Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kuwaacha Mwigulu Nchemba, Mzee George Mkuchika, Innocent Bashungwa na Paramagamba Kabudi ni dhambi isiyostahiki kusameheka. Kuwateua watu kama Makamba, Feleshi na Kijaji ni kujuana tu. Sitashangaa kusikia kichwa kibovu Ridhwan Kiwete akiteuliwa kuula ili kuendeleza ukoo tawala nyuma ya pazia.
Kwan Mabeyo hampi Salute Samia , hawapi salute mawaziri wanawake wakina Ummy?Tena sana! Yaani huyu Maza awe anapewa salute na kina Mabeyo?? Anyway kwa kuwa Waziri wa Ulinzi ni kama pambo tu, mwenye say ni CDF kunako wizara yao
Funguka mkuuLameck usiku mrefu
Kwani ndio mara kwanza kuwa Waziri huyo? Wacha kujaza sumu moyoni, utaishia kuwa mchawi tu.Ni zamu ya waislamu na wazanzibar . Mbarawa ni Mzanzibar .
Atasababisha machafuko makubwa kabla ya uchaguzi ujao, na hapo ndipo mwisho wa Chama lake utafika tamati.Naona vasco da gama wa msoga anazidi weka chama lake
Kwahiyo kesho usafiri hawana!! Life is unpredictableMh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kafanya uteuzi wa Baraza la Mawaziri na kuwatoa baadhi ya Mawaziri!
1. Fautine Ndugulile katolewa na nafasi yake inachukuliwa na Dr Ashantu Kijaji!
2. Waziri wa Ujenzi ni Mh Mbarawa
3. Waziri wa Nishati ni Mh January Makamba na nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Dr Eliezer Feleshi,pia Waziri wa Ulinzi ni Dr Tax
Kwamba yalizunguzwa kama hao wanateuliwa?Hii nchi haina siri , haya mambo yamezungumzwa Jf kwa siku kadhaa , JF sasa ni vema ikaheshimiwa
Feleshi kuwa AG nayo ni mambo ya kutia aibu sana ! hivi hakuna wengine ?As long as Mwigulu bado yupo kwenye Baraza, naweza kusema hii haitoshi.
Halafu hawa kina Makamba ndio watu pekee wa kuwa mawaziri? Ni kweli wanawazidi wenzao uwezo au ni influence tu za wazazi wao ndio zinawafanya wapate kipaumbele?
Kama si hivyo, basi ni wazi CCM kuna ombwe kubwa la watu wanaofaa kuwa viongozi katika hii nchi.
Watanzania tuendelee kudai Katiba mpya tupate watu wapya kuongoza hii nchi kwani hata hawa walioenguliwa bado kesho wanaweza kurudi tena katika Baraza la Mawaziri.
Chama kilekile, watu walewale (wanaachiana tu viti) na matokeo yake maisha ya watanzania yanabaki kuwa yale yale miaka nenda, miaka rudi.
Pathetic!
Dr wa binadamu na technologia wapi na wapi? Nishati na makamba wapi na wapi?Kilichomtoa Ndugulile ni nini sasa?
ArudiNdugulile anatenguliwa tu 🐒
Kalemani ameenda labda mambo yatakaa sawa
Ulitaka awe Mwanaume?? Huyo mama ni Mbobezi wa masuala kibao. Juu ya hilo waziri wa ulinzi hana madaraka makubwa maana amri kuu zote hutolewa na Rais ni kama waziri wa mambo ya ndani.Ulinzi kachemsha
Huyu arudi kwenye medical professional yakeHuyo Doc Faustine alipwaya hiyo wizara iliyoanzishwa kisiasa na jiwe yani kutoka stethoscope hadi mambo ya WLAN kweli nchi imechezewa sana na CCM.
Ni under utilization ya resources yani nchi ikakosa wataalam wa tehama hadi tabibu akae kwenye tehama?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]Unauhakika au unakurupuka tu kama cha kwanza?