Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
Kwan wapalestina kuna mtu anawataka, hao hawazaminiki ndomaana misri kafunga mipaka yake wakurdi wanayo haki kudai nchi yao ya Kurdistan
 
Umeanza vibaya!! Kwamba Israel ndio anafanyiwa ugaidi? Kwamba kukalia ardhi ya mtu ni halali ila akitaka kukutoa ndio inaitwa ugaidi? Hivi tuna akili gani waTanzania....

Anachofanya Uturuki, Israel na putin ni yaleyale tu.
Ardhi ya nani ambayo Israel ameikalia? Hizo nadharia zenu mlizotengenezewa mkamezeshwa bado mnaziishi?
 
Binafsi sielewi, inasemekana Israel kakalia ardhi ya Palestina. Hivi ardhi ya Israel Iko wapi? ili arudi kwao?
Wanalishana upepo tu hao. Israel yupo pale tangu na tangu.
Wao wanawaongelea Israel kwa kuwaangalia wale waliorudi kutoka Ulaya miaka ya mwishoni mwa 1940.
Wasichotaka kukiri ni kwamba kabla ya hao kurudi tayari walikuwepo wengi zaidi wanaishi pale
 
Wanaua kila kitu mpaka wanyama, kwa taarifa yako Rais wa Iraq by then saddam hussein aliwapiga mpaka mabomu ya sumu na ndio kesi iliyotumika kumnyonga.
Thats different case, na sidhani kama Sadam na Uturuki ni kitu kimoja. Uturuki ndio waliomsaidia Usa kumpiga Sadam, so kutumia Case ya Sadam kama ndio anachofanya Uturuki si sawa.
 
Wanalishana upepo tu hao. Israel yupo pale tangu na tangu.
Wao wanawaongelea Israel kwa kuwaangalia wale waliorudi kutoka Ulaya miaka ya mwishoni mwa 1940.
Wasichotaka kukiri ni kwamba kabla ya hao kurudi tayari walikuwepo wengi zaidi wanaishi pale
Hao wa Ulaya ndio wasiotakikana, leo hii ukiwekewa Jews mwarabu, muisilamu mwarabu ama Mkristo mwarabu hutofautishi sababu ni jamii moja, wote wana haki kuishi hilo eneo. Ila sio wazungu hilo sio eneo lao na hawana haki yoyote na hilo eneo. Watu ambao asili zao ni Poland na Ukraine unawatetea vipi kuclaim ardhi ya Middle East?
 
Hao wa Ulaya ndio wasiotakikana, leo hii ukiwekewa Jews mwarabu, muisilamu mwarabu ama Mkristo mwarabu hutofautishi sababu ni jamii moja, wote wana haki kuishi hilo eneo. Ila sio wazungu hilo sio eneo lao na hawana haki yoyote na hilo eneo. Watu ambao asili zao ni Poland na Ukraine unawatetea vipi kuclaim ardhi ya Middle East?
Hao wa Ulaya ni akina nani? Kwa hiyo mmeamua kuwa hamuwataki kisa waliwahi kuishi Ulaya?
Kuishi Ulaya kulibadilisha asili yao? Au mnadandia kushabikia msiyoyajua?

Wapalstina wenyewe hawajawahi kudai kwamba hao ni wazungu na kwamba hawastahili kuwepo hapo, zaidi story hizo hiwa nazisikia huku kwetu Mwemberadu
 
Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
Muongo wewe, hamas ndio aliyeanzisha mashambulizi na hiyo ardhi anayoipigania sio ya kwake. Mbona walipewa ardhi nyingine wahamie hapo wakakataa kama shida ni ardhi?
 
Kwan wapalestina kuna mtu anawataka, hao hawazaminiki ndomaana misri kafunga mipaka yake wakurdi wanayo haki kudai nchi yao ya Kurdistan
Wapalestina Wapo Dunia nzima just for your information Bara la South America maendeleo makubwa yameletwa na Wapalestina/Lebanon/Syria. Kuna waarabu wa huo Ukanda Takriban milioni 27 south na Latin America kwa Ujumla.

1. EL SALVADOR Raisi wao wa sasa ambaye wengi wanamsifia kwa kuondoa Genge la madawa na ku transform nchi kuwa ya Amani Nayib Bukele ni Mpalestina.

2. Ukienda Mexico Tajiri wa Dunia wa zamani, Mmiliki wa Telenova na michezo mnayoangalia ya Kimexico Carlos slim ni Mlebanon,

3. Aliekua Raisi wa Argentina Carlos Menem ni Msyria

4. Hapo Chille kuna community kubwa vibaya mno ya Wapalestina, walienda kama Machinga tu ila sasa hivi ni katika matajiri wakubwa nchi hio na wao mChango wao ndio umesababisha hio Nchi kuinuka kiuchumi.

5. Kina Shakira Colombia, Safra Brazili na wengine wengi Uruguay na Nchi nyengine hao unaosema hawataki Kani Duniani wamefanya mambo makubwa.

Ila vice versa is true, Hao wayahudi wazungu wenzao Ulaya walikua hawawataki wakaenda Kuwatupa Huko.
 
Hao wa Ulaya ni akina nani? Kwa hiyo mmeamua kuwa hamuwataki kisa waliwahi kuishi Ulaya?
Kuishi Ulaya kulibadilisha asili yao? Au mnadandia kushabikia msiyoyajua?

Wapalstina wenyewe hawajawahi kudai kwamba hao ni wazungu na kwamba hawastahili kuwepo hapo, zaidi story hizo hiwa nazisikia huku kwetu Mwemberadu
Bosi hao ni wazungu sio kwamba ni watu wa middle East walioenda Ulaya bali ni wazungu walio badili dini na kuwa Jews. Tuna sayansi tuna vipimo vya Dna, tuna genetics studies kibao, Ashkenazi jews wana percentage ndogo sana ya Canaanite baadhi as low as 3%. So kuanza kubishana nonsense hapa wakati hadi Ashkenazi wenyewe wasomi wanalikubali hilo ni ujinga.

Maprofessor, madaktari na wasomi wengi wa KI Ashkenazi UNAFKIRI kwanini hawalisuport hilo taifa? Wanaujua ukweli. Hii Speech Tedtalks mtaalam wa Genetics ambaye na yeye mwenyewe ni Ashkenazi jew, Bishana naye haijui Asili yake ila wewe unamjua zaidi


View: https://m.youtube.com/watch?v=-dEL2yhT7Uo

Pia kaangalie Video za Chomsky proffesor mwengine wa KI Ashkenazi same thing anasema


View: https://m.youtube.com/watch?v=bUsXt8TmVfU
 
Wapalestina Wapo Dunia nzima just for your information Bara la South America maendeleo makubwa yameletwa na Wapalestina/Lebanon/Syria. Kuna waarabu wa huo Ukanda Takriban milioni 27 south na Latin America kwa Ujumla.

1. EL SALVADOR Raisi wao wa sasa ambaye wengi wanamsifia kwa kuondoa Genge la madawa na ku transform nchi kuwa ya Amani Nayib Bukele ni Mpalestina.
Wayahudi mnawaita wazungu wa Ulaya kisa tu kuna miongoni mwao walihamia kutoka Ulaya.

Lakini Bukele ambaye yeye na baba yake ambao wote walizaliwa hukohuko Nicaragua wenyewe bado mmewang'ang'ania kuwa ni wapalestina wakati tena huyo Bukele mama yake ni wa Nicaragua hata baba yake ni mzaliwa wa Nicaragua hata Palestina hajawahi kufika. Grand parents wa Bukele ndiyo walitokea Jerusalem na Bethlehem tena ni Christian parestinians
2. Ukienda Mexico Tajiri wa Dunia wa zamani, Mmiliki wa Telenova na michezo mnayoangalia ya Kimexico Carlos slim ni Mlebanon,
Carlos Slim hajawahi kuwa Mlebanon, amezaliwa na kukulia Mexico. Baba yake ndiye alizaliwa Lebanon na akaondoka kule akiwa na miaka 14 akahamia Mexico akiwa mwenyewe bila ya wazazi wala waangalizi.

Sihitaji kuendelea maana naona unayoandika yote ni kupotosha
 
Thats different case, na sidhani kama Sadam na Uturuki ni kitu kimoja. Uturuki ndio waliomsaidia Usa kumpiga Sadam, so kutumia Case ya Sadam kama ndio anachofanya Uturuki si sawa.
Wakurd kwa taarifa yako wako Syria uturuki Iraq na Iran na miaka yote wanapigana ili wapewe nchi yao. Wako mipakan mwa hizo nchi zote kama unavyoona wamasai wa kenya na bongo
 
Wayahudi mnawaita wazungu wa Ulaya kisa tu kuna miongoni mwao walihamia kutoka Ulaya.

Lakini Bukele ambaye yeye na baba yake ambao wote walizaliwa hukohuko Nicaragua wenyewe bado mmewang'ang'ania kuwa ni wapalestina wakati tena huyo Bukele mama yake ni wa Nicaragua hata baba yake ni mzaliwa wa Nicaragua hata Palestina hajawahi kufika. Grand parents wa Bukele ndiyo walitokea Jerusalem na Bethlehem tena ni Christian parestinians
Carlos Slim hajawahi kuwa Mlebanon, amezaliwa na kukulia Mexico. Baba yake ndiye alizaliwa Lebanon na akaondoka kule akiwa na miaka 14 akahamia Mexico akiwa mwenyewe bila ya wazazi wala waangalizi.

Sihitaji kuendelea maana naona unayoandika yote ni kupotosha
Hoja inasema hakuna mtu anaewataka wapalestina so kama mtu kazaliwa south America na Baba yake ndio alizaliwa Lebanon inatetea vipi hio hoja kwamba Watu hawataki wapalestina? Hebu fikiria ulichoandika.
 
Wakurd kwa taarifa yako wako Syria uturuki Iraq na Iran na miaka yote wanapigana ili wapewe nchi yao. Wako mipakan mwa hizo nchi zote kama unavyoona wamasai wa kenya na bongo
Nafahamu still haijamake sense kwenye hoja yako kumtumia Sadam kuvalidate Uturuki ni kama Mimi nitumie Mauaji ya wa Afghanistan yaliyofanywa na Urusi kama ushahidi wa mauaji ya Wa Afghanistan yaliyofanywa na Wamarekani.
 
Hoja inasema hakuna mtu anaewataka wapalestina so kama mtu kazaliwa south America na Baba yake ndio alizaliwa Lebanon inatetea vipi hio hoja kwamba Watu hawataki wapalestina? Hebu fikiria ulichoandika.
Nimetumia hoja yako kujibu hoja zako nyingine, so kwenye ubishani wenu huo mimi simo. Nilichofanya ni kukuonyesha ulivyo na ndimi nyingi, usivyojua unachokitaka wala unachopigania.
 
Kwan wapalestina kuna mtu anawataka, hao hawazaminiki ndomaana misri kafunga mipaka yake wakurdi wanayo haki kudai nchi yao ya Kurdistan
Nani kakwambia Palestina hakuna anayemtaka!?
Kama hakuna anayemtaka kwanini Lebanon wamepokelewa na Hizbollah inawapigania!?
Kwanini Yemeni inawapigania!?
Ni kwasababu wanapigania ardhi yao waliyoporwa.
WAkurdi wanapigania nini!?
Iraq wanaleta fujo za suicide bombs.
Iran wapo kule Boluchistan wanafanya fujo.
Syria wanafanya fujo.
Uturuki wanafanya fujo.

NIKUULIZE KWA AKILI ZAKO TIMAMU WAKURDI NCHI ZOTE HIZO NNE WANAMILIKI ARHDI!???
Akili kisoda kweli wewem
 
Muongo wewe, hamas ndio aliyeanzisha mashambulizi na hiyo ardhi anayoipigania sio ya kwake. Mbona walipewa ardhi nyingine wahamie hapo wakakataa kama shida ni ardhi?
Kijana unapokua haujui kitu ukae kwa kutulia ili ufahamishwe.
Ulifuatilia vikao vya CAIRO PEACE SUMMIT VILIVYOFANYIKA NOVEMBER HADI FEBRUARY MWAKA HUU!?
Hivi ulishajiuliza kwanini mataifa makubwa ya kizungu mathalan SPAIN, BRAZIL,COLOMBIA,BELGIUM n.k n.k walivunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel!?
Hivi ulishajiuliza kwanini wajumbe wa mataifa 124 walipiga kura kuisapoti Palestina katika kikao cha UNGA!??
UMDOGO WA MAMBO MWEUPE KICHWANI WEWE.
Vurugu zilianza pale ambapo IDF ilitoa silaha kwa zionist settlers na kuanza kufanya vurugu Jenin pamoj na Khani Younis.
Pia mahakama ya Israel ilitoa muswada wa upanuzi wa makazi Jenin refugee camp.
Unavunja Jenin refugee camp unataka watu wakaishi wapi!??
Na haya yote yalitokea Agosti na vurugu zilibamba sana Agosti 23.
Oktoba 7 mwaka jana Hamas ndio akafanya malipizi.
Inamaana wewe unajua kuliko wakuu wa mataifa 124 waliopiga kura kwa Palestina dhidi ya Israel mwaka huu!??

Nani kakwambia Palestina pale sio kwao!?
Hivi ulifuatilia hata three UN resolutions for the establishment of Palestine and Jewish state?
Ungekua ni wewe ungekubali uhamishwe toka Tanzania kwenda Zimbabwe uache ardhi ambayo chimbuko lako lilikulia!???
Ukoo wako chimbuko lake Mwanza Nyamagana mnaambiwa mutoke muende Zimbabwe utakubali!??

KIJANA NARUDIA TENA WEWE NI MWEUPE KICHWANI KULIKO KUBISHANA ULIZA UELIMISHWE.
 
Wakurd kwa taarifa yako wako Syria uturuki Iraq na Iran na miaka yote wanapigana ili wapewe nchi yao. Wako mipakan mwa hizo nchi zote kama unavyoona wamasai wa kenya na bongo
Waleta fujo tu.
Unaleta fujo katika nchi zote hizo ili iweje!?
Na watandikwe hadi wapotee kabisa.
 
Nimetumia hoja yako kujibu hoja zako nyingine, so kwenye ubishani wenu huo mimi simo. Nilichofanya ni kukuonyesha ulivyo na ndimi nyingi, usivyojua unachokitaka wala unachopigania.
Kuhusu hao wazungu.

Wakati wanakuja kutokana Ulaya walipokelewa kwa Amani hapo Palestina usisahau
images (51).jpeg

Wakati wanashushwa kwenye Meli hilo bango lao wanawaambia wapalestina Wajerumani wamevunja Familia zetu tafadhali mzivunje matuamaini yetu.

Wapalestina waliwapokea na mpaka Ardhi walinunua, asilimia 6 ya Ardhi ya Wapalestina Ashkenazi walinunua kihalali.

Hilo halikuwatosha walikua na mambo yao wenyewe kisiri siri taratibu wakaanza kupora Ardhi ya Palestina hadi leo.

Je hili ni sawa na wapalestina ambao wapo south America? Sijawahi sikia Wapalestina wa South America waki chukua Ardhi ya wazawa na kuwa toa kwenye nyumba zao, badala yake Vice versa is true na wapalestina wamelisaidia hilo bara toka Bara la Giza kama Africa mpaka kufikia uchumi mkubwa leo hii.

So ni vitu viwili tofauti unavyotaka uvifananishe hali ya kuwa havifananishiki.
 
Back
Top Bottom