Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
2025, atawashawishi vipi watwnzania?Mliaminishwa..
Neno sahihi kabisa. Haikuwa hivyo ila zilikuwa ni chuki kali zilizojaa husda majungu na visasi.
Tulieni hivyohivyo Mama aiponye nchi.
Mama songa mbele. Tuko nyuma yako.
Kwahiyo ilikuwa sawa wewe wa kundi fulani uneemeke kwa kodi za raia huku maelfu wakishindwa hata kununua panadol? Vipi kuhusu public service, vipi kuhusu elimu ya msingi na enrolment?Wa kukaa wangetoka wapi na wakati Jiwe aliharibu uchumi? Real estate ilikufa awamu yote ya Jiwe.
Wakati wa JK si zilikuwa booked zote? Ndio maana sasa uchumi umeanza angalau kupumua,baada ya 2025 kutakuwa na boom nzuri tuu.
Ilifika mahala mabenki yanakataa collateral za ardhi/ nyumba au wanakupa pesa kidogo Sana kwa sababu uki default hata wakiuza hawapati pesa yao.
Watanzania amken amken cake ya taifa imeshakuwa ya kundi la watu wachache na hapa nawambia kama huna utafiki au undugu na kundi lile sahamu kupata teuzi yoyote.Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika...
Mkuu they know katiba mpya itakuwa mwiba that's why hawataki kuruhusu hiyo kitu iandikwe.
As they ssaying "katiba mpya siyo ajend ma yangu au isubiri mwanza"
Tatizo Magu nae, badala ya "kuhangaika" na hawa...akawa anahangaika na kina Lissu, Ben Sanane n.kNinavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.
Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
Mchechu alifanya kazi nzuri sana NHC alilifanyia mabadiliko makubwa shirika hili alianzisha miradi mingi tuNi aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika...
Too little too late; ishi na hilo tumaini utapunguza stress!Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.
Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
Hivyo ulivyovitaja vimefanya nini? Au kuna nini cha pekee kimefangika?Kwahiyo ilikuwa sawa wewe wa kundi fulani uneemeke kwa kodi za raia huku maelfu wakishindwa hata kununua panadol? Vipi kuhusu public service, vipi kuhusu elimu ya msingi na enrolment?
Kweli wewe ni mtanzania!
Alipoondoka ulifanya sherehe, jipange, maji utaita mmaNi aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika...
Huoni vibaya kunywa damu za watu wasio na hatia? Ogopa laana ndiyo sababu hufanikiwi na kizazi chako, badili tabia usione haya!Hivyo ulivyovitaja vimefanya nini? Au kuna nini cha pekee kimefangika?
Uliwahi kuona wapi makundi yote kunufaika? Wajamaa mna akili ndogo Sana .
Kasumba za kishenzi sana. Eti hakuna ambaye sio mwizi!Umemsifia vizuri nikasema kumbe... baadae unaandika; "Afrika na hasa Tanzania hakuna ambaye sio mwizi"
Hii statement ni ya mtu aliyekata tamaa asielitakia mema hili taifa.
Tuachane na hizi network za ajabu tutafute watu safi wenye weledi wa kuongoza hizi taasisi, haya mazoea yatazidi kutuharibia.
🚮🚮🚮Huoni vibaya kunywa damu za watu wasio na hatia? Ogopa laana ndiyo sababu hufanikiwi na kizazi chako, badili tabia usione haya!
Hapo na mimi alinishangaza sana...Tatizo Magu nae, badala ya "kuhangaika" na hawa...akawa anahangaika na kina Lissu, Ben Sanane n.k
Reincarnation of the 4th Regime 😅Kwa hiyo serikali sasa itaenda kuweka garantii ili NHC wakope mabilioni ya pesa kwenye mabenki wajenge apartments ambazo watamuuzia mtanzania myonge kwa milioni 200, na kwa kuwa mnyonge hajawahi hata kuota kumiliki hiyo pesa basi hizo apartments zinabaki kuwa makazi ya popo na kupigwa vumbi daily......huyo ndo mama anaupiga mwingi bhana.
Cv yako iko wapi uteuliwe weweWatu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.
Huyu mama sijui hata anawaza nini