Hahaha kwenye conventional warfare without western interventional israel hana muda anashindwa mapema kabisa ila with western support atasurvive hio ni factAtapigwa kama ngoma,maana kule Kuna watu hatarii sana,achana na kina cholak wanajua kufuga ndevu2 kujificha kwenye mapagale,kule watu wanakuja sebuleni kwako wanafanya Yao then wanayeyuka kama moshii,nakala anayo ayatollah
Toka lini waajemi wakawa waoga sako lao Israel analijua ndio maana analia kuomba msaada kwa mabwana zakeManowari ya Kivita ya US imetia nanga Mediterranean Ayatolah na Magaidi yake Uharo Debe.
Hahahah!! Sure mkuu maana kule ukisema umtume atersi au kopuk zitarudi taarifa2 kuwa agent wao kukutwa hana kichwa mtaroniHahaha kwenye conventional warfare without western interventional israel hana muda anashindwa mapema kabisa ila with western support atasurvive hio ni fact
anaongoza mazungumzo yap wakati alipewa ofa ya kuachia mateka kisha mamvo yaishie hapo ila alifanya hivyo ? waislam ni kizaz cha shetani , mnaamin ktk ukorofi na sio amani , mtateseka sana kwa akili hzIsrahell meza ya duara haelewi israhell anaelewa vita tu
FM wa turkey kaliweka wazi hili baada ya kifo cha haniye
Alokua anaongoza mazungumzo wamemfyeka wanataka mazungumzo hawa?
Narudia kukwambia Cyprus ipo chini ya Uturuki.Unatia aibu,nenda kajifunze na kusoma historia ya Cyprus, Greece na Turkey.
Hakuna anayedhibiti Gaza kwasababu mapambano bado yanaendelea na Hamas bado wanashambulia pia.Gaza inathibitiwa na nani kwasasa?
Vita siku zote lazima uwe na mbinu, mbona kule ulaya alitumika ukraineWajanja sana, wanakuletea vifaa ukapiganie kwako...
kwan huo utawala uliiangiaj madarakan ? au uliwapigia kura ?mwaka 1979Mkuu Iran kama kufanyika uasi ungefanyika siku nyingi.
Iran problems will be solved by Iranians themselves not by external interference.
Raia wa Iran wala hawaichukii serikali yao bali wamechoka na uchumi uliodorora.
Ndio maana hata uchaguzi wa awamu hii raia walikua wakisema wanatamani rais atakayewakwamua katika economic sanctions.
Ila Iran raia wanajielewa,unadhani hawajui kilichotokea Libya mkuu?
Matatizo yao watatatua wenyewe ila sio kwa kuingiliwa na Watu wa nje,hilo wameshalikataa muda.
Hapo studio!?Hizi picha za studio na selfie,leta picha za Hamas wakiwa wamevaa magwanda wakiwa uwanja wa vita.
Utampiga vipi mtu kajaza nuclear? Iran inabidi aende kwa tahadhari.Watu wa eneo la mashariki ya kati ma unafiq hawawezekani
Iran kama anataka kuingia vitani ajiandae kisaikolojia kwakuwategemea hao kina Turkey hatoboi
Aombe kama ataingia vitani na israhell ili kupata msaada ni wananchi kuingia road dhidi ya sirikali zao
Au akiingia aingie mazina mazima ila acha tuone
Naunga mkono maneno ya med kwamba ME ili kuwe na amani lazima kuwe na full war na hio israhell apigwe mpaka achakae ndio amani itapatikanika
Wakati ya Iran ikiwa kwenye development, Israel kaficha mabomu ya nuclear maeneo mbalimbali.Akishambuli nuclear ya Irani na nuclear yake haitawachwa salama. Itakuwa jino kwa jino
Kwani mwezi april alipigwaje?Utampiga vipi mtu kajaza nuclear? Iran inabidi aende kwa tahadhari.
Eiwaaaah!kwan huo utawala uliiangiaj madarakan ? au uliwapigia kura ?mwaka 1979
huku waislam wakishirikian ncho ngap ? na unataka Israel abakie pekee yake , hv una akili kwel mkuu ? yaan Israel abakie pekee yake ila nyiny wavaa kobaz muunganeHahaha kwenye conventional warfare without western interventional israel hana muda anashindwa mapema kabisa ila with western support atasurvive hio ni fact
Rejea hoja ya huyo niliemjibu.Kwani mwezi april alipigwaje?
ndo unaambiwa hapo wenye hawautaki huo utawala , ina maana likitokea la kutokea inaeza kuwa fursa kwa wenye nchi , sijui unabisha kitu gan badoEiwaaaah!
Sasa hapo umekuja penyewe,1979 kina Ruhollah Khomeini walipompindua Mohammed Shah Pahlavi walimpindua kwa internal influence sio kwa external interference.
Inamaana hata mwana mapinduzi mwingine akitokea basi ni kwa internal influence sio kwa external interference.
Kitu ambacho kinapingwa hapa ni uasi kuchochewa na ugeni ama wageni.
Kwani kwenye ile vita yenu ya mchongo mnayoambiwa chachi ya six day war aliungana nanani?huku waislam wakishirikian ncho ngap ? na unataka Israel abakie pekee yake , hv una akili kwel mkuu ? yaan Israel abakie pekee yake ila nyiny wavaa kobaz muungane
Possibility ni ndogo kwasababu itakapotokea vita nchi itasimama kama kitu kimoja ili kuliokoa taifa kwanza.ndo unaambiwa hapo wenye hawautaki huo utawala , ina maana likitokea la kutokea inaeza kuwa fursa kwa wenye nchi , sijui unabisha kitu gan bado