Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
Hahah. hao palestina ndo hovyo kabisa. imagine pamoja na nyerere ku sympathize nao, wakaenda kupigana upande wa Idd amini kwenye vita ya kagera. waarabu hawafugki kama kunguru
 
Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
Mbona unaanzia agosti Mkuu.Mimi nimezaliwa,nimekuta hao wanapigana.Sasa unasemaje Agosti.Mimi nadhani twende kwenye Historia tuone nani wa kwqnza mkorofi.Maana tunaanzia katikatikati.
 
Watu hawailaani israel kushambulia hamas,wanalaani israel kuua watoto, wanawake,kupiga hospital,shule,kukalia kimabavu ardhi ya palestina,wakurdi ni jamii ambayo imejikuta ipo nchi tatu, Syria, uturuki na iraq,kama wayao walivyo tanzania,malawi na msumbiji,au wamasai tanzania na kenya,wajaluo tanzania na kenya,lakini hawadai nchi yao, wakurdi wao wameikataa mipaka ya kikoloni na kutaka nchi yao,so harakati zao ni mashambulizi kwenye nchi zote tatu
Sisi tunalaani Hamas kujichanganya na wanawake na watoto bila kusonga front kupigana kiume
 
Hao wa Ulaya ni akina nani? Kwa hiyo mmeamua kuwa hamuwataki kisa waliwahi kuishi Ulaya?
Kuishi Ulaya kulibadilisha asili yao? Au mnadandia kushabikia msiyoyajua?

Wapalstina wenyewe hawajawahi kudai kwamba hao ni wazungu na kwamba hawastahili kuwepo hapo, zaidi story hizo hiwa nazisikia huku kwetu Mwemberadu
Shida ilianza pale bwana fulani alipowadanganya wadanganyika kuwa alipaa mbinguni kwa kutumia Buraq.
 
Wapalestina Wapo Dunia nzima just for your information Bara la South America maendeleo makubwa yameletwa na Wapalestina/Lebanon/Syria. Kuna waarabu wa huo Ukanda Takriban milioni 27 south na Latin America kwa Ujumla.

1. EL SALVADOR Raisi wao wa sasa ambaye wengi wanamsifia kwa kuondoa Genge la madawa na ku transform nchi kuwa ya Amani Nayib Bukele ni Mpalestina.

2. Ukienda Mexico Tajiri wa Dunia wa zamani, Mmiliki wa Telenova na michezo mnayoangalia ya Kimexico Carlos slim ni Mlebanon,

3. Aliekua Raisi wa Argentina Carlos Menem ni Msyria

4. Hapo Chille kuna community kubwa vibaya mno ya Wapalestina, walienda kama Machinga tu ila sasa hivi ni katika matajiri wakubwa nchi hio na wao mChango wao ndio umesababisha hio Nchi kuinuka kiuchumi.

5. Kina Shakira Colombia, Safra Brazili na wengine wengi Uruguay na Nchi nyengine hao unaosema hawataki Kani Duniani wamefanya mambo makubwa.

Ila vice versa is true, Hao wayahudi wazungu wenzao Ulaya walikua hawawataki wakaenda Kuwatupa Huko.
Kati ya hao uliowataja kuna muislam?
 
Nani kakwambia Palestina hakuna anayemtaka!?
Kama hakuna anayemtaka kwanini Lebanon wamepokelewa na Hizbollah inawapigania!?
Kwanini Yemeni inawapigania!?
Ni kwasababu wanapigania ardhi yao waliyoporwa.
WAkurdi wanapigania nini!?
Iraq wanaleta fujo za suicide bombs.
Iran wapo kule Boluchistan wanafanya fujo.
Syria wanafanya fujo.
Uturuki wanafanya fujo.

NIKUULIZE KWA AKILI ZAKO TIMAMU WAKURDI NCHI ZOTE HIZO NNE WANAMILIKI ARHDI!???
Akili kisoda kweli wewem
Kama Wakurdi hawana haki ya kumiliki ardhi, kwanini Wapalestina wawe na haki hiyo.
 
Kati ya hao uliowataja kuna muislam?
Wapo ila sina data exactly percentage, Lebanon/Syria/Palestine ndio Nchi za kiarabu zenye wakristo wengi. So majority ya hao ni Wakristo.

Waisilamu wengi wamebaki Palestina na Lebanon kupigana na Israel na wakristo wengi ndio wana Finance hivyo vita kwa kuwasaidia waisilamu.
 
Israel akirudisha mashambulizi kutokana na ugaidi anaofanyiwa mnawaita wauaji.

Ooh, tushaelewa kwa nini. Turkey ni wale wale itikadi kali wenzenu ndio maana mko kimya.
View attachment 3139961
Kuna wana harakati basi? Kuna wahuni na vilaza ambao huwa wanaendeshwa kwa hisia zaidi.huwezi wasikia wakisema anything abt this. Na wengine wanampongeza Mturuki.
 
Yani unafananisha tukio la kurdi na Palestina vs Israel!?
Mkuu siku hizi unapoteza mantiki katika mada zako.
Hao wakurdi hadi Iraq,Iran na Pakistan hawapendwi.
Wakurdi ni jamii ya watu wakorofi kila wanapoenda wanasababisha fujo.
Wanaotega mabomu huko Iraq ni wakurdi.
Ukiwauliza sababu ya kufanya yote hayo hawana majibu.
Hamas unaowaita magaidi sababu kuu ya kuishambulia Israel ni kutetea ardhi yao.
Usisahau kuwa kabla Hamas haijavamia Oktoba 7 aliyeanza ni Israel kuifanyia fujo Gaza na Westbank Agosti.
Mkuu kama hufahamu mambo nyamaza tu.
Hao wakurdi hata Syria haiwataki.
Na kama haujui jeshi la Syria linaunga mkono Uturuki kuwashambulia wakurdi.
Hata wapalestine hawapendwi.ndo maana Egypt imeziba mpaka kwa ukali sana

Screenshot_2024-10-28-21-20-05-599_com.twitter.android~2.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-28-21-20-05-599_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-28-21-20-05-599_com.twitter.android.jpg
    323.6 KB · Views: 2
Kuhusu hao wazungu.

Wakati wanakuja kutokana Ulaya walipokelewa kwa Amani hapo Palestina usisahau
View attachment 3140387
Wakati wanashushwa kwenye Meli hilo bango lao wanawaambia wapalestina Wajerumani wamevunja Familia zetu tafadhali mzivunje matuamaini yetu.

Wapalestina waliwapokea na mpaka Ardhi walinunua, asilimia 6 ya Ardhi ya Wapalestina Ashkenazi walinunua kihalali.

Hilo halikuwatosha walikua na mambo yao wenyewe kisiri siri taratibu wakaanza kupora Ardhi ya Palestina hadi leo.

Je hili ni sawa na wapalestina ambao wapo south America? Sijawahi sikia Wapalestina wa South America waki chukua Ardhi ya wazawa na kuwa toa kwenye nyumba zao, badala yake Vice versa is true na wapalestina wamelisaidia hilo bara toka Bara la Giza kama Africa mpaka kufikia uchumi mkubwa leo hii.

So ni vitu viwili tofauti unavyotaka uvifananishe hali ya kuwa havifananishiki.
Moja, hawakwenda sehemu inayoitwa Palestina, walirudi katika nchi yao ya asili na walipokelewa na Wayahudi wenzao waliokuwa wakiishi hapo.

Pili, hao hawakuwahi kuwa wazungu, ndiyo maana wazungu waliwabagua, Huo uzungu wao ni kwa mujibu wenu ninyi.

Nimekuuliza, inakuwaje Wayahudi kutoka Ulaya muwaite wazungu halafu hao akina Carlos Slim na Bukeke mnawang'ang'ania kuwa ni wa middle East ilihali hawakuwahi kuishi huko na babu zao ndiyo ndiyo walitokea huko middle East? Zaidi wamezaliwa na familia ambazo mama zao ni kutoka latin America lakini mnawang'ang'aniza kuwa ni wapalestina, Lebanon na Wasyria?
 
Hahah. hao palestina ndo hovyo kabisa. imagine pamoja na nyerere ku sympathize nao, wakaenda kupigana upande wa Idd amini kwenye vita ya kagera. waarabu hawafugki kama kunguru
Hiyo ni special case usiongee kwa ku generalize namna hiyo.
 
Kama Wakurdi hawana haki ya kumiliki ardhi, kwanini Wapalestina wawe na haki hiyo.
Ni wapi ambapo nimesema Kurdi hawana haki ya kumiliki ardhi!?
Je mzozo wa kurdi na Palestina unafanana!?
Palestina iliwahi kuwepo hivyo inapigania ardhi yake.
Kurdi lilikua miongoni mwa makabila ndani ya Anatolia.
Kwanini makabila mengine yakubali kuwa chini ya tawala zao wao kurdi pekee ndio wakatae kaka!?
Basi sawa pambaneni sehemu moja mjulikane mnapigania nini IRAQ,IRAN,SYRIA NA UTURUKI kote wanaleta machafuko.
Au hizo nchi nne zote ni ardhi zao!??
 
Moja, hawakwenda sehemu inayoitwa Palestina, walirudi katika nchi yao ya asili na walipokelewa na Wayahudi wenzao waliokuwa wakiishi hapo.

Pili, hao hawakuwahi kuwa wazungu, ndiyo maana wazungu waliwabagua, Huo uzungu wao ni kwa mujibu wenu ninyi.

Nimekuuliza, inakuwaje Wayahudi kutoka Ulaya muwaite wazungu halafu hao akina Carlos Slim na Bukeke mnawang'ang'ania kuwa ni wa middle East ilihali hawakuwahi kuishi huko na babu zao ndiyo ndiyo walitokea huko middle East? Zaidi wamezaliwa na familia ambazo mama zao ni kutoka latin America lakini mnawang'ang'aniza?
Carlos slim ukimpima Dna yake hapo ni levantine 100% ila Ashkenazi sio.

Hivi vitu vipo proved na sayansi, kwanini niseme Ashkenazi na sio Mizrahi ama sepharadic jews? Nimekuwekea video kibao kuna studies kibao mpaka Havard zipo hili sio jambo la kufikiria ni proved kabisa.

Na pia wamepokelewa na Wapalestina, Ashkenazi walivyokuja mwanzo kabisa walienda Vijijini hii Ramani ikionesha kabla ya 1948 walikua wapi
images (52).jpeg

Wayahudi wa Palestina wana Dini sio Atheist kama Ashkenazi, so wao walikua wakiishi kwenye Holy sites kama Jerusalem, Ashkenazi ni settlers kama settler wengine unaowaona Africa sehemu kama Zimbabwe, wao wanapora ardhi, wanalima etc.
 
Mbona unaanzia agosti Mkuu.Mimi nimezaliwa,nimekuta hao wanapigana.Sasa unasemaje Agosti.Mimi nadhani twende kwenye Historia tuone nani wa kwqnza mkorofi.Maana tunaanzia katikatikati.
Nimeanzia Agosti kwa kulenga mzozo wa Oktoba 7 2023.
Ila kama unataka kuanzia way back basi tuanzie 1917 ambapo Palestina ilikua chini ya Great britain.
Toka mwaka huo wayahudi walilazimisha kuunda taifa hapo mid east na mtu wa kwanza kuwapinga na kuwakatalia ni Great britain.
Alikuja kukubali 1947 kwa msukumo wa kidiplomasia na USA na mapinduzi waliyojaribu wayahudi 1946 kupindua Mandatory government of British in Palestine.
1948 resolution ya kwanza ilipoundwa wao walikua wakwanza kutambuliwa kama taifa ila Palestina ilikataa resolution ya kwanza haikuwaridhisha.
Na hiyo resolution ni Israel kupata 54% ya ardhi na Palestina kupata 43% na 3% iwe internationally governed ambayo ni Jerusalem.
Waarabu wakihangaika na resolution nyingine Israel ilianza kupanua makazi kwa bunduki.
Nani hapo utasema ni mkorofi!?
PLO nao walipoanza kujibu kwa silaha wakatangazwa magaidi.
Haijapatikana suluhu ridhishi kwanini Israel ianze kupanua makazi kwa jeshi!?

Kama kuna elimu tofauti tujuze mkuu.
 
Carlos slim ukimpima Dna yake hapo ni levantine 100% ila Ashkenazi sio.

Hivi vitu vipo proved na sayansi, kwanini niseme Ashkenazi na sio Mizrahi ama sepharadic jews? Nimekuwekea video kibao kuna studies kibao mpaka Havard zipo hili sio jambo la kufikiria ni proved kabisa.

Na pia wamepokelewa na Wapalestina, Ashkenazi walivyokuja mwanzo kabisa walienda Vijijini hii Ramani ikionesha kabla ya 1948 walikua wapiView attachment 3140479
Wayahudi wa Palestina wana Dini sio Atheist kama Ashkenazi, so wao walikua wakiishi kwenye Holy sites kama Jerusalem, Ashkenazi ni settlers kama settler wengine unaowaona Africa sehemu kama Zimbabwe, wao wanapora ardhi, wanalima etc.
Tayari umeshaanza story zenu za vijiweni.
Hata hiyo maana ya Adhkenazi nayo hata hamuijui.
Ashkenazi hao ni descendants wa uzao wa mtu fulani, hiyo haimuondolei, au kumpunguzia Uyahudi wake.
Mtu kuwa Mgogo haimfanyi kuwa yeye ni Mtanzania zaidi ya Mnyakyusa au Mchaga au Mzanzibar.
 
Nafahamu still haijamake sense kwenye hoja yako kumtumia Sadam kuvalidate Uturuki ni kama Mimi nitumie Mauaji ya wa Afghanistan yaliyofanywa na Urusi kama ushahidi wa mauaji ya Wa Afghanistan yaliyofanywa na Wamarekani.
Nachosema waturuki waliopo Uturuki Syria iraq au Iran lao moja
 
Back
Top Bottom