Inawezekana kabisa kuaachana na teuzi hii ya Mchechu, lakini vipi kuhusu teuzi za Makamba, Nape, Vuai, n.k. Ni lazima maamuzi ya Rais SSH yaheshimiwe akiwa kama ndiye kiongozi wa nchi.Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.
Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?
Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Hao wanaoludi ndio wamemshikia mama bango kuwa piga ua hakuna katiba mpya.Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.
Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
Wewe unafikiri awekwe nani kuifufua miradi aliyoiua bwana yule? Wawachwe wale walewalioishindilia kapuni miradi ya mabilioni?Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.
Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?
Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Hata asipowashawishi watanzania wapo wakina KINGAI wanajua namna ya kuongeza kura ili boss arudi ikulu2025, atawashawishi vipi watwnzania?
Hao hao watanoYaani unamaanisha kwamba tunaelekea kule ambapo wenye inchi walikuwa wazee fulani fulani. Sasa linakuja group jipya la vijana kama watano wamiliki nchi au siyo?
Wanaordi.Hao wanaoludi ndio wamemshikia mama bango kuwa piga ua hakuna katiba mpya.
Tanzania na dunia kwa ujumla haijawahi kuwa na mtu "indespensable".Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya
Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzur wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.
i hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama
Watanzania wengi hatupimi mambo; tunalalamika,tunapenda mabadiliko hata mahala ambapo mabadiliko hayahitajiki! Pia tunapenda wengine watendewe ubaya wo wote ili mradi siyo wewe binafsi! Nehemia umri wake mdogo; ni mtaalam wa benki na hata ungeweka usaili angekuwa na nafasi ya kushinda hiyo nafasi. NHC ilikuwa haijawahi kupata mtu wa kuendeleza shirika hilo. Hao waliomfukuza walimtuhumu tu hatujawahi kusikia utetezi wake. Na nyie mnatumia tuhuma kumhukumu. Lini Watanzania tutaanza kufikiri na kuendesha mambo yetu kwa hoja za kiwango cha maendeleo ya fikra ambacho dunia imeshafikia!?Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.
Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.
Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?
Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Soon Samia atakufa/atatolewa, msijali
Mchechu ndie aliharibu NHC baada ya kuchukua mikopo na kujenga mijengo ambayo hadi sasa ni makazi ya popo,kisa ni 10% miradi yake mingi ni ya kitapeli kila penye mradi pembeni yake anajimegea kiwanja chake, si umeona pale Moshi mjini na sehemu nyingine kibao majengo yamekuwa mahame. Sio bure hii network ina mwenyewe anawarudisha vijana wake.Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya
Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzur wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.
i hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama
Tatizo huna ushahidi. Yaan una theory. Sasa theory without proof ni story za vijiweniNinavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.
Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.
itakywa labda nchi za ulaya nao wanendesha serikali zao kama SisiWatu wale wale, miaka nenda rudi utafikiri hii nchi Mchechu, Mafuru, Makamba, Nape nk ndio wasomi pekee na wenye akili pekee.
Huyu mama sijui hata anawaza nini