Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia, Ami R. Mpungwe ambaye ni Balozi Mstaafu na Mjasiriamali
Omar Issa ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO na Mkuu wa Chuo cha Nelson Mandela
Maryam Salim ambaye ni Meneja Mkazi wa Benki ya Dunia Nchini Cambodia
0 loli malafyale si twagile inyali!Imbombo ngafu
Kila kiongozi na karama zake.Ilimshinda kamanda Magu ndio aiweze Samia? Mhmm huujuwi mfumo...
Hamna jipya hapo, walewale kawahamisha maeneo tu. Mindsets ni zile zile.Rais kaamua kuifumua serikali yote na kuisula upya.
Hapa umeeleweka ila hapo juu ni ushubwada mtupu.Hili sio darasa la lugha .
Lugha rasmi kwa Tanzania ipo na hiyo niliyoandika.
Kama huelewi na wewe upo kundi hilo hilo la nilichoandika.
SAWA.ais Samia amemteua Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Balozi Ombeni Y. Sefue kuwa Mjumbe wa Tume ya Mipango
Wengine walioteuliwa kuwa Wajumbe wa Tume hiyo ni Omar Issa ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO na Mkuu wa Chuo cha Nelson Mandela
Pia, Ami R. Mpungwe ambaye ni Balozi Mstaafu na Mjasiriamali pamoja na Maryam Salim ambaye ni Meneja Mkazi wa Benki ya Dunia Nchini Cambodia wameteuliwa katika nafasi hiyo
Huyu ni wa tisheti na kofia za chama tu
Miwaziri mingi ni hewa ye kairudisha tena karibu yoote, bure kabisa!.Rais kaamua kuifumua serikali yote na kuisula upya.
Alikuwa mgurugenzRuth John Pombe Magufuli- Katibu Tawala Morogoro
Mkuu huenda anapata maelekezo kutoka mahali.Mimi naona huyu kiongozi wetu anachangamoyo za utimamu wa kiutendaji, haiwezekani asubuhi itangazwe naibu waziri wa kilimo halafu jion anabadilishwq kuwa naibu waziri wa mifugo na uvuvi. Inasikitisha kuwa na serikali ya bahati nasibu
Another petty ,bloated , entilted brat throwing tantrums .Hapa umeeleweka ila hapo juu ni ushubwada mtupu.