Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Yaani🙆🙆🙆🙆Anasubiri asome kwanza Jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani🙆🙆🙆🙆Anasubiri asome kwanza Jf
Jamaa kapanda gari la kusambaza barua na magazetiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)....
🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani Nape hajamaliza kumkaribisha Jamaa kaliwa kichwa tena,si Bora aache kazi arudie dstv alikokuwa?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)...
Kweli maharage yamechachaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)...
Mkuu wa Shirika la postaPosta Masta mkuu ndiyo sawa na Mwalimu mkuu?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na amemteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Amemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Aidha, Mhandisi Peter Ulanga ataendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
Na yeye ana wasi wasi wakuliwa kichwa na kuungana na Mpina na Msukuma kuikosoa na kuishauri serikali.Kwani Januari anasemaje?
Aibu mnaona NYIE!!🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani Nape hajamaliza kumkaribisha Jamaa kaliwa kichwa tena,si Bora aache kazi arudie dstv alikokuwa?
Nchi INA figisu kishenziWatu wanasema ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.
Maneno hayo yamedhihirishwa na Serikali ya Awamu ya sita na kudhihirisha ule usemi wa kuruka ruka kwa maharage ndo Kuiva kwake!.
Baada ya Maharage chande kuliwa kichwa cha Mkurugenzi mtendaji TANESCO na kupewa UKURUGENZI MKUU TTCL leo Mchana ameliwa Tena kichwa na kupelekewa kuwa Postamasta mkuu na kunyang'anywa Medani ya UKURUGENZI MKUU..
HONGERA ENG.PETER ULANGA...
POLEE SANA MAHARAGE NDO MAISHA YALIVYO..
View attachment 2762253
Kwa hio unasema kwamba Maharage ni ........Liwapo kwenye maji boya huwa linaeleaelea likienda huku na kule kutegemeana na mawimbi na upepo, lakini lenyewe huwa halina mwelekeo wala maamuzi.
Ukiona linazama ujue limevutwa kuzamishwa, likiibuka ujue limeachiwa, likianza kwenda kutoka lilipo ujue linapelekwa, likirudi ujue linarudishwa and the story goes on just like that.