Sasa kama hata huelewi nilichoandika ndiyo utanielewa kweli??Kwahiyo upo hapo unaamini kabisa kuwa Bill Gates hana walinzi? Yaani katika nchi ambayo bunduki nje nje Bill Gates asiwe na walinzi?
Au shida yako ni "mabaunsa"?
Nadhani bado hujamuelewa mleta mada kiongoziUsichanganye mambo ngosha,ulinzi wa mkurugenzi sio sawa na ulinzi wa mkuu wa nchi, Waziri mkuu wa Japan aliuwawa kwa uzembe wa walinzi, makamu wa Raisi wa Argentina, chupu chupu auwawe kwa risasi, bunduki Ika goma.
Diamond hawezi kutembea bila walinzi, huku kwetu wanaotka kumzima ni wengi, hata boss wa Facebook,Trump, Dangote, Mo dewji wote wana walinzi. Kama mtu binafsi na vipesa vyake vya serikalini, anajenga fence kubwa,waya za umeme, mbwa wakali,bstora ndani, sembuse mtu mwenye mapesa yake.
Nipe utafiti wako unao thibitisha wazi wazi haya unayoita "Mazindiko na uchawi" havikumpendeza Mungu?Hapo kwamba Mungu katupunguzia akili sio ukweli
Ukweli ni kwamba Africa tulikaa mbali na uso wa Mungu kwa muda mrefu kupitia mazindiko na uchawi na kuamini kwenye ushirikina hayo ndio yametuweka mbali na Mungu na kumcha Mungu ndio chanzo cha maarifa
Upuuzi mtupuSasa kama hata huelewi nilichoandika ndiyo utanielewa kweli??
Ukweli mtupu. Tumepewa kila kitu lakini ni wajinga wakutupwaIla nafikiri wabongo ndio tunaongoza kwa kupunjwa akili ,maana nchi ina kila kitu lakini wananchi hatuna kitu
Ukweli unauma but he was right. Sie waafrica race moja ya hovyo sana.
Hii argument ni non sequitur. Ni bunch of unrelated words.Unakuta Mweusi mwenye pesa magari 60 ya kutembelea, nguo za gharama, nk. Lakini mweupe mfano Mchina yupo simple tu na ni tajiri tena mnalala wote site.
Cheki ushamba wa mayweather, Tyson, rockross na wasanii kibao, nini sasa kuonyesh mapesa Ili iweje sasa. Lakini huwezi kuta mwanamziki mweupe au tajiri Mzungu analimbuka na pesa.
Kukubali kuambiwa huna akili bila kuhoji ni evidence tosha kwamba wewe huna akili.Habari!
Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?
Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?
Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.
Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.
Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.
General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.
Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.
Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.
Aibu sana.
Akili ni uwezo wa kuleta usawaziko wa fikra Ili uwe perfection ikiwemo utatuzi wa changamoto zinazokukabiliHii argument ni non sequitur. Ni bunch of unrelated words.
Personal priority za mtu sio kigezo cha mtu kuwa na akili kuzidi mwingine, unless wewe uwe unafikiria hivyo.
Ni sawasawa na kusema mtu anayenunua pikipiki ana akili kuliko anayenunua gari, it doesn't make any sense!
Hivi unapozungumzia akili unadhani unaongelea nini?
Kwako akili ina maana gani exactly?
ukisoma historia ya gunduzi muhimu katika hisabati na sayansi utakuta jamii zingine zote duniani zimehusika kasoro mtu mweusi tuHabari!
Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?
Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?
Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.
Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.
eshi.
Aibu sana.
Mimi naona anao, angekuwa hana asingeandika aliyoandika. Sidhani kama kuna wa kumfanya chochote!Ndugu,jitahidi kuepuka lugha zisizo na staha kwa mamlaka.Naomba ujitahidi sana.Huyu ni kiongozi wa nchi pia ni kama mama yako.Jitahidi kutumia uhuru wako vizuri.Huna uhuru huo unaojidanganya.Tumia hekima na busara hata ya kuazima.Ahsante.
hayo ni matokeo ya akili za babu zao, wao wanaendelea pale walipoishia babu zao, babu zetu sisi walikua wanafny nn enzi hizo kabla yesu hajazaliwa? maana babu wa wenzetu walikua tayari wameshatunga kanuni muhimu za hesabu zinazotumika mpk leo,Hao weupe wamelelewa wamezikuta pesa na utajiri so kwao Hakuna kipya. Sisi wengi utajiri unakutana nao ukubwani baada ya kusota Sana ikiwemo kushinda njaa shuleni kilometa nyingi Sana.
Wale ma pan africanism waliojazwa chuki zaidi juu ya reality watakuja kusema ooh historia yetu ilifichwa,mara wataalamu wetu sijui walikatwa mikono na blah blah zinginehayo ni matokeo ya akili za babu zao, wao wanaendelea pale walipoishia babu zao, babu zetu sisi walikua wanafny nn enzi hizo kabla yesu hajazaliwa? maana babu wa wenzetu walikua tayari wameshatunga kanuni muhimu za hesabu zinazotumika mpk leo, sio dhihaka au kujidharau but huwa najaribu kujiuliza why mtu mweusi ht hstoria yake mwenyewe hajaandika? maana waarabu,wazungu,wachina wana historia zao za mpk miaka mia kadhaa kabla ya yesu but hakuna anyeijua historia ya kusini mwa janga la sahara ya karne ya 9
Silikiza utani huu upate jibu.Habari!
Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?
Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?
Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.
Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.
Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.
General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.
Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.
Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.
Aibu sana.
kweli kabisa ila ukweli haujifichi,Wale ma pan africanism waliojazwa chuki zaidi juu ya reality watakuja kusema ooh historia yetu ilifichwa,mara wataalamu wetu sijui walikatwa mikono na blah blah zingine