UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

Mshale umepitiliza nyumbani mpaka kwa jirani
 
Maharage seems to be a failed man. Why then the appointee dont dump him into a TRUSH BIN??

Hii katiba yetu licha ya kwamba inampa mamlaka makubwa sana Rais, lakini at the same time inamfanya aonekane ni mtu wa KUPUYANGA.
 
watoto wa mjini tunasema oyaoya.
yaani oyaoya, inawezekanaje taasisi kubwa ya URAIS ikafanya mambo kama haya, yaani unateua mtu leo kesho unamtoa tena kwenda kwimgine hata kabla hajakaa kwenye ofisi mpya.

kuna shida mahala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…