Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila wakati Intel wanaleta breaking news za kina sasa mlitaka afanyaje?Samia anatuchanganya
It's good riddanceDuuh what an exit door.
Maharage Chande[emoji38][emoji846]
Kutoka kuwa ED wa TANESCO----->ED wa TTCL(Siku 3) mpaka Postamasta..[/color][/b]
Tusishangae kesho akatenguliwa na ka ujumbe ka "Atapangiwa kazi nyingine".
Inastaajabisha hakikaSasa hata Mimi sijui nisemeje. Kwani maharage lazima awe na kazi? Kwanini asiachwe aje vijiweni tushiriki naye kwenye mikeka ya kubeti?
Sasa inaingia Team Mpya ya DB na Kampeni za 2025. Hili taifa litaliwa hadi liliweRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na amemteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Amemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Aidha, Mhandisi Peter Ulanga ataendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
Inakera Sana hii kituKwani hizo nafasi hawezi kupewa mtu asiyekuwa kwenye system?Tanzania hii ya watu 60+mill hayupo msomi anayemzidi au hata wa kufanana nae akapewa hizo nafasi?
Inashangaza sana,anatolewa hapa nawekwa kule anatolewa kule anatupwa pale alimradi awepo ktk circle.kwani hizi teuzi anayezifanya hashauriwi au ndiyo hashauriki?
Kuna mjadala anajaribu kuuharibu nyuma ya paziaSamia anatuchanganya
samia kazi imemshinda anajikongojaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na amemteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Amemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Aidha, Mhandisi Peter Ulanga ataendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
😂😂Posta Masta mkuu ndiyo sawa na Mwalimu mkuu?
swala la muda tu.😂😂😂 na ataiva kweli
Posta master ni mkuu wa shirika la posta nchi nzima.Posta Masta mkuu ndiyo sawa na Mwalimu mkuu?