Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Wabongo bwana eti wanajifanya hawapeendi upigaji wakati wapigaji ndio hao hao wajomba, mashangazi nk..

Sekta binafsi huko sio Serikali lakini wabongo wakipewa nyadhifa bado tabia ni ileile..

Tunashida kwenye malezi na tabia ya wizi ni shida ya watanzania weeengi...
 


Hajafukuzwa na Samia . Raisi pekee ndiyo anafukuza sio na makamu wake! Sio kila maamuzi ya Raisi ni lazima Makamu akubaliane naye. Unafikiri Mpango angemchagua huyu mzee wa Zanzibar kuwa Mbunge😂! Haya ni maamuzi ya Raisi sio makamu
 
Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
huyu karudi kimipango licha ya kuja kumalizia alipoishia pale nhc
 
Mhh hivi anaweza akakataa ?

Nanusa harufu ya dictatorship fulani ya kuwaziba watu midomo Lukuvi / Kabudi Kazi Maalumu...

Ndugai shinikizo through UVCCM na wengineo..., huyu aliyekuwa anampinga katupwa huko Malawi... Sasa si watabakia tu kina Yes Mam na Machawa !!!

Kweli yajayo sijajua kama yanafurahisha au kusikitisha....
 
Sijakuelewa mkuu
Huyoo ndoo aliyesimamia ule ujenZi wa gorofa lile refu kule Dubai Kama hujui unajui kikwete ndoo alimkuta kule karudi eneo lake. Ashukuru Safari yamama farume zakiarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…