Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

Kalemani amechomoka kisa siasa chafu. Hapo katolewa kisa issue ya umeme kulipia 27,000/- kwa wateja wa aina zote.

Hiyo ilikuwa unfeasible kabisa hata sisi ma layman tuliliona hilo. Ni issue ambayo haiwezekani.
Hiyo kulipia 27,000 haukuwa uamuzi wa Kalemani pekee huko ni kumuonea, serikali ilifanya hivyo ili watu wengi wapate umeme halafu wapigwe tozo za majengo kupitia Luku, mengine tuyaache tu yapo mengi nyuma ya pazia, ulikuwa ni muda tu Kalemani arudi Chato.
 
pigeni vigeregere jamani ....

natamani Nchemba naye atumbuliwe kudadeki
 
Huyu mshauri wa Rais inabidi apimwe aisee, japo tupo nje ya mfumo lakini kwa aina ya mpangilio wa wasaidizi wake unatia shaka sio kidogo.

Lakini acha tuone yaliomo yamo?
 
Kwa Kalemani mama kapotea huyo jamaa kapiga sana kazi.

Sis tunataka bwana matozo atolewe hatumtaki
Huwezi jua ya mbeleni utashangaa amekua waziri tena kwenye wizara tofauti mabadiliko kwenye ujenzi sawa.Chamulilo kapooza Sana aisee
 
Ni zamu ya waislamu na wazanzibar . Mbarawa ni Mzanzibar .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…