niquetamere
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 532
- 1,008
Mshale umepitiliza nyumbani mpaka kwa jiraniAmemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine
Huenda alijibu vibaya wakubwa zake kazini, kibri si muungwanaBwana maharagwe anarushwa rushwa mpaka aive.
ππ naona jamaa ameponzwa na jina.Maharage anarushwa rushwa mpaka aive
Pale TTCL alikuwa kituoni akisubiri gari ya POSTABwana maharagwe anarushwa rushwa mpaka aive.
We do have an incompetent POURT, it's as simple as that!!
Umenikumbusha topic ya scalar and vector quantities!Mtumbwi wa vibwengo hauna uelekeo sahihi β΅
ππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Bwana maharagwe anarushwa rushwa mpaka aive.