#COVID19 UVCCM: CCM imchukulie hatua Askofu Gwajima kwa kuhamasisha Watanzania kukataa chanjo ya Uviko-19
MH.GWAJIMA NA TUHUMA NZITO MNO......

Ukimsikiliza vyema katika ile CLIP yake kuna sehemu amerudia mara mbili kumtaja Hayati JPM...."kuwa ni kwanini Sasa chanjo ije baada ya JPM kuaga dunia....alipoaga dunia tu,chanjo zimekuja".....

Kauli hii ni ya hovyo kupindukia.....

Anataka AMCHAFUE RAIS SSH kwa "kumdogosha na kumfanya mwepesi kiuongozi" kwa kuwa HAYATI JPM ameacha LEGACY ya misimamo ISIYOYUMBA.....

MANENO HAYA NI MANENO MABOVU MNO KUTOLEWA NA MBUNGE TU DHIDI YA AMIRI JESHI WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA

#GwajimaAfukuzweCCM
#KaziIendelee
#TujiandaeKuchanjwa
#JMTMilele
 
VIJANA IMARA CHAMA CHA MAPINDUZI IMARA.....

Kongole kwa kiongozi wetu mh.Kihongosi....hakika amedhihirisha UMAKINI WA TAASISI AIONGOZAYO......

Ninaunga mkono HOJA.....

Mh.Gwajima si DAKTARI WA BINADAMU wala mtaalamu wa afya na chanjo......

Mh.Gwajima anatambaa tu na "conspiracy theories" kudai kuwa hizi chanjo HAZITUFAI....

Nikiwa Kama kijana wa CCM nimeumizwa Sana na kauli zake za hovyo KUWALAANI VIFO MADAKTARI wetu na kuwatisha kuwatoa uhai KIMAOMBI....

Mh.Waziri wa afya Dr.Dorothy Gwajima ni DAKTARI kitaaluma na AMEOMBEWA KIFO na askofu Gwajima......

Katibu mkuu wa wizara ya afya Mh.Dr.Makubi ni DAKTARI kitaaluma na AMEOMBEWA KIFO na askofu Gwajima.....

Dr.Kigwangallah ni DAKTARI kitaaluma na AMEOMBEWA KIFO na askofu Gwajima.....

Na madaktari wote watakaohamasisha CHANJO nao wameombewa KIFO na Askofu Gwajima......

Ingalikuwa GWAJIMA anaongea ana kwa ana na YEHOVA YAHWEH naye kumjibu maombi yake basi TAIFA HILI LINGEPIGWA "dafrau" la kuwapoteza MADAKTARI WAKE WALIO NA VIAPO vya kututibu watanzania.......

INASHANGAZA
INASIKITISHA

#GwajimaAfukuzweCCM
#KaziIendelee
#NchiKwanza
#TujiandaeNaChanjo
#JMTMilele
 
Huyo Kihongosi na wenzake wanalinda na kutetea matumbo yao.Wajibu hoja za Gwaji badala ya kutoa vitisho.
 
Gwajima AFUKUZWE CCM....

Wala GWAJIMA hajawahi kuwa na ITIKADI YA CHAMA CHETU.....

MSHENGA huyu ndiye ALIYEMPELEKA LOWASSA CHADEMA kuwa mgombea wa URAIS kwa "kuzoza" na mh.Mbowe.......

Gwajima akiachwa ndani ya CCM atakuja Kusababisha MTAFARUKU MKUBWA......mtakuja tu kuuona panapo uhai!!!!!

#GwajimaAfukuzweCCM
#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaSocialistParty
Acha mawazo ya kidikteta.
 
Komredi kwani WAZIRI MWENYE DHAMANA akiongea jambo zito la kuleta mtafaruku ndani ya jamii akiwa ndani ya nyumba ya IBADA linachukuliwa kiwepesi.......

Jambo hili si la KISIASA.....

Kama angeamua kulipinga tu kwa hoja zinazoeleweka na kutotoa LAANA YA KUFA MADAKTARI wetu ningemuelewa vyema tu kwani kila mtu ana Uhuru wa kutoa maoni.....

Mh.Gwajima amekwenda mbali mno kwa kusema "waliofanikisha hii chanjo wamenunuliwa na kuhongwa na mabeberu"....

These are serious ALLEGATIONS.....

It's time for him to be taken to the party's AD HOC committee to prove it the allegations.....

#KaziIendelee
#NchiKwanza
#TujiandaeNaChanjo
Nawe umelipwa kutetea chanjo?Una hofu gani akisema ukweli?
 
Dodoma. Umoja wa Vijana wa CCM ( UVCCM) umekitaka chama chao kumchukulia hatua Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kwa kitendo chake cha kuhamasisha watanzania wakatae chanjo ya Uviko-19.

Katibu Mkuu wa UVCCM, Kenani Kihongosi ameyasema hayo leo Jumanne Julai 28 2021 mara baada kumalizika kwa kikao cha sektarieti ya UVCCM.

Amesema mbunge huyo ametoa maneno ya kichochezi na kwamba yanakwenda kuwagawa wananchi kwa sababu Rais Samia Suluhu Hassan ameshatoa msimamo kwa wananchi wapate chanjo.

“Sisi umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi kauli zile tunazipinga na kuzilaani kwa sababu utaratibu wa CCM kama mbunge ana jambo lake anapeleka kwenye party cocus (kamati ya wabunge wa chama),”amesema.

Amesema utaratibu alioutumia mbunge huyo wakwenda kutoa maneno hayo kwa umma, kwamba mtu atakayediriki kuwaambia watu wachanjwe atakufa ni utovu wa kinidhamu.

“Lazima atambue yeye sio Mungu anayetoa uhai ni Mungu. Tunakiomba chama chetu viongozi wa namna hiyo aachukuliwe hatua kali za kinidhamu na ajieleze kwanini anaongea maneno ya namna hiyo,”amesema

Source: Mwananchi
IMG-20210727-WA0074.jpg
 
Gwajima AFUKUZWE CCM....

Wala GWAJIMA hajawahi kuwa na ITIKADI YA CHAMA CHETU.....

MSHENGA huyu ndiye ALIYEMPELEKA LOWASSA CHADEMA kuwa mgombea wa URAIS kwa "kuzoza" na mh.Mbowe.......

Gwajima akiachwa ndani ya CCM atakuja Kusababisha MTAFARUKU MKUBWA......mtakuja tu kuuona panapo uhai!!!!!

#GwajimaAfukuzweCCM
#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaSocialistParty
Mpigeni risasi tu, mbona kwa Tundu Lissu mliweza?
 
"Askofu Gwajima anahamasisha Wananchi wasiende kuchanjwa, ni utovu wa nidhamu kwa Serikali na kwa CCM, sisi Vijana wa CCM tunalaani vikali kauli zile na tunakiomba Chama Viongozi wa namna hiyo wachukuliwe hatua kali" :-

Kenani Kihongosi, Katibu Mkuu UVCCM
 
"Askofu Gwajima anahamasisha Wananchi wasiende kuchanjwa, ni utovu wa nidhamu kwa Serikali na kwa CCM, sisi Vijana wa CCM tunalaani vikali kauli zile na tunakiomba Chama Viongozi wa namna hiyo wachukuliwe hatua kali" :- Kenani Kihongosi, Katibu Mkuu UVCCM
 
"Askofu Gwajima anahamasisha Wananchi wasiende kuchanjwa, ni utovu wa nidhamu kwa Serikali na kwa CCM, sisi Vijana wa CCM tunalaani vikali kauli zile na tunakiomba Chama Viongozi wa namna hiyo wachukuliwe hatua kali" :- Kenani Kihongosi, Katibu Mkuu UVCCM
sawa kabisa.na huyu je?

 
Hahahahahahaha maana yake ni maccm kwa maccm. Mwenyewe kwa mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23] watoto wadogo hili neno huwa linawasumbua kutamka mwanzoni badala ya kutamka mwenyewe hutamka menyewe [emoji23][emoji23][emoji23]

Sio watoto wadogo tu, wahindi pia hulitamka vizuri sana…. atajua menyewe.
 
"Askofu Gwajima anahamasisha Wananchi wasiende kuchanjwa, ni utovu wa nidhamu kwa Serikali na kwa CCM, sisi Vijana wa CCM tunalaani vikali kauli zile na tunakiomba Chama Viongozi wa namna hiyo wachukuliwe hatua kali" :- Kenani Kihongosi, Katibu Mkuu UVCCM
CCM isiwe kigeugeu miezi mitatu nyuma kwa umoja wao kupitia aliyekuwa mwenyekiti wao walikataa chanjo kwa hiyo Gwajima yuko sahii kwa sababu huo ndio ulikuwa msimamo wa chama chao

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kumpoteza chamani mtapata hasara kubwa sana.

Mlimnunua kwa gharama ya rushwa ya kupora jimbo kwa nguvu. Kura zikatapakaa ktk hili jimbo kwenye mabegi halafu mumpoteze hivi hivi hapana!

Gwajima ni mtu wa kubadilika badilika na uzuri haoni hata aibu. Leo ni wa baridi kesho ni wa moto, jumapili yuko mimbarani akihubiri injili, jumatatu yuko kwenye kikao cha ndani cha kupanga wizi wa kura nk.

Ati apeleke malalamiko kwenye vikao vya ndani? Hawezi yule kuna siku ataamka amtukane mwenyekiti matusi ya nguoni kama alivyofanya kwa kadinali Pengo.

Hakuna namna kaeni nae hivyo hivyo tu!!
😂😂😂😂😂nimecheka jamani!
Hapo jumapili anahubiri afu j3 yuko kikaon kupanga wizi wa kura!🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Typo na gwajima. Hatutaki machanjo wala mabarakoa. Vibara na makuwadi wa mabeberu mwacheni gwajima mtapata tabu sana
 
Back
Top Bottom