kwa mujibu wa nani na hayo mafundisho yametoka wapi ?

Sasa hatukubali tu kuwa kwamba kuna roho mtakatifu, lazima tujue ni kwei yupo na je ni kweli anawatokea watu ?
Lakini endapo utasema hukuhitaji roho mtakatifu basi hapo unakuwa umesha feli kufikia vigezo ambavyo vinapaswa kufuatwa ili kuielewa biblia.
Tatizo siyo vigezo, tatizo ni misingi iliyo pelekea kuweka hivyo vigezo je nayo misingi hiyo ima kidhi haja ? Marejeo ya misingi hiyo ni wapi ?
Kwa mfano jambo lolote ambalo limehusianishwa na muujiza huwa ni ngumu sana kuliweka kwenye uhalisia.
Si kweli hili kwani ukishajua sababu ajabu huondoka. Muujiza ni kimaana ni jambo ambalo limetokea kwa sababu ambazo si za kawaida. Jia hilo. Maana yake tu kwa maana ya dhati ya tamko muujiza ni uhalisia, sasa vipi unautenganisha muujiza na uhalisia ?
Hata wewe kuna habari za Quran zinazosema mtume alipaa angani mpaka mbinguni na farasi aitwaye Buraq (kama nitakuwa sahihi) jambo hilo kwako unaweza ukalirahisha kuwa ni uhalisia kwa dhana ndogo tu ya kusema ni miujiza
Sasa swali ugumu wa tukio hili ni upi ? Au uongo wa tukio hili unaweza kuuonyesha uko wapi ?

Swali la msingi lazima ujue tukio hilo limesimuliwa na nani ? Historia inaongelea vipi tukio hilo, je lilitokea kweli na kama lilitokea kweli uthibitisho uko wapi ? Sasa unaposema ni ngumu hiyo ni ngumu kwako kulingana na ufinyu wa akili yako na maarifa yako ila kiuhalisia si jambo gumu.
Lakini leo hii katika ulimwengu swala hilo halielezeki kwa namna yeyote bila kuacha utata na ndio maana muujiza unatumika ku cover gape la kuziba mianya ya maswali magumu kama hayo.
Jambo hili halina utata na huwezi kuonyesha utata wa jambo kwa ukweli kama ulivyo, bali akili yako ndogo na maarifa yako juu ya jambo hilo imeshindwa kung'amua jambo hilo, na ndiyo maana jambo hilo lina utata ila kwa hakika halina utata.

Muujiza ulikuwa unatumika kuwasadikisha watu au kuwafanya watu wasadiki jambo wanalo ambiwa na mitume na manabii wa zama zile, na siyo kwamba muujiza ni kwa ajili ya kucover hayo magap.

Zama hizi miujiza ya Mola haipo tena sababu utume na unabii ushakoma. Kilichobakia zama hizi ni kurejea miujiza iliyo tokea zama za mitume na manabii sababu mambo hayo yamerekodiwa na kuhifadhiwa na yana chain (sanadi).

Kwahiyo hata weww hapo ulipo, mpaka unakufa hutaweza kuonyesha ya kuwa Mtume hakuenda mbinguni, sababu uwezo siyo tu kwamba huna bali huwezi kupingana na uhalisia.
 
Hoja kila mtu anazo utofauti ni kipimo cha kuangalia authenticity ya hizo hoja kama zime qualify

Ukitumia Quran kama ndio kipimo wa madai yako ambayo unasema ni sahihi kumbuka unaweza kukosolewa na mkristo kupitia biblia yake

Sasa mjadala unaohusisha hoja za vitabu ni infinite kwakua hakuna aliyetayari kukubali kitabu chake ni uwongo na kitabu cha mwingine ndio cha kweli.

Hata saizi ukiwa na hoja ya ku challenge bible ambayo hoja biyo wewe unaona iko sahihi kuonesha kasora ya bible ni lazima kwa namna moja uwe umeipitisha katika misingi ya Quran

Yani utasema jambo fulani wakristo mmepotosha kwa kuzingatia sababu ambazo hilo jambo lilivyoelezwa kwenye Quran

Yani by default umejitengenezea msimamo kuwa Quran ndio msingi sahihi muda wote

Lakini ukumbuke hayo yote unayoweza kuyafanya, pia hata wakristo ndio hivyo hivyo.

Na ndio maana nasema hoja ya kusema Mungu hivi Mungu vile kwasababu kitabu kimesema haipaswi kutumiwa kwa watu rational ilihali miongoni mwenu tu mnaomini Mungu hamkubaliani na viatabu vya nyinyi kwa nyinyi
Scar huu ni ukwel kabsa.
 
Ndiyo maana akaweka wazi uongo na ukweli. Ikabaki kwako kuchagua, kwahiyo ukiamua kufata uongo na ukweli uko wazi tutakuuliza kwanini unafata uongo na ukweli uko wazi. Hii ndiyo maana ya uhuru wa kuchagua, na akatuoa akili ya utambuzi yaani ya kujua mambo hayo.
Je wewe unahisi ukweli upo Kwenye Quran yako tu kwa sababu ulizaliwa na wazazi waislam ukarithi uislamu au ulislim kwa kulinganisha ukristo na uislamu? Na pia utawezaje kuchagua ukweli wakati haujawah kupitia uongo ?

Siku utakapo ziweka din Kwenye neutral point ndo sku sku utakayopima mambo kwa sahihi, hauwezi kupima nyama upate kilo moja wakati umeweka jiwe la kilo nyingi na nyama kidogo zaidi ya jiwe upate balance, kamwe hauwezi kupata solution ya kitu kwa kutumia level ileile iliyosababisha tatitizo, wewe unaogopa kuwa neutral coz dini yako ilitafuta igo kupitia wewe, na ukisha kuwa kwenye state ya igo tambua hakuna Balance, kama hakuna Balance hakuna hicho unachofikiri ni Mungu, hauwezi kusmea ukwel upo sahihi zaidi kuliko uongo kwa sababu kila kimoja uwepo wake unamtegemea mwenzake, ni vile tu mtu ataamua atafsiri vip jambo.

Kuna wengne wanakula nyoka kawaida tu na wengne hawali, sio kwamba wewe usie kula upo zaid yao ni vile tu umechagua usle, hauwezi shindana na huyu mtu anae kula, kma umejitambua unatakiwa uwe hakimu kwa kuwa neutral ili uhukumu kwa haki, je unahisi dini yako ipo neutral kiasi gani haina igo ili kuweza kubance dini 4000 zenye igo pia ili kuweza kupata unaodhani wewe ni ukwel mmoja ?
 
Wazo halina hivyo vyote. shida yenu haya mambo mnayajadili kifalsafa zaidi na si kiuhalisia. Katika sifa za Falsafa kutokana na msingi wake dhaifu huwa hawaifati hoja na kujua msingi wa mambo na kuyahusianisha mambo moja kwa moja.

Nakuuliza swali rahisi hapa, wazo linaweza vipi kuamua jambo au kupanga mambo ?
Kwani wazo ni nini au idea ? Unapoona jambo uskurupuke kulipinga kabla haujalifanyia utafiti jambo lenyewe ni nini , nikuulize swali wewe unafikiri nabii gani sio mwanafalsafa , na kitu gani hakiku anza kwa falsafa?
 
Uzuri hili swali nalo nimelijibu katika maelezo yangu hapo juu na nikauliza swali na kukupa muongozo. Unasema wakristo wanaongozwa na Roho Mtakatifu, ili kujua ukweli ea jambo hilo lazima turudi katika machimbo ya mafundisho ya Ukristo, kwamba ni nani ameyasema hayo. Kama Yesu hakuyasema na hajatoa ishara itabidi watuambie wameyapata wapi. Uongo unaanza kujulikana hapo. Haya mambo marahisi sana.

Shida yenu vijana hamjui kuchimba mambo na kuujua ukweli. Kwanza ili kujua huo ukweli, lazima tujibiwe maswlai kuhusu huyo roho mtakatifu kuwa ni nani na je hiyo kazi kweli anaifanya na kwa mujibu wa nani na hayo mafundisho yametoka wapi ?

Sasa hatukubali tu kuwa kwamba kuna roho mtakatifu, lazima tujue ni kwei yupo na je ni kweli anawatokea watu ?

Tatizo siyo vigezo, tatizo ni misingi iliyo pelekea kuweka hivyo vigezo je nayo misingi hiyo ima kidhi haja ? Marejeo ya misingi hiyo ni wapi ?

Si kweli hili kwani ukishajua sababu ajabu huondoka. Muujiza ni kimaana ni jambo ambalo limetokea kwa sababu ambazo si za kawaida. Jia hilo. Maana yake tu kwa maana ya dhati ya tamko muujiza ni uhalisia, sasa vipi unautenganisha muujiza na uhalisia ?

Sasa swali ugumu wa tukio hili ni upi ? Au uongo wa tukio hili unaweza kuuonyesha uko wapi ?

Swali la msingi lazima ujue tukio hilo limesimuliwa na nani ? Historia inaongelea vipi tukio hilo, je lilitokea kweli na kama lilitokea kweli uthibitisho uko wapi ? Sasa unaposema ni ngumu hiyo ni ngumu kwako kulingana na ufinyu wa akili yako na maarifa yako ila kiuhalisia si jambo gumu.

Jambo hili halina utata na huwezi kuonyesha utata wa jambo kwa ukweli kama ulivyo, bali akili yako ndogo na maarifa yako juu ya jambo hilo imeshindwa kung'amua jambo hilo, na ndiyo maana jambo hilo lina utata ila kwa hakika halina utata.

Muujiza ulikuwa unatumika kuwasadikisha watu au kuwafanya watu wasadiki jambo wanalo ambiwa na mitume na manabii wa zama zile, na siyo kwamba muujiza ni kwa ajili ya kucover hayo magap.

Zama hizi miujiza ya Mola haipo tena sababu utume na unabii ushakoma. Kilichobakia zama hizi ni kurejea miujiza iliyo tokea zama za mitume na manabii sababu mambo hayo yamerekodiwa na kuhifadhiwa na yana chain (sanadi).

Kwahiyo hata weww hapo ulipo, mpaka unakufa hutaweza kuonyesha ya kuwa Mtume hakuenda mbinguni, sababu uwezo siyo tu kwamba huna bali huwezi kupingana na uhalisia.
Nikisema wewe huna hoja Kwenye Uzi ila hoja yako ipo zaidi kwa wakristo sioni kma nimekosea, coz vyote vilivyoongelewa apa vina ipa nguvu dini yako ila dini yako haiwezi kuvipa nguvu. Coz bado unatembea kwenye ego haupo Kwenye state ya kubalance. Wewe mwenyewe haujijui ni nani utakuaje na usahihi wakumjua Huyo unaemwita Mungu?
 
Uzuri hili swali nalo nimelijibu katika maelezo yangu hapo juu na nikauliza swali na kukupa muongozo. Unasema wakristo wanaongozwa na Roho Mtakatifu, ili kujua ukweli ea jambo hilo lazima turudi katika machimbo ya mafundisho ya Ukristo, kwamba ni nani ameyasema hayo. Kama Yesu hakuyasema na hajatoa ishara itabidi watuambie wameyapata wapi. Uongo unaanza kujulikana hapo. Haya mambo marahisi sana.

Shida yenu vijana hamjui kuchimba mambo na kuujua ukweli. Kwanza ili kujua huo ukweli, lazima tujibiwe maswlai kuhusu huyo roho mtakatifu kuwa ni nani na je hiyo kazi kweli anaifanya na kwa mujibu wa nani na hayo mafundisho yametoka wapi ?

Sasa hatukubali tu kuwa kwamba kuna roho mtakatifu, lazima tujue ni kwei yupo na je ni kweli anawatokea watu ?

Tatizo siyo vigezo, tatizo ni misingi iliyo pelekea kuweka hivyo vigezo je nayo misingi hiyo ima kidhi haja ? Marejeo ya misingi hiyo ni wapi ?

Si kweli hili kwani ukishajua sababu ajabu huondoka. Muujiza ni kimaana ni jambo ambalo limetokea kwa sababu ambazo si za kawaida. Jia hilo. Maana yake tu kwa maana ya dhati ya tamko muujiza ni uhalisia, sasa vipi unautenganisha muujiza na uhalisia ?

Sasa swali ugumu wa tukio hili ni upi ? Au uongo wa tukio hili unaweza kuuonyesha uko wapi ?

Swali la msingi lazima ujue tukio hilo limesimuliwa na nani ? Historia inaongelea vipi tukio hilo, je lilitokea kweli na kama lilitokea kweli uthibitisho uko wapi ? Sasa unaposema ni ngumu hiyo ni ngumu kwako kulingana na ufinyu wa akili yako na maarifa yako ila kiuhalisia si jambo gumu.

Jambo hili halina utata na huwezi kuonyesha utata wa jambo kwa ukweli kama ulivyo, bali akili yako ndogo na maarifa yako juu ya jambo hilo imeshindwa kung'amua jambo hilo, na ndiyo maana jambo hilo lina utata ila kwa hakika halina utata.

Muujiza ulikuwa unatumika kuwasadikisha watu au kuwafanya watu wasadiki jambo wanalo ambiwa na mitume na manabii wa zama zile, na siyo kwamba muujiza ni kwa ajili ya kucover hayo magap.

Zama hizi miujiza ya Mola haipo tena sababu utume na unabii ushakoma. Kilichobakia zama hizi ni kurejea miujiza iliyo tokea zama za mitume na manabii sababu mambo hayo yamerekodiwa na kuhifadhiwa na yana chain (sanadi).

Kwahiyo hata weww hapo ulipo, mpaka unakufa hutaweza kuonyesha ya kuwa Mtume hakuenda mbinguni, sababu uwezo siyo tu kwamba huna bali huwezi kupingana na uhalisia.
Wewe unahisi muujiza nini ? Je unahisi hao mitume wako wa miaka elfu 6 iliyopita wakija saivi wakikuta tunachati hivi hawataona huu ni muujiza?
 
Nikisema wewe huna hoja Kwenye Uzi ila hoja yako ipo zaidi kwa wakristo sioni kma nimekosea, coz vyote vilivyoongelewa apa vina ipa nguvu dini yako ila dini yako haiwezi kuvipa nguvu. Coz bado unatembea kwenye ego haupo Kwenye state ya kubalance. Wewe mwenyewe haujijui ni nani utakuaje na usahihi wakumjua Huyo unaemwita Mungu?
Mtu kma wewe pia unaweza patikana Kwenye Uzi wa mzungu na mwarabu nani ni bora, au mwiisrael na mwarabu yupi ni bora au kwenye vita ya marekan na Iraq nan yupo sahihi , unajua kwa nin upo brain wash.
 
Kwani wazo ni nini au idea ? Unapoona jambo uskurupuke kulipinga kabla haujalifanyia utafiti jambo lenyewe ni nini , nikuulize swali wewe unafikiri nabii gani sio mwanafalsafa , na kitu gani hakiku anza kwa falsafa?
Kwanza vijana tuweni makini na matamko tunayo yatumia, hakikisha kama hujui maana ya tamko fulani, usilitumie mpaka pale utakapo lijua na ikibidi ujue mpaka etimolojia yake

Kauli yako ya "Kwani wazo ni nini au idea ?" Umeandika kisicho na maana kwa mtindo wa swali, yaani ulichofanya wewe kulinganisha maneno ya lugha tofauti yenye maana moja. Hili ni tatizo lako la kutokuwa makini. Wazo kwa Kingereza ni "Idea" au "Concept".

Siyo kwamba nafikiri, bali uhakika wa mambo ni kuwa hakuna nabii aliye wahi kuwa Mwanafalsafa, labda kama kuna maana nyingine ya tamko falsafa. Msiwe mnayalazimisha haya mambo, wakati hakika yake iko wazi. Sasa fatilia iliko anzia anzia falsafa na ujue etimolojia ya tamko "Falsafa". Msingi wa falsafa ni utashi wa mtu binafsi na mawazo yake kulingana na kile anachokiona yeye, jambo ambalo kwa mitume na manabii hawana kitu hiki, wao wanafanya kama walivyo elekezwa na Mola aliye watuma.
 
Nikisema wewe huna hoja Kwenye Uzi ila hoja yako ipo zaidi kwa wakristo sioni kma nimekosea, coz vyote vilivyoongelewa apa vina ipa nguvu dini yako ila dini yako haiwezi kuvipa nguvu. Coz bado unatembea kwenye ego haupo Kwenye state ya kubalance. Wewe mwenyewe haujijui ni nani utakuaje na usahihi wakumjua Huyo unaemwita Mungu?
Haya nimeyabainisha wazi tangu mwanzi na nikawagusia mpaka Wahindu, sasa unaposema nimemili kwa Wakristo unaonyesha ni namna gani siyo mfatikiaji, niliyekuwa na mjibu aliamua kuchukua mfano kwa Wakristo huenda ndiyo ulikuwa mwepesi kwake, ila niliwagusia mpaka Mayahudi, na hao Wakanumungu.

Dini yangu haivipi nguvu sababu tunajua machimbuko ya hizo dini zote na kina nani walizianzisha. Sasa vipi nikipe nguvu kitu ambacho hakistahiki kupewa nguvu ?

Kubalance ni balance nini ? Hapa mnachotakiwa mlete hoja zenu kukokosoa ninacho kiandika. Hakuna kubembelezana kwa ujinga au kuridhishana, ukweli lazima usemwe bila kuangalia nani atalaumu au mfano wake.

Ajabu unasema mimi sijijui ni nani na umeshindwa kuthibitisha hilo la kuwa kweli sijijui, huu ujinga huwa nauonama mi jf pekee, yaani mtu anamtuhumu mtu mwingine bila kuonyesha hilo. Mimi najijua ni nani na namjua Mola wetu ni nani.

Sasa nakupa kazi wewe uliye nituhumu ya kuwa mimi sijijui, kwanza uthibitishe ya kuwa mimi kweli sijijui na vipi nipate nguvu ya kumuelezea Mola...?
 
Wewe unahisi muujiza nini ? Je unahisi hao mitume wako wa miaka elfu 6 iliyopita wakija saivi wakikuta tunachati hivi hawataona huu ni muujiza?
Usiniulize swali kwa mtindo huo kwamba nahisi muujiza ni nini ? Maana ya muujiza nimeshaitoa huko juu.

Kwanza hawawezi kutokea kwa mtindo huo, lakini hawawezi kushangaa sababu wao ni mitume na wamebashiri mengi sana ambayo tunayaona leo hii. Mfano wa suala la kuenea kwa habari ndani ya muda mfupi, Mtume wetu Muhammad hili alilisema ya kuwa kutafikia zama, habari itaenea dunia nzima ndani ya muda mfupi kuliko zama zao. Na hili tunalina, kadhalika watu wa mashambani kuja mjini na kushindana kujenga majengo marefu, sasa vipi washangae ? Shida yenu hamkuwahi kuwajua hawa viumbe witwao mitume na manabii, wao walikuwa mbele ya wakati.

Yaani kuna mengi wameyasema yatakuwepo na bado mpaka muda hayajatokea ila yatatokea. Kwahiyo muwe mnayafatilia mambo haya kwa undani ili muepukane na makosa ya kizembe kama haya. Yaani unaandika jambo unaonekana kabisa hujui lakini unajiona unajua.
 
Uzuri hili swali nalo nimelijibu katika maelezo yangu hapo juu na nikauliza swali na kukupa muongozo. Unasema wakristo wanaongozwa na Roho Mtakatifu, ili kujua ukweli ea jambo hilo lazima turudi katika machimbo ya mafundisho ya Ukristo, kwamba ni nani ameyasema hayo. Kama Yesu hakuyasema na hajatoa ishara itabidi watuambie wameyapata wapi. Uongo unaanza kujulikana hapo. Haya mambo marahisi sana.
Umesema ili kujua hayo kuwa ni kweli umesema inabidi urudi kwenye machimbo ya mafundisho, mafundisho ambayo ndio biblia yenyewe

Huoni hapo utakuwa unazunguka hapo hapo? kwasababu utavyokuwa unajaribu kuangalia usahihi wa mafundisho kwenye biblia bila kuwa na roho mtakatifu utajikuta unakosa vigezo vya kusema hiki na hiki kimepotoshwa
Shida yenu vijana hamjui kuchimba mambo na kuujua ukweli. Kwanza ili kujua huo ukweli, lazima tujibiwe maswlai kuhusu huyo roho mtakatifu kuwa ni nani na je hiyo kazi kweli anaifanya na kwa mujibu wa nani na hayo mafundisho yametoka wapi ?
Kujibiwa maswali yako si kazi ambayo itafanywa na muumini hapo utaelekezwa namna gani utaratibu uufate ili uweze kujua

Utaambiwa kwanza uwe na imani na ukubali Yesu ndio njia ya kweli na uzima halafu piga sana gospel maana hiyo ndio njia ya kumualika roho mtakatifu.

Njia yeyote inayojaribu kutafuta majibu bila kufuata muongozo huo itakupeleka kwenye majibu yasio sahihi, sasa swali ni je ulipitia hizo njia?
Sasa hatukubali tu kuwa kwamba kuna roho mtakatifu, lazima tujue ni kwei yupo na je ni kweli anawatokea watu ?
Hilo ni jambo la imani, usipokuwa na imani thabiti ni rahisi kuona jambo hilo ni uongo.

Hoja ya msingi ni je katika hiyo miongozo iliyowekwa umefanya jitihada gani za kumualika roho mtakatifu na akashindwa kujidhihirisha?

Rule number 1 roho mtakatifu unaambiwa hakai mahala pachafu, na kuwa msafi ni pamoja na kubatizwa wao wanaita kuzaliwa upya

Wakati unayafanya hayo ulipitia hizo procedures ikiwemo kubatizwa?
Tatizo siyo vigezo, tatizo ni misingi iliyo pelekea kuweka hivyo vigezo je nayo misingi hiyo ima kidhi haja ? Marejeo ya misingi hiyo ni wapi ?
Kumbuka hiyo misingi ni maagizo ya Mungu wao na sio swala la kuamuliwa na mtu. Kwa hiyo kuhoji uhalali wa misingi tafsiri yake unamkosoa Mungu na hiyo ni kufuru.
Si kweli hili kwani ukishajua sababu ajabu huondoka. Muujiza ni kimaana ni jambo ambalo limetokea kwa sababu ambazo si za kawaida. Jia hilo. Maana yake tu kwa maana ya dhati ya tamko muujiza ni uhalisia, sasa vipi unautenganisha muujiza na uhalisia ?
Hapa naona kama umezungumzia trick na sio muujiza, trick zinaweza kuwa performed na washuhudiaji wasiojua nini kipo nyuma ya hizo trick wanakuwa fooled na kuhisi ni miujiza

Lakini when secrets of trick reveal kila mtu akajua namna inavyofanywa na kuona hatayeye pia anaweza kufanya basi hapo ule uajabu waliokuwa wanaufikiria unatoweka

Lakini Swala la muujiza inayohusu Mungu haijawahi kujulikana ni namna gani Mungu anafanya mpaka hiki na hiki kutokea zaidi ya kusema hiki na kile kiliumbwa na Mungu
Sasa swali ugumu wa tukio hili ni upi ? Au uongo wa tukio hili unaweza kuuonyesha uko wapi ?

Swali la msingi lazima ujue tukio hilo limesimuliwa na nani ? Historia inaongelea vipi tukio hilo, je lilitokea kweli na kama lilitokea kweli uthibitisho uko wapi ? Sasa unaposema ni ngumu hiyo ni ngumu kwako kulingana na ufinyu wa akili yako na maarifa yako ila kiuhalisia si jambo gumu.
Ugumu wa tukio hilo haupo kwako kwasababu tayari wewe ushakuwa muumini wa hiyo dini, ugumu wa tukio hilo upo kwa mtu ambaye haamini dini yako

Ni kama tu wewe unavyopata ugumu kukubali habari za yesu kubatizwa wakati kwa wakristo jambo hilo kwao ni easy
Jambo hili halina utata na huwezi kuonyesha utata wa jambo kwa ukweli kama ulivyo, bali akili yako ndogo na maarifa yako juu ya jambo hilo imeshindwa kung'amua jambo hilo, na ndiyo maana jambo hilo lina utata ila kwa hakika halina utata.

Muujiza ulikuwa unatumika kuwasadikisha watu au kuwafanya watu wasadiki jambo wanalo ambiwa na mitume na manabii wa zama zile, na siyo kwamba muujiza ni kwa ajili ya kucover hayo magap.

Zama hizi miujiza ya Mola haipo tena sababu utume na unabii ushakoma. Kilichobakia zama hizi ni kurejea miujiza iliyo tokea zama za mitume na manabii sababu mambo hayo yamerekodiwa na kuhifadhiwa na yana chain (sanadi).

Kwahiyo hata weww hapo ulipo, mpaka unakufa hutaweza kuonyesha ya kuwa Mtume hakuenda mbinguni, sababu uwezo siyo tu kwamba huna bali huwezi kupingana na uhalisia.
Ulichokiandika hapa kinaweza kuandikwa na mkristo yeyote katika habari ya biblia ambayo wewe hukuabaliani nayo
 
Je wewe unahisi ukweli upo Kwenye Quran yako tu kwa sababu ulizaliwa na wazazi waislam ukarithi uislamu au ulislim kwa kulinganisha ukristo na uislamu? Na pia utawezaje kuchagua ukweli wakati haujawah kupitia uongo ?
Siyo nahisi yaani najua ya kuwa Qur'aan ndiyo ukweli sababu ni kitabu ambacho kwanza akili haipngani nacho, kipo katika uhalisia na ni kitabu ambacho hakijaingizwa mkono wala kucjafuliwa kwa namna yoyote na ndiyo kitabu pekee ambacho kipo vile vile kama kilivyoteremshwa kuliko vitabu vingine, leo hii hakuna matini ya Injili, wala Taurati wala Zaburi kama vilivyo pokelewa toka kwa mitume husika.

Kwahiyo mimi nimezaliwa kwenye Uislamu, namshukuru Mola kwa kunipa neema hii, lakini nimeusoma Uislamu na ninaendelea kuusoma Uislamu mpaka pale nitakapo rejea kwa Mola wangu.

Ukweli uko wazi na uongo uko wazi, ni wewe au mimi kuamua tu kuchagua kipi cha kufata. Kwahiyo kusema sijapitia uongo wakati huo uongo nauona ni kuonyesha ya kuwa hauko makini na hili jambo au unaandika tu haya mambo kwa kujifurahisha.
Siku utakapo ziweka din Kwenye neutral point ndo sku sku utakayopima mambo kwa sahihi, hauwezi kupima nyama upate kilo moja wakati umeweka jiwe la kilo nyingi na nyama kidogo zaidi ya jiwe upate balance, kamwe hauwezi kupata solution ya kitu kwa kutumia level ileile iliyosababisha tatitizo,
Mfano wako huu ni mfu muda ambao kila kitu kimeshawekwa wazi ni mtu kuamua tu.
wewe unaogopa kuwa neutral coz dini yako ilitafuta igo kupitia wewe, na ukisha kuwa kwenye state ya igo tambua hakuna Balance, kama hakuna Balance hakuna hicho unachofikiri ni Mungu,
Muda huu unao andika haya yasiyokuwa na maana ukitakiwa uonyeshe ulazima wa mimi kuwa neutral na kuonyesha uongo wa huki nilipo egemea, lakini hili hulionyeshi.
kama hakuna Balance hakuna hicho unachofikiri ni Mungu,
Hii ni dhana ambayo huwezi kuithibitisha hata kwa miaka kumi. Mola ameshapambanua haki na batili. Na Mola wetu hataki watu wazembe bali anataka watu wafanye yenye manufaa na watumie akili, kunalance kwa mtindo huu unao usema wewe ni kuruhusu watu kuwa wajinga na kufanya mambo wanavyo taka wao na si kwa usahihi..
hauwezi kusmea ukwel upo sahihi zaidi kuliko uongo kwa sababu kila kimoja uwepo wake unamtegemea mwenzake, ni vile tu mtu ataamua atafsiri vip jambo ,
Haya ndiyo matatizo ya kutumia falsafa katika uhalisia, ukweli ndiyo uhalisia na hakuna nyingi kijana, uongo ni kinyume cha ukweli.

Kingine uliyo yaandika si kweli, na unapingana na uhalisia na kuondoa sababu ya kwanini tumepewa akili. Maana ya akili ni uwezo wa mtu kujizuia na yale yenye kudhuru au kimdhuru, hii ndiyo maana ya akili. Maana tu ya akili inapingana na ulichokiandika. Hu ndiyo ujinga Falsafa zenu kwa kwamba kuna ukweli muhimili na kuna ukweli wa namna unavyojitokeza kwa mtu fulani. Falsafa ziliwadumaza wengi sana.
 
Umesema ili kujua hayo kuwa ni kweli umesema inabidi urudi kwenye machimbo ya mafundisho, mafundisho ambayo ndio biblia yenyewe

Huoni hapo utakuwa unazunguka hapo hapo? kwasababu utavyokuwa unajaribu kuangalia usahihi wa mafundisho kwenye biblia bila kuwa na roho mtakatifu utajikuta unakosa vigezo vya kusema hiki na hiki kimepotoshwa
Kijana nakushauri jambo moja, usiwe unajibu hoja kabla hujaielewa sababu unanipa kazi ya kukuelewesha muda ambao nimeshatoka katika jambo hilo. Ongeza umakini katika hili.

Nimesema lazima urudi katika Chimbuko na siyo machimbo. Yesu ndiyo chimbuko la hawa Wakristo na huwa wanajinasibu kwake. Sasa unaposema Biblia ndiyo chimbuko nitakuuliza Yesu aliacha hii Biblia ? Yesu alikuja na Injili. Kingine wao wenyewe wanakiri ya kuwa maandiko yaliyomo katika vitabu vyao ni habari na matukio ya Yesu na maisha yake kama ilivyo kwetu sisi Waislamu tuna Hadithi za mtume, masimulizi haya lazima hakikiwe na tujue je ni kweli yanatoka kweli kwa Yesu ? Sasa chimbuko ni Yesu mwenyewe anaye nasibishiwi hizi habari, kwamba je alifundisha haya ambayo wanayahubiri leo ?

Kuhusu suala la rohomtakatifu nalo nimekuelezea lakini unarudia tena, tena kwa kuonyesha hujaelewa nilikwambia kuhusu Roho mtakatifu kwamba lazima tujue kwanza je ni kweli Roho mtakatifu huwa anawashukia watu mpaka leo, na hili ni watuambie kwa mujibu wa mafundisho ya nani ? Je wanatofautisha ushawishi wa kishetani na ule utokao kwa Mola muumba. Sasa jaribu kujifunza kuhoji mambo kiutuzima na usirudie mambo ambayo nimeshayatolea ufafanuzi.
 
Kujibiwa maswali yako si kazi ambayo itafanywa na muumini hapo utaelekezwa namna gani utaratibu uufate ili uweze kujua

Utaambiwa kwanza uwe na imani na ukubali Yesu ndio njia ya kweli na uzima halafu piga sana gospel maana hiyo ndio njia ya kumualika roho mtakatifu.

Njia yeyote inayojaribu kutafuta majibu bila kufuata muongozo huo itakupeleka kwenye majibu yasio sahihi, sasa swali ni je ulipitia hizo njia?
Maswali niliyo kuuliza hayataki muongozo na muongozo wa uulizaji maswali ni adabu za kuuliza maswali na si dhati ya swali. Kitu ambacho hujajinelewa mimi naongelea dhati ya swali, dhati ambayo haihusiani na muongozo wa swali.

Kingine kuamini au kutokuamini si sharti la kwamba usipoamini hutalewa au ukiamini utakuwa mkweli.

Sasa mfano, swali la kutaka kujua ya kuwa hizo habari amezifundisha kweli Yesu kuna uhusiano gani na kumuamini Yesu ? Ndiyo maana kuna dhati ya swali na kuna adabu za kuuliza maswali.

Hii siyo sahihi, lazima utatakiwa kupambanua ni njia gani hiyo na ni maswali gani hayo.
 
Hilo ni jambo la imani, usipokuwa na imani thabiti ni rahisi kuona jambo hilo ni uongo.
Kijana usikimbie swali langu, nimesema lazima tumjue huyo Roho mtakkatifu wewe unasema ni jambo la kiimani, kwani hayo mambo wameoyeshwa au yamekuja tu pasi na kutokea sehemu ? Kwahiyo imani ndiyo inamtaka mtu aamini jambo kibubusa tu kisa tu limesemwa na makuhani ? Hii maana ya imani umeipata wapi ?
Hoja ya msingi ni je katika hiyo miongozo iliyowekwa umefanya jitihada gani za kumualika roho mtakatifu na akashindwa kujidhihirisha?
Mpaka tuthibitishiwe kutoka kwenye chimbuko la maandiko ya kuwa huyo Roho mtakatifu anafanya kweli kazi hiyo. Sasa usiniulizw maswali ya kitoto wakati yanapingana na uhalisia na akili ya udadisi.

Ndiyo maana tukasema hivi kama siyo hawa mitume na manabii kuja, basi kila mtu angesema anachokitaka, kwahiyo kuja kwao na kudhibiti mambo kumetufanya tujue ya kweli ni yapi na ya uongo ni yapi. Kwahiyo maswali yangu lazima yajibiwe na hayaepukiki.
Rule number 1 roho mtakatifu unaambiwa hakai mahala pachafu, na kuwa msafi ni pamoja na kubatizwa wao wanaita kuzaliwa upya

Wakati unayafanya hayo ulipitia hizo procedures ikiwemo kubatizwa?
Unaruka ruka pale pale na kunipotezea muda, sisi hatuangalii wakina nani wamesema sisi tunaangalia hicho kilichosemw kimetoka wapi na je ni sahihi au kinyume chake ?

Kwahiyo lazima watuambia hizo habari za Roho mtakatifu amesema nani ? Yesu kama ni Yesu amezipokea nani hizo habari toka kwa Yesu, je huyo aliyepokea hizo habari alimuona kweli Yesu ? Kama majibu haya hakuna habari hizo si za kweli.
 
Kijana nakushauri jambo moja, usiwe unajibu hoja kabla hujaielewa sababu unanipa kazi ya kukuelewesha muda ambao nimeshatoka katika jambo hilo. Ongeza umakini katika hili.

Nimesema lazima urudi katika Chimbuko na siyo machimbo. Yesu ndiyo chimbuko la hawa Wakristo na huwa wanajinasibu kwake. Sasa unaposema Biblia ndiyo chimbuko nitakuuliza Yesu aliacha hii Biblia ? Yesu alikuja na Injili. Kingine wao wenyewe wanakiri ya kuwa maandiko yaliyomo katika vitabu vyao ni habari na matukio ya Yesu na maisha yake kama ilivyo kwetu sisi Waislamu tuna Hadithi za mtume, masimulizi haya lazima hakikiwe na tujue je ni kweli yanatoka kweli kwa Yesu ? Sasa chimbuko ni Yesu mwenyewe anaye nasibishiwi hizi habari, kwamba je alifundisha haya ambayo wanayahubiri leo ?

Kuhusu suala la rohomtakatifu nalo nimekuelezea lakini unarudia tena, tena kwa kuonyesha hujaelewa nilikwambia kuhusu Roho mtakatifu kwamba lazima tujue kwanza je ni kweli Roho mtakatifu huwa anawashukia watu mpaka leo, na hili ni watuambie kwa mujibu wa mafundisho ya nani ? Je wanatofautisha ushawishi wa kishetani na ule utokao kwa Mola muumba. Sasa jaribu kujifunza kuhoji mambo kiutuzima na usirudie mambo ambayo nimeshayatolea ufafanuzi.
Rejea ulichokiandika halafu uone kama umeandika machimbuko au machimbo halafu ndio uje upime kati ya mimi na wewe ni nani hayuko makini.

Tatizo unajenga hoja kuelezea biblia kwa kufata misingi ya Quran unataka namna ambavyo Quran imesema habari fulani ambazo hizo habari zina wiana au kufanana na biblia uzichukue hizo kama ndio references za kweli kuikosoa biblia

Sio tu kuwa wao wanakiri kuwa biblia ni habari za yesu, ukumbuke pia wanakiri kuwa biblia ni kitabu cha kweli cha Mungu hilo ulikumbuke

Sasa ukitaka kutumia kukiri kama hoja kuonesha kujifunga kwao itabidi kukumbushwe kuwa kile ni kitabu cha Mungu na wao wanakubali hivyo.

Sio expert wa biblia lakini sidhani kama biblia imezungumzia maisha ya Yesu pekee kama ambavyo wewe umedai, kwasababu kurasa 10 za mwanzo tu katika bible zimezungumzia uumbaji.

Ishu ya roho mtakatifu nimekuambia kuna procedures za kufatwa ili roho mtakatifu ajidhihirishe kwako, hapa unaweza kujibiwa kwa maneno tu kuwa yupo lakini maneno pekee hayatoshi kwasababu ni swala la kiroho zaidi na ndio main key ya ukristo.

Na ndio maana unashauriwa kufata hizo njia nilizokutajia
 
Maswali niliyo kuuliza hayataki muongozo na muongozo wa uulizaji maswali ni adabu za kuuliza maswali na si dhati ya swali. Kitu ambacho hujajinelewa mimi naongelea dhati ya swali, dhati ambayo haihusiani na muongozo wa swali.

Kingine kuamini au kutokuamini si sharti la kwamba usipoamini hutalewa au ukiamini utakuwa mkweli.

Sasa mfano, swali la kutaka kujua ya kuwa hizo habari amezifundisha kweli Yesu kuna uhusiano gani na kumuamini Yesu ? Ndiyo maana kuna dhati ya swali na kuna adabu za kuuliza maswali.

Hii siyo sahihi, lazima utatakiwa kupambanua ni njia gani hiyo na ni maswali gani hayo.
Mpaka hapo umeshindwa ku Qualify vigezo vya ki challenge bible kwasababu mfumo unaotaka kuutumia ni incompatible na criteria za ukristo zilizowekwa kwa dhumuni la kutafuta ukweli

Kwa hiyo ni haki yako kuuona ukristo ni dini ya uwongo, ni haki yako kuina biblia ni kitabu cha uwongo

Ila ukiwa tayari kukiri kuwa yesu ni mwokozi na alikufa msalabani kwa ajili yako, ukabatizwa ili uwe msafi kumfanya roho mtakatifu aweze kukaa moyoni mwako basi hapo utakuwa umefika viwango vya juu na huwezi kuona weakness ya biblia kwasababu roho mtakatifu atakuwa juu yako
 
Kijana usikimbie swali langu, nimesema lazima tumjue huyo Roho mtakkatifu wewe unasema ni jambo la kiimani, kwani hayo mambo wameoyeshwa au yamekuja tu pasi na kutokea sehemu ? Kwahiyo imani ndiyo inamtaka mtu aamini jambo kibubusa tu kisa tu limesemwa na makuhani ? Hii maana ya imani umeipata wapi ?

Mpaka tuthibitishiwe kutoka kwenye chimbuko la maandiko ya kuwa huyo Roho mtakatifu anafanya kweli kazi hiyo. Sasa usiniulizw maswali ya kitoto wakati yanapingana na uhalisia na akili ya udadisi.

Ndiyo maana tukasema hivi kama siyo hawa mitume na manabii kuja, basi kila mtu angesema anachokitaka, kwahiyo kuja kwao na kudhibiti mambo kumetufanya tujue ya kweli ni yapi na ya uongo ni yapi. Kwahiyo maswali yangu lazima yajibiwe na hayaepukiki.

Unaruka ruka pale pale na kunipotezea muda, sisi hatuangalii wakina nani wamesema sisi tunaangalia hicho kilichosemw kimetoka wapi na je ni sahihi au kinyume chake ?

Kwahiyo lazima watuambia hizo habari za Roho mtakatifu amesema nani ? Yesu kama ni Yesu amezipokea nani hizo habari toka kwa Yesu, je huyo aliyepokea hizo habari alimuona kweli Yesu ? Kama majibu haya hakuna habari hizo si za kweli.
Chimbuko la maandiko ni Mungu mwenyewe, Mungu ndiye aliyeandika hiyo biblia.

Sasa kuhoji habari za chimbuko naona ni kupoteza muda kizembe

Unataka kumjua roho mtakatifu ila hutaki kutumia njia aliyojiwekea ili umjue?

Roho mtakatifu hawezi kukaa mahala pachafu, wewe Kisai ni mchafu kwa maana hiyo huwezi ukamjua mpaka pale utakapoamua kuwamsafi (kubatizwa) vinginevyo roho mtakatifu utaendelea kumsoma kwenye fonts za JF

Uko tayari kutakasika ikiwemo kubatizwa ili umjue roho mtakatifu?

Au umechagua kubaki mchafu?

Uchaguzi ni wako
 
Rejea ulichokiandika halafu uone kama umeandika machimbuko au machimbo halafu ndio uje upime kati ya mimi na wewe ni nani hayuko makini.

Tatizo unajenga hoja kuelezea biblia kwa kufata misingi ya Quran unataka namna ambavyo Quran imesema habari fulani ambazo hizo habari zina wiana au kufanana na biblia uzichukue hizo kama ndio references za kweli kuikosoa biblia

Sio tu kuwa wao wanakiri kuwa biblia ni habari za yesu, ukumbuke pia wanakiri kuwa biblia ni kitabu cha kweli cha Mungu hilo ulikumbuke

Sasa ukitaka kutumia kukiri kama hoja kuonesha kujifunga kwao itabidi kukumbushwe kuwa kile ni kitabu cha Mungu na wao wanakubali hivyo.

Sio expert wa biblia lakini sidhani kama biblia imezungumzia maisha ya Yesu pekee kama ambavyo wewe umedai, kwasababu kurasa 10 za mwanzo tu katika bible zimezungumzia uumbaji.

Ishu ya roho mtakatifu nimekuambia kuna procedures za kufatwa ili roho mtakatifu ajidhihirishe kwako, hapa unaweza kujibiwa kwa maneno tu kuwa yupo lakini maneno pekee hayatoshi kwasababu ni swala la kiroho zaidi na ndio main key ya ukristo.

Na ndio maana unashauriwa kufata hizo njia nilizokutajia
Kijana rejea wewe uliye kosea kunukuu nilichokiandika.

Kijana hapa hatuongelei kudai hata wewe leo hii unadai ya kuwa Mola hayupo, lakini je ni kweli Mola hayupo ? Jibu ni kinyume chake. Sasa sisi tunautafuta ukweli na kutaka kumjua mkweli ni naniz ndiyo maana nikasema huko awali bila mitume kuwepo watu wangedai kila wanachokidai na kukaliwa kimya. Kwahiyo hata weseme wao ni wakweli swali je ni wakweli kweli au kinyume chake ?

Sasa kijana naona unaniletea stori na hujibu maswali yangu ya msingi. Chimbuko la Ukristo wenyewe wanadai ni Yesu, je kweli wanayo yadai na kuyaamini ya kweli yanatoka kwa Yesu ?

Sasa hizo hatua unazo sema ndiyo zimeelekezwa na Yesu au ni maoni yao binafsi ? Sasa usipoteze muda kwenye hakuna, sababu hata misingi nayo ina marejeo yake.

Hakuna mahali nimeelezea Biblia kwa kufata misingi ya Qur'aan, nimeelezea namna sahihi ya kuujua ukweli kwa mujibu wa uhalisia na kufata elimu za uhakiki wa habari, misingi ambayo pia ilitumika kujua ukweli juu ya yale ambayo watu walikuwa wanasema yametoka kwa Mtume. Kwahiyo usiandike ambacho sijakifanya.

Kwahiyo kukiri kwao kuwa ni cha kweli hakutoshi mpaka waonyeshe huo ukweli ambao wanaukiri.

Biblia wenyewe Wakristo wanasema ina vitabu 72 wengine wanasema 73 kwa kumbukumbu zangu, na humo zimo habari za Yesu na wenginez mpaka kuna kumbukumbu la Torati na vitabu vinginez usahihi wa hivi vitabu lazima uhakikiwe. Siyo kudai tu ya kuwa kitabu fulani ni cha kweli oasi na kuonyesha huo ukweli wenyewe.
 
Qur'aan ndiyo ukweli sababu ni kitabu ambacho kwanza akili haipngani nacho, kipo katika uhalisia na ni kitabu ambacho hakijaingizwa mkono wala kucjafuliwa kwa namna yoyote na ndiyo kitabu pekee ambacho kipo vile vile kama kilivyoteremshwa kuliko vitabu vingine, leo hii hakuna matini ya Injili, wala Taurati wala Zaburi kama vilivyo pokelewa toka kwa mitume husika.
  • Koran ilivyoteremshwa sivyo ilivyo leo hii mmepangua surah na kuzipanga upya , Koran verse na verse haviendani unakuta habari kama ya Musa iko scattered kila maali hakuna mtiriko wa kueleweka
  • Hizi verse za kunyonyesha mtu mzima zilikuwa ndani ya koran kwa nini leo hii hazipo? Nani alizifuta
    • Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
    • Sahih Muslim 1452b ...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
 
Back
Top Bottom