Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Uzi una picha.

Nimesikitika sana kitendo cha Waafrika wenzetu tuliowapambania kipindi cha kumtoa mkoloni Leo hii wanauza vidole vyao vya mguu kwa wazungu tena kwa bei nafuu ya USD 7000 mpaka 10000.

Dole gumba ni $7000
Kidole cha Kati cha mguu ni $9000
Nakidole kidogo cha mguu ni $10000.

Swali langu ni kuwa kwani hawa wazungu haya mavidole wanapeleka wapi? Kwanini wasiwakate huko kwao mpaka waje kwetu Afrika lakini. Au ndokulipiza hasira kwa alichowafanyia Mugabe Gabriel kuwapora Ardhi. Yani Kuna mambo Waafrika tunakuwa treated kama Mavi vile maana ukienda Dubai Dada zetu wanalishwa kinyesi ukija Africa tunakatwa vidole sasa sijui nini Kosa letu mpaka watufanyie hivi.

Yani kwa siku wazimbabwe zaidi ya buku tatu wanakatwa vidole vya mguu sasa hawa wazungu haya mavidole wanapeleka wapi. Serikali iingilie Kati maana Kuna watu watataka wauze vyote.

View attachment 2248380View attachment 2248381
vinapelekwa kwa wahanga wa majeruhi huko vitani ukraine
 
Toka habari za kukatwa vidole zimbabwe zimeanza kusambaa kumekuwa na habari tofauti.Mf youtube kuna vijana mmoja anasema kabla ya kukatwa alipakwa dawa ya ganzi na amelipwa na anaishi na mke,mwingine anasema alikatwa kavu kavu akapewa gari akauza huko zimbabwe na muda wa kuishi baada ya kukatwa ni mwaka mmoja na marufuku kuish na mke mana vidole vimeingizwa ktk mtandao wa ushirikina,mwingine anasema hajalipa.Je mnaofahamu au wenye ndg zimbabwe ukweli upoje?
 
Back
Top Bottom