Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Israel akirudisha mashambulizi kutokana na ugaidi anaofanyiwa mnawaita wauaji.

Ooh, tushaelewa kwa nini. Turkey ni wale wale itikadi kali wenzenu ndio maana mko kimya.
20241031_183104.jpg
 
Israel akirudisha mashambulizi kutokana na ugaidi anaofanyiwa mnawaita wauaji.

Ooh, tushaelewa kwa nini. Turkey ni wale wale itikadi kali wenzenu ndio maana mko kimya.
View attachment 3139961
Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
 
Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
We kweli kilaza kwamba unaujua ukorofi wa wakurd utafikir umeishi nao. Hicho wanachopigania kinatofauti gani na hamas sasa. Maana nao wanadai nchi yao.
 
Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
Wakurd wanapitia hali mbaya kama tu Wapalestina, na pengine mbaya zaidi maana wameipitia kwa miaka mingi. Waturuki walihamia hapo waliwakuta Wakurd. Leo wanawapiga mabomu. Ni jamii kubwa kabisa ya watu duniani ambayo haina taifa lao wenyewe.
 
Wakurd wanapitia hali mbaya kama tu Wapalestina, na pengine mbaya zaidi maana wameipitia kwa miaka mingi. Waturuki walihamia hapo waliwakuta Wakurd. Leo wanawapiga mabomu. Ni jamii kubwa kabisa ya watu duniani ambayo haina taifa lao wenyewe.
Uko sahihi mkuu, wakurd wanaonewa sana

Hahah uturuki ingekuwa ni nchi ya kikristu ndio ungeona malalamiko mitandaoni
 
Israel akirudisha mashambulizi kutokana na ugaidi anaofanyiwa mnawaita wauaji.

Ooh, tushaelewa kwa nini. Turkey ni wale wale itikadi kali wenzenu ndio maana mko kimya.
View attachment 3139961
Wanaua wanawake na watoto ama wanapigana na wanajeshi wanaume wenzao? Hili ndio jambo la kwanza linalo Discriminate vita vingi Duniani na kinachoendelea Israel.
 
Uko sahihi mkuu, wakurd wanaonewa sana

Hahah uturuki ingekuwa ni nchi ya kikristu ndio ungeona malalamiko mitandaoni
Armenia ni Nchi ya Kikristo na Mostly ni Nchi za kiarabu ndio zinai Support, Azerbaijan ni Nchi ya Kiisilamu na inakuwa Supported na Israel kuwapiga hao wakristo. Kama akili yako imejaa Udini taratibu inaoza bila mwenyewe kujitambua mwisho wa siku taratibu unaanza tu kuwa zombie la media bila uwezo wa kufikiria.
 
Watu hawailaani israel kushambulia hamas,wanalaani israel kuua watoto, wanawake,kupiga hospital,shule,kukalia kimabavu ardhi ya palestina,wakurdi ni jamii ambayo imejikuta ipo nchi tatu, Syria, uturuki na iraq,kama wayao walivyo tanzania,malawi na msumbiji,au wamasai tanzania na kenya,wajaluo tanzania na kenya,lakini hawadai nchi yao, wakurdi wao wameikataa mipaka ya kikoloni na kutaka nchi yao,so harakati zao ni mashambulizi kwenye nchi zote tatu
 
Uko sahihi mkuu, wakurd wanaonewa sana

Hahah uturuki ingekuwa ni nchi ya kikristu ndio ungeona malalamiko mitandaoni
ungesikia vilio; ooh tunaonewa, wanapiga wazee na vitoto. kobaz ni laana. unaonewaje nawe upo TZ?
 
Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Hii hotuba yako imepokewa kikamilifu na inaungwa mkono na Msikiti sababu uongo ni ibada ya Allah.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
Ustadhi Allah awe nawe peponi pimp house akulipe wanawake 100 firdaus umekidhi vigezo malipo ni papuchi za Allah ambazo anazisoft soft kila siku
 
Wakurd wanapitia hali mbaya kama tu Wapalestina, na pengine mbaya zaidi maana wameipitia kwa miaka mingi. Waturuki walihamia hapo waliwakuta Wakurd. Leo wanawapiga mabomu. Ni jamii kubwa kabisa ya watu duniani ambayo haina taifa lao wenyewe.
Wakurdi walikua sehemu ya Anatolia ama Persia/Iran.
Jiulize kwanini hadi Iran inawachukia wakurdi!?
Yani wao sio watu wa kukaa sehemu kwa amani.
Ni watu wa fujo kila pahala wanapokaa.
 
Umeanza vibaya!! Kwamba Israel ndio anafanyiwa ugaidi? Kwamba kukalia ardhi ya mtu ni halali ila akitaka kukutoa ndio inaitwa ugaidi? Hivi tuna akili gani waTanzania....

Anachofanya Uturuki, Israel na putin ni yaleyale tu.
Binafsi sielewi, inasemekana Israel kakalia ardhi ya Palestina. Hivi ardhi ya Israel Iko wapi? ili arudi kwao?
 
Back
Top Bottom