Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Hilo ndilo swali la kujiuliza
Ninahisi ni Mahitaji ya Ushirikiana, wao wanakuja tu na gari au USD wanamkabidhi mteja na kuchukua kidole,sidhani Kama wametoa sababu wanavipeleka wapi
 
Uzi una picha.

Nimesikitika sana kitendo cha Waafrika wenzetu tuliowapambania kipindi cha kumtoa mkoloni Leo hii wanauza vidole vyao vya mguu kwa wazungu tena kwa bei nafuu ya USD 7000 mpaka 10000.

Dole gumba ni $7000
Kidole cha Kati cha mguu ni $9000
Nakidole kidogo cha mguu ni $10000.

Swali langu ni kuwa kwani hawa wazungu haya mavidole wanapeleka wapi? Kwanini wasiwakate huko kwao mpaka waje kwetu Afrika lakini. Au ndokulipiza hasira kwa alichowafanyia Mugabe Gabriel kuwapora Ardhi. Yani Kuna mambo Waafrika tunakuwa treated kama Mavi vile maana ukienda Dubai Dada zetu wanalishwa kinyesi ukija Africa tunakatwa vidole sasa sijui nini Kosa letu mpaka watufanyie hivi.

Yani kwa siku wazimbabwe zaidi ya buku tatu wanakatwa vidole vya mguu sasa hawa wazungu haya mavidole wanapeleka wapi. Serikali iingilie Kati maana Kuna watu watataka wauze vyote.

images%20(62).jpg
Screenshot_20220602-083504_1.jpg
 
Tatizo pia umaskini wetu waafrica ndio unaochangia sana mpaka hao wazungu wanatuona kama sisi hatustaili kuishi dunia hii,dollar elfu 7 kwa pesa ya kibongo ni sawa na milioni 16,kwa mtu akisikia ivyo kwake ni fursa kubwa sana
 
Back
Top Bottom