Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Kwani mkuu hii maabara ya Alexandria si alikuwa mtawala wa ottoman empire. Si alikuwa anatokea sijui gani akaja akapiga kambi hata misri Kuna bandari Ina jina lake. Na Ni kweli wale Roman empire walikuwa wanakuja kujifunza huko Egypt vitu.


Sema na Roman empire ilitapakaa ujue mpaka Sahara desert pia.
Kuna dola zilitawala hapo.
Mansa Musa alienda America around 1340 Kama sio kijana wake aliyeitwa aboubakar akafanya biashara na hao wahindi wekundu hakujisema kuwa Aligundua Bata Ilo Mana lilikuwepo.


History ya mweusi Ni Kama imefichwa huwa kidogo Patrice lumumba anawaamsha watu sema hawaamki.



Huyo Alexandria the great Kuna namna alikuja huko misri hakuwa mturuki kweli Ila alikuwa Ni mtu wa Taifa sio ndani ya afrika.
Naomba uni update na Kama una off naomba unisaidie plz
Nani kaificha historia yetu! Ni mzungu anaye tutengenezea curriculum yetu!
Hebu ondoka na huo mtazamo! Tuna miaka 60 toka tupate uhuru! Tuna maprofesa wengi tu! Bado tunasema historia yetu imefichwa!
Kweli Tuna safari!
 
Juzi juzi nilikuwa huko wilaya ya Uvinza, Vijiji vya mgambo na vingine ambavyo viko very close na ziwa Tanganyika lakini watu wanahangaika hakuna maji... Yaani hata majirani 4 wakiamua kuunganisha nguvu na kununua water pump wana uwezo kabisa wa kuvuta maji na kuanzisha kilimo cha umwagiliaji jirani na majumba yao na kujipatia kipato lakini umasikini mwanzo mwisho na maji mpaka waende ziwani..
Watakamatwa na kuswekwa ndani.
 
Unakuta Mweusi mwenye pesa magari 60 ya kutembelea, nguo za gharama, nk. Lakini mweupe mfano Mchina yupo simple tu na ni tajiri tena mnalala wote site.

Cheki ushamba wa mayweather, Tyson, rockross na wasanii kibao, nini sasa kuonyesh mapesa Ili iweje sasa. Lakini huwezi kuta mwanamziki mweupe au tajiri Mzungu analimbuka na pesa.
Dj Khaled 🤣🤣
 
Mkuu cassavaleaves mimi namalizia mjadala kwa kusema kwamba, Afrika yetu ina shida kubwa mno. Naomba nimalize huu mjadala wetu mzuri wa leo, ambao umekuwa na maswali mazito na muhimu kabisa kuulizwa. Binafsi huwa naamini kwamba mbali na matatizo ya kiuchumi na kisiasa ambayo ndiyo tunayazingatia sana, tatizo kubwa la Afrika liko kiroho (Spiritually) kuliko kimwili.

Kuna baadhi ya mambo ya hovyo hufanywa na waafrika, They defy common precepts of decency....Ndiyo tunapata viongozi kama Bokassa, Musseveni, Mobuthu n.k
 
Hujafanya tafiti za kutosha ndugu yangu, na pia unanisikitisha sana ambavyo unajiona duni mbele ya jamii nyingine. Huwa nikiwasoma watu wengi kama ninyi, huwa ndiyo napata kufahamu kwamba mzungu alifanikiwa kwa asilimia 100% kumtawala mtu mweusi, kwasababu ameshikilia fikra zetu. Kiufupi mimi nakukubali sana Nankumene japo katika hili naomba niendelee kukukusoa na kama kuna kitu nakosea naomba niambie nifahamu. Niko tayari kujifunza vitu vipya:

Mosi, bila ubishi wowote ule Misri ya kale (Kemet) ilikuwa ni dola la watu weusi. Ushahidi wa kutosha wa hili ninalosema uko kwenye The Egyptian Hieroglyphs. Nafurahi sana kuona umemzungumzia mwana-mahesabu wa Kigiriki Pythagoras. Hivi unafahamu kwamba Pythagoras kama Plato aliwahi kusoma elimu yake ya juu kule Misri ya kale ??? Kiufupi mpaka kufika vita ya Kalkemish (The Battle of Carchemish), vita baina ya Misri na Babeli, Misri ilikuwa inatawaliwa na mafarao waliotoka Sudan (Nubia). Farao Necho II alikuwa ni mnubi wa Sudan. Hili nalo utataka kulipinga ndugu yangu ???

Pili, narudia tena kuhusu Berbers (The Amazigh People). Hii jamii ya kiafrika ndiyo walikuwa wanajeshi wa muhimu wa kalifeti ya Ummay (The Umayyad Caliphate), ambapo walisaidia kwenye uvamizi wa Uhispania. Hata neno GILBRALTAR limetokana na neno la kiarabu Jabal Tarid (The Mountain of Tariq), ambapo walimuenzi kamanda wa kiislamu aliyeongoza uvamizi huo aliyeitwa Tariq Ibn Ziyad. Hawa waafrika (Berbers) ndiyo waliotengeneza falme imara kama Numidia ambazo zilishirikiana na ufalme wa Karthago (Carthage) katika kupambana na Rumi kwa miaka zaidi ya 100 (The Punic Wars).

Baada ya Warumi kumshinda Hannibal mwaka 146 BCE (The Third Punic War), Scipio Africanus aliamuru dola la Karthago lichomwe moto lote na watu wake kuuzwa utumwani. Walifanya sawa na kile ambacho Mongols chini ya Monghke Khan walikifanya kule Baghdad mwaka 1258 (The Siege of Baghdad) ambako kulikuwa na maktaba kubwa na vyuo bora kabisa duniani kwa wakati huo. Leo hii historia ya haya madola hazipo. Lakini, hata kama hazipo, basi tuseme kwamba waafrika wana akili ndogo kuliko jamii nyingine ???

Tatu na mwisho kabisa, waafrika wana historia ambayo haijazungumzwa na kufanyiwa tafiti vilivyo. Wenzetu wazungu wamefanikiwa sana katika kuaminisha weusi kwamba hawana historia. Wengi wetu hili tumelibeba kama lilivyo bila kulipa tafakuri za kina. Naomba nikupe mifano ya mwisho: Kipindi Roma iko chini ya Kaisari Augustus, vilitokea vita vikubwa baina ya Ethiopia (Nubia) na dola la Mrumi mwaka 24 BCE ambapo waliishia kufanya makubaliano ya amani. Hivi mtu mjinga asiye na akili anaweza kuingia kwenye makubaliano ya kidiplomasia na taifa kama Roma kweli ???

Haya, wazungu wamefika zimbabwe (The Great Zimbabwe), wakaandika kwamba ule mji ulijengwa na wazungu kwasababu weusi wasingeweza kufanya hivyo. Kuna watu wanaamini mpaka leo hii kwamba The Great Zimbabwe haukujengwa na watu weusi. Mara ya kwanza Vasco Da Gama anaona rangi iliyopakwa ukutani (Colour Paint) ilikuwa ni kule Kilwa (The Kingdom of Kilwa), hapa nchini kwetu. Ifahamike kwamba Kilwa ilitengeneza hadi sarafu yake ambayo ipo kwenye makumbusho yake, lakini pia ilianzisha mahusiano ya kidiplomasia na Uchina (The Ming Dynasty) mnamo karne ya 14. Hivi watu wasio na akili wanaweza kutengeneza sarafu yao kweli, pamoja na kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia ???

Aidha kuna kitu kimefichika, au waafrika mnajiona ni mapanzi kama ambavyo wapelelezi wa kihebrani walimwambia Nabii Mussa baada ya kutoka kule Kaanani.....Yote, tisa mzungu kafanikiwa sana kushika akili za mwafrika. Katika hili, alifanikiwa mno....
Wanubi Ni wanajeshi hatari mno kabila akitoka mjeda humo Ni nouma hata mjerumani alimtumia.

Mkuu big up mno
 
Mkuu cassavaleaves mimi namalizia mjadala kwa kusema kwamba, Afrika yetu ina shida kubwa mno. Naomba nimalize huu mjadala wetu mzuri wa leo, ambao umekuwa na maswali mazito na muhimu kabisa kuulizwa. Binafsi huwa naamini kwamba mbali na matatizo ya kiuchumi na kisiasa ambayo ndiyo tunayazingatia sana, tatizo kubwa la Afrika liko kiroho (Spiritually) kuliko kimwili. Kuna baadhi ya mambo ya hovyo hufanywa na waafrika, They defy common precepts of decency....Ndiyo tunapata viongozi kama Bokassa, Musseveni, Mobuthu n.k
Mkuu ulipoenda kwenye tatizo la Sprituality maybe you are right. Tutafutate pembeni, labda tunaweza kupeana mawazo zaidi

Nahangaishwa mno mimi binafsi kwa nini tuko hapa. Nimesoma nadharia kadhaa za maendeleo ya mwanadamu zimeshindwa kunipa majibu!

Nimefanya kazi kwenye International NGO zinazosema zinaondoa umasikini Africa nikaona ni Scam! Sana umasikini niliondolewa mimi,sio hao tunaowafanyia warsha na kuzunguka na MA Land cruisers! Nikaona nakuwa mnafiki! Mzungu hakufika hapo kwa Warsha na semina! Na kuchimbiwa vyoo na kupewa vyandalua!
Tuwasiliane Mkuu
 
I
Lakini mitandao ya pono ndio inayoongozwa kutazamwa! Mtu anakuuliza swali,tena graduate, kitu ambacho angepata tu kwa kutumia siju y
Inatakiwa elimu ibadilishwe isiwe ya kukaririshana like Elon musk akapingana na mfumo wa elimu hii ya dunia iliyopo..wachina wanatumia kalkuleta since primary. Why niumize kuzidisha wakati tayari Kuna teknolijia Ni Kama eti nitembee na mguu dar to mwanza ili nikomae niyajue mazingira ya nchi yangu.
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Kiukwl unayo sema ni kwl ila tukija kweny iyo ishu ya ulinzi kwa watu wa kubwa mi kwaupande wangu naona nisawa kwa mfano kifo Cha raisi wa kwanza wa Zanzibar , yeye alifyatuliwa risasi alipokuepo hakuwa na ulinzi. Ila kwa issue ya akili naona waafrika akili tunazo ila shida tumejawa na uvivu , wivu , ulimbukeni , misifa na kuhitaji kuonekana.
 
Inavyodaiwa, sehemu muhimu sana ya ubongo wa Binadamu inayojulikana kama "Modula Oblangata" ya Waafrika waliyo wengi (siyo wote) ni duni ukilinganisha na Wazungu na Watu wa ngozi nyeupe.
Inawezekana Mkuu, lazima kuna kitu ambacho Waafrika hatunacho, karne ya leo hatujui la kufanya! Hata kujifunza toka kwa hao waliotupita!
 
Tutabalishaje hiyo mind set? Tunakua na Rais mwenye PHD, anaongoza serikali nzima, na wananchi kwenda kupokea ndege airport karne ya leo! Wasted hours, wengine wanatoka Dodoma na magari ya serikali just kuja pokea ndege! Sasa huoni tu kuna vichwani mwetu haviko sawa!
Unajua mambo mengine yangefanywa na watu wasio na elimu wala tusingeshangaa
Hebu niambie kiongozi wa serikali kwanza kukubali mradi wa kuchimbiwa vyoo vya shimo tu! Halafu kwenda kuupokea na kufanya uzinduzi wa kupokea vyoo, ni akili kweli?
Hao ni wasomi! Kuna miradi kwa akili za kawaida tu ungesema hapana! Utamlaumu mzungu kweli! Huo ndio upumbavu tunaosema Mwafrika ana tatizo!
 
Unaifahamu historia ya kemet/Misri , amabayo hapo kabla ilijulikana land of blacks Ambayo haijachakachuliwa na hao white supremacists?

Unafaham kemet/Misri ilitawala Dunia Kwa miaka mingi uko nyuma? Unafaham wa Arabu ni Wafamizi North Africa na Egypt ya Leo?

Unafam pyramids zilizopo Misri, Sudani, na Ethiopia zimejengwa na watu weusi, na Hadi Leo hawana jibu zilijengwa vipi, na unafaham hesabu ilitumika kujenga hizo pyramids?

Unafaham Kemet/Misri ilistarabika mapema zaidi ya Ulaya? Unafaham wana Filosofia wa Magharibi walikua wakisafiri kuja kujifunza Kemet/misri?


Unakifahamu kitabu Cha the book of the coming forth by day/ book of the dead , Kiliandikwa na watu weusi?

Unafaham maktaba ya Alexandria iliyochomwa moto na wazungu wakishirikiana na ndugu zao wa arabu, kupoteza asili ya mtu mweusi na yote aliyo yafanya hapo kabla, na wakaiba vitabu vyote vilivyokua vinaelezea sayansi na teknolojia wanayotumia hivi sasa kufanya uvumbuzi, na vilivyobaki wakavitia moto?
Unafaham kuanguka kwa kemet/ misri ndio ulikua mwanzo wa Afrika kutawaliwa na kuchukuliwa watumwa?

Unafaham wazungu wanavyotumia nguvu kubwa kupindisha historia ya Mtu mweusi Ili aendelee kujiona Duni, na awatawale milele?

Unafaham gunduzi zinazofanyika Misri ya Leo kwenye pyramid of Giza hazitoki hadharani Hadi ziwe white washed?

Usijidharau ndugu, hapo kabla tulitawala kuanzia Afrika, Amerika Hadi Ulaya,

tawala zinainuka na kuanguka, zama za hao westerners zinaenda kufika ukingoni, Afrika inanyanyuka tena.
Nyie mlio ingudua hiyo historia ya mwafrika mpaka Sasa mmeleta mageuzi gani ya kisiasa, kijamii,kiuchumi,kielimu, kisayansi na Teknolojia ?

Cha kushangaza ni kwamba Babu aliweza kutengneza Mapiramidi Misri ambayo mpaka Sasa imekuwa shida kujua hesabu zake lakini mjukuu hata kutengeneza soksi,kijiko, hawezi si mambo ya ajabu aya

Ujinga wetu ndo umetufanya tuwepo hapo na kufeli kwetu mwisho tumekuwa tunatoa lawama kwa watu ambao sio kabisa ooh mabeberu alafu hao hao ndo wanakuja kuleta pesa za kujenga matundu ya choo mashuleni ndani ya miaka 60 ya Uhuru tunashindwa kujenga matundu ya vyoo na hili tuseme sababu ya historia kufichwa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unaifahamu historia ya kemet/Misri , amabayo hapo kabla ilijulikana land of blacks Ambayo haijachakachuliwa na hao white supremacists?

Unafaham kemet/Misri ilitawala Dunia Kwa miaka mingi uko nyuma? Unafaham wa Arabu ni Wafamizi North Africa na Egypt ya Leo?

Unafam pyramids zilizopo Misri, Sudani, na Ethiopia zimejengwa na watu weusi, na Hadi Leo hawana jibu zilijengwa vipi, na unafaham hesabu ilitumika kujenga hizo pyramids?

Unafaham Kemet/Misri ilistarabika mapema zaidi ya Ulaya? Unafaham wana Filosofia wa Magharibi walikua wakisafiri kuja kujifunza Kemet/misri?


Unakifahamu kitabu Cha the book of the coming forth by day/ book of the dead , Kiliandikwa na watu weusi?

Unafaham maktaba ya Alexandria iliyochomwa moto na wazungu wakishirikiana na ndugu zao wa arabu, kupoteza asili ya mtu mweusi na yote aliyo yafanya hapo kabla, na wakaiba vitabu vyote vilivyokua vinaelezea sayansi na teknolojia wanayotumia hivi sasa kufanya uvumbuzi, na vilivyobaki wakavitia moto?
Unafaham kuanguka kwa kemet/ misri ndio ulikua mwanzo wa Afrika kutawaliwa na kuchukuliwa watumwa?

Unafaham wazungu wanavyotumia nguvu kubwa kupindisha historia ya Mtu mweusi Ili aendelee kujiona Duni, na awatawale milele?

Unafaham gunduzi zinazofanyika Misri ya Leo kwenye pyramid of Giza hazitoki hadharani Hadi ziwe white washed?

Usijidharau ndugu, hapo kabla tulitawala kuanzia Afrika, Amerika Hadi Ulaya,

tawala zinainuka na kuanguka, zama za hao westerners zinaenda kufika ukingoni, Afrika inanyanyuka tena.
Hizi story tu hakuna cha kemet wala cement.

Kama afrika ilifikia maendeleo ya namna hiyo ilikuwaje tena ikaja kutawaliwa na kufanyiwa utumwa!?

Wazungu/waarabu wamekuja hapa afrika hata nguo tulikuwa hatuna tunaishi kama wanyama tu na mila za ajabu ajabu sijui kukeketana nk. Jamii ile ilikuwa backward sana kusema iliwahi kutawala dunia ni hadithi za paukwa pakawa
 
Nyie mlio ingudua hiyo historia ya mwafrika mpaka Sasa mmeleta mageuzi gani ya kisiasa, kijamii,kiuchumi,kielimu, kisayansi na Teknolojia ?

Cha kushangaza ni kwamba Babu aliweza kutengneza Mapiramidi Misri ambayo mpaka Sasa imekuwa shida kujua hesabu zake lakini mjuu hata kutengeneza soksi,kijiko, hawezi si mambo ya ajabu aya

Ujinga wetu ndo umetufanya tuwepo hapo na kufeli kwetu mwisho tumekuwa tunatoa lawama kwa watu ambao sio kabisa ooh mabeberu alafu hao hao ndo wanakuja kuleta pesa za kujenga matundu ya choo mashuleni ndani ya miaka 60 ya Uhuru tunashindwa kujenga matundu ya vyoo na hili tuseme sababu ya historia kufichwa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu iliniumiza sana kuona tunapewa msaada wa kuchimbiwa mashimo ya choo! Ungeuza vieti moja tu la serikali ungechimba vyoo vingapi! Niliona tunatukanwa na wafadhili, niliona tunawajinga serikalini kukubali upuuzi huo.

Kwangu mimi niliona ni kama mtu anataka kunisaidia kununua underwear ya mke wangu! Hata kama na shida kiasi gani, hilo ni jukumu langu.

Huu ndio upofu wa Mwafrika tena msomi!
 
Habari!

Mpaka leo natafakari hivi ni sababu za Kijiografia ndizo zimepelekea utofauti huu mkubwa wa akili baina ya Mwafrika na mtu mweupe?

Sometimes nahisi ni sababu za kibaiolojia (genetic factors) ndizo zimeweka mstari wa akili kati ya Mwafrika na mtu mweupe?

Narudi mezani napata jibu ni Mungu tu kwasababu zake mwenyewe ameamua kumpunja Mwafrika akili maana hata Waaafrika ambao wangezaliwa na kuishi huko Amerika na Asia hawaishiwi ulimbukeni na ushamba.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu Acacia, General manager alikuwa analipwa zaidi ya milioni 60 za Kitanzania kwa mwezi lakini alikuwa hataki kuitwa boss, alikuwa hana dereva wala body guard.

Nimewahi kufanya kazi na Wazungu pia huko Serengeti hotel moja ya gharama na nzuri sana. Ambayo 24 hrs gharama ya chini ilikuwa milioni 1.4 na sasa imepanda nasikia maana mimi niliacha baada ya kupata kibarua Serikalini. Hotel ambayo watu maarufu kama Bush, Beckham n.k hukosi kuwaona kule. Kule hakuna mtalii Mchina, Mhindi wala Mwafrika. Kule madoni walikuwa wanatumia mpaka milioni 20 per day.

General manager alikuwa analipwa pesa nyingi sana ila hakuwa na mlinzi kwake, alikuwa hataki kabisa kumuita boss.

Tukio la juzi la kuapishwa King Charles wa Uingereza mmeoana, hakuwa na mpambe wa kumsogezea daftari la mikataba, kiti alikisogeza mwenyewe.

Turudi Afrika sasa
• Kila mwanamuziki ambaye yuko kwenye chati tu mabody guards kama wote.
• Leo kazini msimamizi wako acha kumwita boss, muite jina lake la kawaida uone kama hutapewa kesi ya wizi wa mali za umma.
• Ufisadi na urasimu.
Afrika huwezi kusajili biashara siku moja, urasimu ni mwingi.
• Kesi inakaa mpaka miaka 7 ndo inatolewa hukumu hasa kesi ya mauaji. Baadaye mtuhumiwa anaachiwa huru kuwa hana hatia huku tayari kakaa mahabusu miaka 7. Mlipeni basi mabilioni ya kumfidia. Maana kumweka mtu ndani miaka saba si uuaji kabisa.
• Huku Afrika karibu kila Kiongozi wa nchi kila anaposimama au kukaa nyuma yake kuna AD kavaa nguo za kijeshi.

Aibu sana.
Wazungu huwezi kuwa tambua msomi na hasiye msomi, Viongozi waki zungu tofauti na Viongozi wetu waki Tanzania, nilifanyaga kazi sekta ya utalii, utakuta kiongozi mzungu ni katibu mkuu au mkurugenzi au waziri uko kwao lakini akija holiday Tanzania huwezi jua kama kwao ni viongozi wakubwa, Tunaongea nao tunacheka tuna piga story kibao na ukiitaji mfano maji ya kunywa anaenda bar kukuchukulia na kukuletea mpaka unashangaa yani huyu mgeni kiongozi mkubwa anafata maji na kuniletea

Sasa kimbembe viongozi wetu wakija hoteli wapo siriasi kumbe hawana lolote kichwani yani viongozi wetu washamba sana yani siyo vijana wala wazee.
 
Back
Top Bottom