Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Raisi kutengua sio lazima uwe na kosa, pia unapaswa kufahamu mchechu sio malaika. Mataragio ameondolewa sio kwamba alikua na kosa, na sio kwamba ni malaika. Raisi huteua na kutengua kwa kadri atakavyoona.Kwani alipowatoa NHC walikuwa na kosa gani? Au wewe unajifanya umesahau mwendazake alivyokuwa anapuyanga?
Kwa Marais wengine sawa ila siyo Mwendazake. Mwendazake alikuwa kichaa, akiamka kumtumbua mtu wala hatafuti sababu.Raisi kutengua sio lazima uwe na kosa, pia unapaswa kufahamu mchechu sio malaika. Mataragio ameondolewa sio kwamba alikua na kosa, na sio kwamba ni malaika. Raisi huteua na kutengua kwa kadri atakavyoona.
Kama mambo yenyewe ndiyo haya, Kuna haja sasa kuuvunja muunganoNi kweli, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania ila Tanzania sio sehemu ya Zanzibar.
Mzanzibari ni mtanzania ila sio kila mtanzania ni Mzanzibari.
Mali ya Tanzania ni mali ya Zanzibar ila mali ya Zanzibar sio mali ya Tanzania.
Muungano wa hovyo toka Dunia imeumbwa.
Kumbe una tatizo la akili. Nilikua najua wewe ni mzimaKwa Marais wengine sawa ila siyo Mwendazake. Mwendazake alikuwa kichaa, akiamka kimtumbua mtu wala hatafuti sababu.
Hata kuuza tu ndio Kuke imekuwa ni shida.Wazanzibari wanakula nchi yetu wanavyojisikia wakati nchi yao waneificha nyuma hawataki mtu aiguse
Kila mtu atalilia chumbani ndipo watakumbuka Mungu hadhihakiwi chochote ambandacho mtu ndicho avunacho😭🤭🤐Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
1. Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Bw. Mchechu anachukua nafasi ya Bw. Mgonya Benedicto ambaye atapangiwa kazi nyingine.
2. Amemteua Bw. Hamad Abdallah, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Abdallah alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Gimcoafrica Limited na anachukua nafasi ya Bw. Mchechu ambaye ameteuliwa kuwa Msajili wa Hazina.
3. Amemteua Bw. Mussa Mohammed Makame, kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Makame alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), na pia ni Mshauri Mwelekezi wa masuala ya mafuta na gesi nchini Tanzania. Bw Makame anachukua nafasi ya Dkt. James Mataragio ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 24 Februari, 2023.
View attachment 2528416
Location inabamba.Yaani nikakae kwenye hivyo viota vya ndege kwa pesa zote hizo, aisee....
Du sasa huyu mzenj ameamu kufanya ujambazi wa kutisha,
Watumishi wa umma,wanawaibia wananchi,Samia,na wazenj wenzake wanaiibia Tanganyika,maana mambo ya mafuta sio ya Muungano,Zenj Wana mambo yao,na Tanganyika hivyo hivyo,sasa unamuwekaje mzenj jikoni kwa Tanganyika kusimamia mambo ya mafuta?huyu si ataiba Siri na kupeleka kwao Zenj,
Nyota tuHivi Mchechu ni mzur kwenye nin...
Wewe mhuni acha uzushi
Tetesi mitaani: jengo la Mbarawa hapo Mwenge.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
1. Amemteua Bw. Nehemia Kyando Mchechu, kuwa Msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Bw. Mchechu anachukua nafasi ya Bw. Mgonya Benedicto ambaye atapangiwa kazi nyingine.
2. Amemteua Bw. Hamad Abdallah, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Abdallah alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Gimcoafrica Limited na anachukua nafasi ya Bw. Mchechu ambaye ameteuliwa kuwa Msajili wa Hazina.
3. Amemteua Bw. Mussa Mohammed Makame, kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kabla ya uteuzi huo, Bw. Makame alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), na pia ni Mshauri Mwelekezi wa masuala ya mafuta na gesi nchini Tanzania. Bw Makame anachukua nafasi ya Dkt. James Mataragio ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 24 Februari, 2023.
View attachment 2528416
Huwezi linganisha mkurugenzi wa NHC na mtumishi wa wizara.Usifananishe hazina na wizara yoyote,kapanda huyo
NHC ni shirika liko chini ya wizara ya ardhiHuwezi linganisha mkurugenzi wa NHC na mtumishi wa wizara.
Marekani na nchi zilizoendelea baada ya waziri wamambo ya nje anayefuata kwa useniority ni waziri wa fedhaNHC ni shirika liko chini ya wizara ya ardhi
Ni shirika linalojitegemeaNHC ni shirika liko chini ya wizara ya ardhi
Aisee kumbe hujui kitu,uliza ueleweshwe,mishahara ya watumishi yote inatoka hazinaNi shirika linalojitegemea
Msajili hazina analipwa mshahara na serikali
Picha zao tafadhali ikiwezekana tuwafahamu.Nyota tu