Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Uteuzi wa Nehemia Mchechu: Tunamchekea Rais Samia, lakini hapa ameonyesha udhaifu mkubwa

Hakuna ushahidi wa wazi ulionesha kuwa Yehemia Mchechu alikuwa mwizi aliondolewa pale NHC kisiasa tu katika Wakurugenzi waliohudumu NHC hakuna mtu aliye fanya mambo makubwa kama Mchechu alifanya reformation kubwa sana katika shirika letu la Nyumba
Hivyo mimi kwangu ni uteuzi mzuri na atamsaidia sana Rais kulifanya shirika liwe bora zaidi
Kiuhalisia lazima shirika liwe na category tatu
Kwanza kuweza kuhudumia wananchi wa chini ambao watakuwa wanufaika kuweza kupata nyumba kwa rahisi

Pili wananchi wenyewe kipato cha kati (Middle Class) ambao hawa wataweza ku afford nyumba za kisasa

Tatu Tabaka la watu wenye uwezo mkumbwa kiuchumi ambayo hawa watakuwa na uwezo wa kupangisha na kununua Apartment za kisasa
Huu ni uongo, NHC ilikopa pesa nyingi kufanya miradi lakini hiyo miradi haikuwahi kurudisha pesa iliyokopwa. Shirika likabaki na madeni makubwa
Ni sawa na ilivyo ATCL, mnakwenda kununua ndege kwa mabilioni alafu kila siku shirika linapata hasara kisa tu kulifufua shirika.
Ni ujinga tu
 
Huu ni uongo, NHC ilikopa pesa nyingi kufanya miradi lakini hiyo miradi haikuwahi kurudisha pesa iliyokopwa. Shirika likabaki na madeni makubwa
Ni sawa na ilivyo ATCL, mnakwenda kununua ndege kwa mabilioni alafu kila siku shirika linapata hasara kisa tu kulifufua shirika.
Ni ujinga tu
Kwahyo magu alkua mjinga kufufua ATCL?
 
Alimpeleka mahakama gani kama alikuwa na ushahidi?

Magufuli alikuwa muhuni na mzandiki aliyejaa chuki huku akijificha kwenye kivuli cha ucha Mungu
Magufuli alikuwa kiboko ya wezi na mafisadi. Leo hii nchi inachezewa sababu bibi anaongozwa na wahuni.
 
Huu ni uongo, NHC ilikopa pesa nyingi kufanya miradi lakini hiyo miradi haikuwahi kurudisha pesa iliyokopwa. Shirika likabaki na madeni makubwa
Ni sawa na ilivyo ATCL, mnakwenda kununua ndege kwa mabilioni alafu kila siku shirika linapata hasara kisa tu kulifufua shirika.
Ni ujinga tu
Je NHC walikuwa wanauza shilingi ngapi nyumba zao??
 
Ninavyojua hawa wapigaji walikuwa na network, sasa ni kama Magufuli alikuja kukata ile network ila amekuja huyu naona anaunganisha tena network.

Niandike tu kwa kifupi; Katiba Mpya (Rasimu ya Warioba) ndio suluhisho la kudumu.

Hilo la network nakubali 100%
 
Huu ni uongo, NHC ilikopa pesa nyingi kufanya miradi lakini hiyo miradi haikuwahi kurudisha pesa iliyokopwa. Shirika likabaki na madeni makubwa
Ni sawa na ilivyo ATCL, mnakwenda kununua ndege kwa mabilioni alafu kila siku shirika linapata hasara kisa tu kulifufua shirika.
Ni ujinga tu
Leta huo ukweli wako NHC ilikopa hela za kufanya Real Estate Developer na kujenga nyumba za kisasa katika kila mkoa nchini lengo lilikuwa kutengeneza faida

Kwa sababu wakati ule ukwasi ulikuwa mzuri mifukoni mwa watu ndio maana wananchi wengi sana waliweza kununua nyumba za NHC, NSSF, PSPF

Hivyo shirika lilikuwa imara na kila mkoa ukienda project zilikuwa zinaendelea mpaka kule mtukula kagera

Wafabanya Biashara wengi walipangasha na kuweka vitega uchumi katika majengo ya NHC

Na ndio maana mradi wa Morocco square ulikwama baada ya Mchechu kupigwa chini kwa sababu mkurugenzi aliyeteuliwa alishindwa kumshauri vizur JPM

Hata kipindi kile JPM alikuwa anamuambia Mchechu kuwa wewe ni mtendaji mzuri una uwezo mzuri wa kufanya kazi ila watendaji wako wa chini ndio wanakupiga majungu na fitina

Hata JPM alikosa strong evidence na logic ya kumtengua Mchechu zaidi ya yeye naye kusikiliza majungu hivi jinsi JPM alivyokuwa mkali kama Mchechu angekuwa mwizi siku nyingi ungekuta ameshapelekwa korokoroni kama walivyokuwa wakina Dickson maimu aleyekuwa NIDA
 
Hilo la network nakubali 100%
Kama alikata Network za wenzake na yeye ya kwake sasa inakatwa na ndio maana watu walianza na Bandari kwa Kakoko sasa mapato yameongezeka maradufu katika Bandar yetu

Haya yametokana na Rais wetu kufungua nchi kibiashara na sasa meli zinakuja kwa wingi katika Bandar yetu ya Dar es Salaam ukilinganisha na kipindi kilichopita
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
mkuu ccm wote ni majizi yanalindana na kupeana ulaji, hawana haya wala soni.
 
Walipo badilisha na kumwondoa Nehemia, si unaona shirika lilikuwa kama halina boss? Kwahiyo utaona mpya hakuwa na jipya

Mchechu na timu yake ya akina maagi waliamsha sana nhc. Africa na hasa tanzania hakuna ambaye sio mwizi, ila uzur wake (nehemia) kazi na tija inaonekana.

i hope sasa nehemia atajifunza na kuwa mzalendo. Kudos mama

Kurudishwa Msechu NHC ni mkakati wa Kikwete kutaka kukomba hayo mabillioni yaliyopelekwa huko!! Anaandaa mtandao wa Uchaguzi wa 2024 hivyo sehemu zote zenye fedha atateuliwa mtu atakaye wezesha upatikanaji wa fedha za Uchaguzi!!
 
Alijenga Singida, Arusha, Bukoba na Katavi

Alivyoondoka Msechu, waliobaki wamejenga wapi?
Nipe idadi ya nyumba alojenga. Ha ha ha, kaangalie huko Singida na Katavi unakosema. Angalia Arusha. Kujenga hivyo vijumba ndo unamsifia.
Ok, unasema waliobaki wakifanya nini, tazama maghorofa ya Magomeni. Yamejengwa Msechu hayupo. Hayo yanatakiwa yamwagike nchi nzima. Au hata hiyo Dar yote. Si kujenga vighorofa yvya kuhesabu na vijumba vya mapara manne. Kisha unamsifia. Pole sana.
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
Pole sana acha wivu!
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
The Msoga gang
 
Ni aibu kwamba nchi ambayo tuliaminishwa kwamba watu fulani ni wezi ni watendaji wabovu sasa wanarudishwa kwenye nafasi zao, utadhani hakuna kilichofanyika.

Yawezekana kweli walionewa, lakini iweje Rais wa nchi awarudishe kwenye nafasi zile zile bila maelezo kwa wananchi? Hii haina maana.

Mchechu alisifika sana kwa ubadhirifu, sasa anarudi NHC kwa nafasi ile ile. Huu ni uongozi au uhuni uliokithiri? Je, haya ndo matokeo ya urafiki na Kikwete au ni sababu gani ya ziada?

Rais Samia na Mzee Kikwete au watu wa Kikwete wana urafiki gani wa ziada? Hawa watu wana sifa zipi ambazo Watanzania wengine hawana? Yaani wananchi hatuna thamani kiasi hiki kwa viongozi wetu!
nyie ccm mkaulizane huko.
 
Back
Top Bottom