Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Moja, hawakwenda sehemu inayoitwa Palestina, walirudi katika nchi yao ya asili na walipokelewa na Wayahudi wenzao waliokuwa wakiishi hapo.

Pili, hao hawakuwahi kuwa wazungu, ndiyo maana wazungu waliwabagua, Huo uzungu wao ni kwa mujibu wenu ninyi.

Nimekuuliza, inakuwaje Wayahudi kutoka Ulaya muwaite wazungu halafu hao akina Carlos Slim na Bukeke mnawang'ang'ania kuwa ni wa middle East ilihali hawakuwahi kuishi huko na babu zao ndiyo ndiyo walitokea huko middle East? Zaidi wamezaliwa na familia ambazo mama zao ni kutoka latin America lakini mnawang'ang'aniza?
Jamaa wanamngangania hadi Steve Jobs ilhali hajawahi kuishi Syria na kalelewa Kikatoliki'
 
Tayari umeshaanza story zenu za vijiweni.
Hata hiyo maana ya Adhkenazi nayo hata hamuijui.
Ashkenazi hao ni descendants wa uzao wa mtu fulani, hiyo haimuondolei, au kumpunguzia Uyahudi wake.
Mtu kuwa Mgogo haimfanyi kuwa yeye ni Mtanzania zaidi ya Mnyakyusa au Mchaga au Mzanzibar.
So far mimi na wewe nani a ongea story za vijiweni? Claim yangu nimekupa source za Ashkenazi wenyewe tena sio tu no name nimekutajia figure kubwa kubwa kama Chomsky ambaye Dunia nzima inamuheshimu kwa elimu yake wewe source yako nini zaidi ya "Trust me bro evidence"?

Na huo mfano uliotoa si sahihi, katika makabila 12 ya Israel Ashkenazi si kabila lolote lile, hawamo ni jews kwa kubadili dini.

Mfano wake ni kama leo Musilamu wa Tanzania aende Egpty akaue wakristo wa Egpty sababu Mama yake Ismail baba wa waarabu alitoka Egpty. Does that make sense?

Palestine ni Nchi ya Levants bila kujali dini zao awe Mkristo, muisilamu ama jews na sio Mtu mwengine ambaye babu na babu yake has nothing to do with palestine ajimilikishe.
 
Special case kivipi kuua askari wa inchi inayo kuunga mkono eti kisa kumsaidia rais muislamu (idd amini) dhidi ya rais mkristo ( Nyerere) bila kujali alikua anawaunga mkono. Waarabu hawafugiki
Hiyo ni special case usiongee kwa ku generalize namna
 
So far mimi na wewe nani a ongea story za vijiweni? Claim yangu nimekupa source za Ashkenazi wenyewe tena sio tu no name nimekutajia figure kubwa kubwa kama Chomsky ambaye Dunia nzima inamuheshimu kwa elimu yake wewe source yako nini zaidi ya "Trust me bro evidence"?

Na huo mfano uliotoa si sahihi, katika makabila 12 ya Israel Ashkenazi si kabila lolote lile, hawamo ni jews kwa kubadili dini.

Mfano wake ni kama leo Musilamu wa Tanzania aende Egpty akaue wakristo wa Egpty sababu Mama yake Ismail baba wa waarabu alitoka Egpty. Does that make sense?

Palestine ni Nchi ya Levants bila kujali dini zao awe Mkristo, muisilamu ama jews na sio Mtu mwengine ambaye babu na babu yake has nothing to do with palestine ajimilikishe.
Ulichotoa ni porojo, huna huna unachokijua, . Hata uyasomayo pia hauyaelewe, ukikiwehuru kichwa chake utaelewa vyote nilicyo commment, na hapo kwenye story za sijui Mkristo wa wapi kwenda kupigania wakristo wa Egypt ndiyo inathibitisha kabisa huna unalojua au unatetea kitu kupitia maandiko ambayo hujayaelewa.
Lainisha akili zako ndiyo itaelewa
 
Ndio maagizo ya pedophile
Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
Yaani hii mislamists bana! Tattoo kama unavyosema mtume wao pedophile mungu wao ndiye yule Shetani!! Hivyo usitegemee any constructive input. Kama kunawatu wakorofi ni Palestine. Mwaka 1970 walileta maasi pale Jordan. Mfalme Hassan wa Jordan akawatumia Wapakistan ambapo waliwafyeka wapalestina wapatao 25,000
Kule Lebanon ni wa Palestine ndiyo walioanzisha vurugu Mara baada ya kukaribishwa kama wakimbizi. Kule Kuwait ni wapalestina ambao waliungana na Sadaam Hussein alipovamia Kuwait 🇰🇼
Hamna nchi ya kiarabu inaowakaribisha wapalestina kama Wakimbizi.
Wakurdi wao ni indigenous katika maeneo hayo ambako wanapigwa mabomu na Turkiye. Wapalestina wakiongozwa na Arafat akisaidiwa na KGB ya Urusi walidandia tu huo utaifa wa Palestine. Ukifuatilia wao ni Waarabu. Arafat na Ismail Haniyeh na Sinwar ni Wamisri. Wa kazi Halisi ni Wayahudi. Waislam walivamia israel mwaka 638 wakiongozwa na Omar ambapo kama ilivyo kawaida yao walitumia Upanga na kufanikiwa hata kuwabadili dini baadhi ya Wayahudi na wakristo. Mfamo Mahamoud Abbas ana shina kwenye Uyahudi, kitu kama hicho kimeonekana kwa baadhi ya wakazi wa Judea & Samaria (West Bank)
 
Wanaua wanawake na watoto ama wanapigana na wanajeshi wanaume
'Scorched Earth Policy' ni moja ya mbinu za Kivita.

A scorched-earth policy is a military strategy of destroying everything that allows an enemy military force to be able to fight a war, including the deprivation and destruction of water, food, humans, animals, plants and any kind of tools and infrastructure.
 
Wakurdi walikua sehemu ya Anatolia ama Persia/Iran.
Jiulize kwanini hadi Iran inawachukia wakurdi!?
Yani wao sio watu wa kukaa sehemu kwa amani.
Ni watu wa fujo kila pahala wanapokaa.
wakurdi ni kabila kama makabila mengine tu, majority of them wamesambaa duniani huko, wapo wengi sana ulaya na america. wanachopigania tangu enzi ni kujitawala, uhuru, wanajiita Kurdistan kama nchi yao, lakini uturuki kwa miaka mingi inapinga icho kitu, hawataki kuwapa uhuru. cha kushukuru, miaka nenda rudi pamoja na uwezo wa kivita, turkey ameshindwa kuwasambaratisha. ni watata na wanampiga uturuki mara nyingi tu. na wakurdi ndio kabila la Ibrahim kama haujui, wamesambaa uturuki, syria, iraq na iran.
 
Ulichotoa ni porojo, huna huna unachokijua, . Hata uyasomayo pia hauyaelewe, ukikiwehuru kichwa chake utaelewa vyote nilicyo commment, na hapo kwenye story za sijui Mkristo wa wapi kwenda kupigania wakristo wa Egypt ndiyo inathibitisha kabisa huna unalojua au unatetea kitu kupitia maandiko ambayo hujayaelewa.
Lainisha akili zako ndiyo itaelewa
So huna source yoyote kutetea maneno yako? Mahaba Niue hadi unabishana na Ashkenaz wenyewe wenye asili yao? Wasalimie sina time ya maneno ya Kanga.
 
wakurdi ni kabila kama makabila mengine tu, majority of them wamesambaa duniani huko, wapo wengi sana ulaya na america. wanachopigania tangu enzi ni kujitawala, uhuru, wanajiita Kurdistan kama nchi yao, lakini uturuki kwa miaka mingi inapinga icho kitu, hawataki kuwapa uhuru. cha kushukuru, miaka nenda rudi pamoja na uwezo wa kivita, turkey ameshindwa kuwasambaratisha. ni watata na wanampiga uturuki mara nyingi tu. na wakurdi ndio kabila la Ibrahim kama haujui, wamesambaa uturuki, syria, iraq na iran.

Hao wakurdi kila eneo wanaleta fujo.
Uturuki wanaleta fujo,Iran,Iraq na Syria pia.
Kote wanaleta fujo,hawa ni watu wa fujo siku zote.
Na mashambulizi yao kuelekea Uturuki wanafanya kutokea Syria.

Uturuki haijawashindwa wakileta fujo wanatandikwa vizuri tu.
Sema huwezi ukasema uwapige uwamalize ni uongo.
Mwanzo wa huu mwaka si Uturuki iliingia Syria na kufanya ground operations na ikawakamata mamia ya wapiganaji wa kikurdi??
Wengine wakakimbia wanapojua wao.
 
Wakurdi walikua sehemu ya Anatolia ama Persia/Iran.
Jiulize kwanini hadi Iran inawachukia wakurdi!?
Yani wao sio watu wa kukaa sehemu kwa amani.
Ni watu wa fujo kila pahala wanapokaa.
Tuna ushahidi wa namna Wapalestina walivyovuruga nchi nyingine kama vile Lebanon, Misri, Jodan etc. Hebu tuambie Wakurdi waliharibu nchi gani ya kigeni?
 
Back
Top Bottom