Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

dah nna videos jamaa kala range mwengine kapewa ford ranger
 
vinapelekwa kwa wahanga wa majeruhi huko vitani ukraine
 
Toka habari za kukatwa vidole zimbabwe zimeanza kusambaa kumekuwa na habari tofauti.Mf youtube kuna vijana mmoja anasema kabla ya kukatwa alipakwa dawa ya ganzi na amelipwa na anaishi na mke,mwingine anasema alikatwa kavu kavu akapewa gari akauza huko zimbabwe na muda wa kuishi baada ya kukatwa ni mwaka mmoja na marufuku kuish na mke mana vidole vimeingizwa ktk mtandao wa ushirikina,mwingine anasema hajalipa.Je mnaofahamu au wenye ndg zimbabwe ukweli upoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…