Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Maskini, watu wana dhambi sana, hivi si kosa la jinai kweli? Anaenda kufanyia nini? Serikali yao inachukuliaje hilo?
 
Kwa pesa ya madafu kidole kidogo nakula 23,000,000 +! Hii ikija bongo watu tuishiwa vidole.

Ukikata kidogo na kubwa lao unakula kiiunua mgongo cha mstaafu mwandamizi kwa kikotoo cha zamani- sh. 39,609,375
 
Hatari sana, na za kuambiwa changanya na za kwako...
 
Uongozi mbovu ndio chanzo cha hayo yote
 
Wakifika bongo mnistue maana huenda ikawa fulsa yakujikwamua
 
Sijawahi kuwapenda wazungu,Wana mambo ya hovyo sana nyuma ya pazia.

Mzungu wa wapi huyo anaenunua dole?
Umejiridhisha kabisa kuwa wananunua?
Mbona kutwa tunaenda ma hospitali yao na hawatufyeki mavidole haya

Natamani nijue ni wazungu gani hao
Hao ni waafrika wanaonunua kwa shirk zao na bado masikini tu
 
Back
Top Bottom