Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Acha mawazo ya kidikteta.Gwajima AFUKUZWE CCM....
Wala GWAJIMA hajawahi kuwa na ITIKADI YA CHAMA CHETU.....
MSHENGA huyu ndiye ALIYEMPELEKA LOWASSA CHADEMA kuwa mgombea wa URAIS kwa "kuzoza" na mh.Mbowe.......
Gwajima akiachwa ndani ya CCM atakuja Kusababisha MTAFARUKU MKUBWA......mtakuja tu kuuona panapo uhai!!!!!
#GwajimaAfukuzweCCM
#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaSocialistParty
Nawe umelipwa kutetea chanjo?Una hofu gani akisema ukweli?Komredi kwani WAZIRI MWENYE DHAMANA akiongea jambo zito la kuleta mtafaruku ndani ya jamii akiwa ndani ya nyumba ya IBADA linachukuliwa kiwepesi.......
Jambo hili si la KISIASA.....
Kama angeamua kulipinga tu kwa hoja zinazoeleweka na kutotoa LAANA YA KUFA MADAKTARI wetu ningemuelewa vyema tu kwani kila mtu ana Uhuru wa kutoa maoni.....
Mh.Gwajima amekwenda mbali mno kwa kusema "waliofanikisha hii chanjo wamenunuliwa na kuhongwa na mabeberu"....
These are serious ALLEGATIONS.....
It's time for him to be taken to the party's AD HOC committee to prove it the allegations.....
#KaziIendelee
#NchiKwanza
#TujiandaeNaChanjo
Asante sanaAlikuwa mwenyekiti uvccm iringa,Magu akamteua kuwa mkuu wa Wilaya Arusha July mwaka Jana,mama akamteua kuwa mkuu wa Wilaya iramba,ndani ya siku chache akafanya mabadiliko na kumuweka kuwa katibu uvccm taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sanaNdiyo yeye mwenyewe,fedhuli sana huyu mla mbwa
Dodoma. Umoja wa Vijana wa CCM ( UVCCM) umekitaka chama chao kumchukulia hatua Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kwa kitendo chake cha kuhamasisha watanzania wakatae chanjo ya Uviko-19.
Katibu Mkuu wa UVCCM, Kenani Kihongosi ameyasema hayo leo Jumanne Julai 28 2021 mara baada kumalizika kwa kikao cha sektarieti ya UVCCM.
Amesema mbunge huyo ametoa maneno ya kichochezi na kwamba yanakwenda kuwagawa wananchi kwa sababu Rais Samia Suluhu Hassan ameshatoa msimamo kwa wananchi wapate chanjo.
“Sisi umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi kauli zile tunazipinga na kuzilaani kwa sababu utaratibu wa CCM kama mbunge ana jambo lake anapeleka kwenye party cocus (kamati ya wabunge wa chama),”amesema.
Amesema utaratibu alioutumia mbunge huyo wakwenda kutoa maneno hayo kwa umma, kwamba mtu atakayediriki kuwaambia watu wachanjwe atakufa ni utovu wa kinidhamu.
“Lazima atambue yeye sio Mungu anayetoa uhai ni Mungu. Tunakiomba chama chetu viongozi wa namna hiyo aachukuliwe hatua kali za kinidhamu na ajieleze kwanini anaongea maneno ya namna hiyo,”amesema
Source: Mwananchi
Mpigeni risasi tu, mbona kwa Tundu Lissu mliweza?Gwajima AFUKUZWE CCM....
Wala GWAJIMA hajawahi kuwa na ITIKADI YA CHAMA CHETU.....
MSHENGA huyu ndiye ALIYEMPELEKA LOWASSA CHADEMA kuwa mgombea wa URAIS kwa "kuzoza" na mh.Mbowe.......
Gwajima akiachwa ndani ya CCM atakuja Kusababisha MTAFARUKU MKUBWA......mtakuja tu kuuona panapo uhai!!!!!
#GwajimaAfukuzweCCM
#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaSocialistParty
😲😲😲😲😲Mpigeni risasi tu, mbona kwa Tundu Lissu mliweza?
Hana body languageHivi waliruhusuje mcheza pono kuwa kiongozi tena kupitia Chama chao???
Yule mshenzi wanatakiw wamuondoe haraka sana.
sawa kabisa.na huyu je?"Askofu Gwajima anahamasisha Wananchi wasiende kuchanjwa, ni utovu wa nidhamu kwa Serikali na kwa CCM, sisi Vijana wa CCM tunalaani vikali kauli zile na tunakiomba Chama Viongozi wa namna hiyo wachukuliwe hatua kali" :- Kenani Kihongosi, Katibu Mkuu UVCCM
Hahahahahahaha maana yake ni maccm kwa maccm. Mwenyewe kwa mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23] watoto wadogo hili neno huwa linawasumbua kutamka mwanzoni badala ya kutamka mwenyewe hutamka menyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
CCM isiwe kigeugeu miezi mitatu nyuma kwa umoja wao kupitia aliyekuwa mwenyekiti wao walikataa chanjo kwa hiyo Gwajima yuko sahii kwa sababu huo ndio ulikuwa msimamo wa chama chao"Askofu Gwajima anahamasisha Wananchi wasiende kuchanjwa, ni utovu wa nidhamu kwa Serikali na kwa CCM, sisi Vijana wa CCM tunalaani vikali kauli zile na tunakiomba Chama Viongozi wa namna hiyo wachukuliwe hatua kali" :- Kenani Kihongosi, Katibu Mkuu UVCCM
😂😂😂😂😂nimecheka jamani!Kumpoteza chamani mtapata hasara kubwa sana.
Mlimnunua kwa gharama ya rushwa ya kupora jimbo kwa nguvu. Kura zikatapakaa ktk hili jimbo kwenye mabegi halafu mumpoteze hivi hivi hapana!
Gwajima ni mtu wa kubadilika badilika na uzuri haoni hata aibu. Leo ni wa baridi kesho ni wa moto, jumapili yuko mimbarani akihubiri injili, jumatatu yuko kwenye kikao cha ndani cha kupanga wizi wa kura nk.
Ati apeleke malalamiko kwenye vikao vya ndani? Hawezi yule kuna siku ataamka amtukane mwenyekiti matusi ya nguoni kama alivyofanya kwa kadinali Pengo.
Hakuna namna kaeni nae hivyo hivyo tu!!
Mama kaona isiwe shida,leteni mchanjo wenu kikubwa uhai wangu ubaki😂😂😂😂😂