Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Kwahiyo upo hapo unaamini kabisa kuwa Bill Gates hana walinzi? Yaani katika nchi ambayo bunduki nje nje Bill Gates asiwe na walinzi?


Au shida yako ni "mabaunsa"?
Sasa kama hata huelewi nilichoandika ndiyo utanielewa kweli??
 
Nadhani bado hujamuelewa mleta mada kiongozi
 
Kaburu Botha alisha wahi sema ukweli kuhusu waafrika ni ukweli ulio wazi kwamba jamaa alikuwa sahihi ni vile tu tuna kataa ukweli lakini ndo ulivyo.

Mwafrika ni ishara ya ufinyu wa fikra, umasikini na matatizo makubwa Sana ukitaka kuona mambo ya kijinga dunia hii nenda kwenye maeneo ambayo wanaishi waafrika ni majanga matupu angalia sehemu Kama Haiti.

Njoo bara la Afrika hasa kusini mwa Sahara desert Kuna ujinga kuanzia kwa viongozi mpaka wananchi na mfano ulio hai nchi za kiafrika zenye watu weupe zina ubora wa maisha kuliko za Afrika tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwamba Mungu katupunguzia akili sio ukweli
Ukweli ni kwamba Africa tulikaa mbali na uso wa Mungu kwa muda mrefu kupitia mazindiko na uchawi na kuamini kwenye ushirikina hayo ndio yametuweka mbali na Mungu na kumcha Mungu ndio chanzo cha maarifa
Nipe utafiti wako unao thibitisha wazi wazi haya unayoita "Mazindiko na uchawi" havikumpendeza Mungu?

Usitumie Maandiko ya kidini Biblia wala Quran.Maana Biblia na Quran uliletewa na huyo huyo mkoloni ambaye ali iba rasilimali zako,akatufanya watumwa,akaua mababu zetu, na hizi Dini unazodai ati! ndizo za kweli ,walikuwa nazo kipindi wanafanya Unyama huu wote Halafu wewe unasema ndizo dini za kweli?
 
Unaonaje tukatafuta mzungu akutawale kwanza maana bado hujaelimika,hao unao waona wana akili ndo walisema hapo zamani ulikuwa nyani,swali tu ulisha wahi kumuona nyani kajenga nyumba?.

Ni hayo tu pia nikukumbushe usitumie kichwa kama kifuniko cha shingo.

Uwe na siku njema.
 
Mtu kuamua kuitwa au kutokuitwa boss ni personal priority na sio kigezo cha akili.
Na kwenye swala la mtu kuwa na mlinzi au lah huko nje kwao ulinzi ni swala la kwanza na linatekelweza ipasavyo na watu kutoka nje ni ngumu kuwa na maadui sababu sio wazawa na hawajulikani kihivyo.

Tofauti na huku Tanzania ambako panyaroad wanazagaa hovyo mtaani hata ukiwa na elfu 20 unatembea roho juu means mtu mwenye kipato kizuri kutokuwa na mlinzi kisa kuiga wazungu hawana walinzi basi atakuwa hana akili.

This is a non sequitur argument.

Zaidi ya hapo huko kwengine ni kweli.
 
Mfumo wa Dunia umepangwa na Nguvu za asili na hauwezi kupanguliwa na akili wala mipango ya mwanadamu.

Mpangalio wa ubora wa wanadamu kwa rangi utabaki hivyo mpaka mwishooooooooo. Pale juu anaanza Mzungu, anakuja mchina na kuendelea. itabaki hivyo
 
Hii argument ni non sequitur. Ni bunch of unrelated words.
Personal priority za mtu sio kigezo cha mtu kuwa na akili kuzidi mwingine, unless wewe uwe unafikiria hivyo.
Ni sawasawa na kusema mtu anayenunua pikipiki ana akili kuliko anayenunua gari, it doesn't make any sense!

Hivi unapozungumzia akili unadhani unaongelea nini?
Kwako akili ina maana gani exactly?
 
Kukubali kuambiwa huna akili bila kuhoji ni evidence tosha kwamba wewe huna akili.
Tabia binafsi na akili ni vitu viwili tofauti.

Hivi mkuu unapoongelea akili unakuwa unamaanisha nini hasa?
Hebu itetee hoja yako hapo.
 
Akili ni uwezo wa kuleta usawaziko wa fikra Ili uwe perfection ikiwemo utatuzi wa changamoto zinazokukabili
 
ukisoma historia ya gunduzi muhimu katika hisabati na sayansi utakuta jamii zingine zote duniani zimehusika kasoro mtu mweusi tu
 
Ndugu,jitahidi kuepuka lugha zisizo na staha kwa mamlaka.Naomba ujitahidi sana.Huyu ni kiongozi wa nchi pia ni kama mama yako.Jitahidi kutumia uhuru wako vizuri.Huna uhuru huo unaojidanganya.Tumia hekima na busara hata ya kuazima.Ahsante.
Mimi naona anao, angekuwa hana asingeandika aliyoandika. Sidhani kama kuna wa kumfanya chochote!
 
Hao weupe wamelelewa wamezikuta pesa na utajiri so kwao Hakuna kipya. Sisi wengi utajiri unakutana nao ukubwani baada ya kusota Sana ikiwemo kushinda njaa shuleni kilometa nyingi Sana.
hayo ni matokeo ya akili za babu zao, wao wanaendelea pale walipoishia babu zao, babu zetu sisi walikua wanafny nn enzi hizo kabla yesu hajazaliwa? maana babu wa wenzetu walikua tayari wameshatunga kanuni muhimu za hesabu zinazotumika mpk leo,

sio dhihaka au kujidharau but huwa najaribu kujiuliza why mtu mweusi ht hstoria yake mwenyewe hajaandika? maana waarabu,wazungu,wachina wana historia zao za mpk miaka mia kadhaa kabla ya yesu but hakuna anyeijua historia ya kusini mwa janga la sahara ya karne ya 9
 
Wale ma pan africanism waliojazwa chuki zaidi juu ya reality watakuja kusema ooh historia yetu ilifichwa,mara wataalamu wetu sijui walikatwa mikono na blah blah zingine
 
Silikiza utani huu upate jibu.

 
Wale ma pan africanism waliojazwa chuki zaidi juu ya reality watakuja kusema ooh historia yetu ilifichwa,mara wataalamu wetu sijui walikatwa mikono na blah blah zingine
kweli kabisa ila ukweli haujifichi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…