Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Mfumo wa kusearch viwanja ni mbovu kabisa na haupo responsive. Ukisearch kwenye taus hauoni kitu wala aina ya kiwanja.
Ila viwanja kwenye mfumo wa tausi vinanunuliwa kwa kasi ya RADI 🤣🤣
Viwanja viko bei ya juu mno na bado watu wananunua kwa kasi ya RADI 🤣🤣
Ila viwanja kwenye mfumo wa tausi vinanunuliwa kwa kasi ya RADI 🤣🤣
Viwanja viko bei ya juu mno na bado watu wananunua kwa kasi ya RADI 🤣🤣