UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

Maharage Chande[emoji38][emoji846]

Kutoka kuwa ED wa TANESCO----->ED wa TTCL(Siku 3) mpaka Postamasta..[/color][/b]


Tusishangae kesho akatenguliwa na ka ujumbe ka "Atapangiwa kazi nyingine".


Kwenye CV yake anaandikaje? Ha haa
 
Sasa inaingia Team Mpya ya DB na Kampeni za 2025. Hili taifa litaliwa hadi liliwe
 
Akaboreshe huduma za kutuma parcel na mizigo mikubwa. Fuso,Canter na Scania 113 za Posta zitoke wanunue Gari za kisasa za kusafirisha parcel mikoani.

Na customer care waboreshe kwenye kupokea na kutuma parcel, kwa majiji makubwa waweke gari ndogo na pikipiki za kufanya delivery kama wenzao DHL
 
Inakera Sana hii kitu
 
samia kazi imemshinda anajikongoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…