#COVID19 UVCCM: CCM imchukulie hatua Askofu Gwajima kwa kuhamasisha Watanzania kukataa chanjo ya Uviko-19
Sioni kwenye nchi hii wa kumpigia kura 2025 nahisi viongozi wote ni
vibaraka
 
Gwajima kaapa kuilinda legacy ya Mwendazake kulipa fadhila ya Ubunge aliopewa.

Hatakubali chochote kifanyike ambacho marehemu Mwendazake alikikataa ikiwemo na hili la chanjo.

Huyu ndiye kiongozi wa hili kundi la vigogo ndani ya CCM.
 
Hizo ni tuhuma zisizo kuwa na ukweli! Gwajima hawezi kuwa Rais 2025 hivi hivi!

Jamani Gwajima ametoa mawazo na maoni yake,hakuna anayelazimishwa kufuata maoni yake.

Una hiari ya kuchanjwa au kutochanjwa.

Kila mtu kikatiba ana haki ya kutoa maoni Ili mradi havunji sheria, gwajima hatoi maoni,anahamasisha boycott achukuliwe hatua kali
 
Hizo ni tuhuma zisizo kuwa na ukweli! Gwajima hawezi kuwa Rais 2025 hivi hivi!

Jamani Gwajima ametoa mawazo na maoni yake,hakuna anayelazimishwa kufuata maoni yake.

Una hiari ya kuchanjwa au kutochanjwa.

Kila mtu kikatiba ana haki ya kutoa maoni Ili mradi havunji sheria, gwajima hatoi maoni,anahamasisha boycott achukuliwe hatua kali
 
Habari!

Niliandika uzi kuwa mbunge wa Kawe ana nia ya kugombea Urais 2025. Na kwa mujibu wa mifumo ya CCM 2025 ni zamu yako tena Mh. Samia Suluhu kugombea Urais.

Huyu Gwajima mtu mwenye nguvu na mjanja sana, kavipiga vita vingi na kushinda. Usipojifunga kiume umdhibiti mapema huyu Askofu Gwajima atakuharibia njia na kukimegamega chama chenu nasi wapinzani tutashangilia maana huwenda tukapata mpenyo.
Kama vipi mpigeni risasi mbona kwa Tundu Lissu mliweza?
 
Habari!

Niliandika uzi kuwa mbunge wa Kawe ana nia ya kugombea Urais 2025. Na kwa mujibu wa mifumo ya CCM 2025 ni zamu yako tena Mh. Samia Suluhu kugombea Urais.

Huyu Gwajima mtu mwenye nguvu na mjanja sana, kavipiga vita vingi na kushinda. Usipojifunga kiume umdhibiti mapema huyu Askofu Gwajima atakuharibia njia na kukimegamega chama chenu nasi wapinzani tutashangilia maana huwenda tukapata mpenyo.
Ahahaha huu ndo ushauri?
Tutajua upinzani mnachotamani wamfukuze Gwajima mpate mgombea wa urais mwenye ushawishi mkubwa hasa Kanda ya ziwa,maana mmeshainyea kambi ya Kanda ya ziwa.

Nani asiyejua kuwa wapinzani wote wakubwa walitoka CCM baada ya mkanganyiko wa maamuzi kichama.
Mrema vs Mkapa
Slaa vs Kikwete
Lowassa vs Magufuli
Wote hawa walitoka CCM.

Sasa hivyi mnavizia Tena wavurugane mpate mgombea.
Kama Kuna kosa rais atajutia kulifanya ni kumdhibiti Gwajima ambaye wananchi wengi wamemuona Kama mtetezi wao,hasa baada kujitoa mhanga kwenye issue ya Corona.
 
Habari!

Niliandika uzi kuwa mbunge wa Kawe ana nia ya kugombea Urais 2025. Na kwa mujibu wa mifumo ya CCM 2025 ni zamu yako tena Mh. Samia Suluhu kugombea Urais.

Huyu Gwajima mtu mwenye nguvu na mjanja sana, kavipiga vita vingi na kushinda. Usipojifunga kiume umdhibiti mapema huyu Askofu Gwajima atakuharibia njia na kukimegamega chama chenu nasi wapinzani tutashangilia maana huwenda tukapata mpenyo.
Uongo uongo tu, umbea umbea tu, wiwvu wivu, huna lolote mzee baba
 
Hivi ndugu, unadhani Rais aliye madarakani kwa nchi kama Tanzania, anaweza poteza kiti chake kirahisi tu kama mtu anavyoweza ibiwa mke au mme? Hakuna mtu wa kumzuia Samia kuwa Rais 2025. Labda asigombee kwa utashi wake au awe mgonjwa.
 
Mshauri na njia ya kutumia ili kumdhibiti.

Binadamu tunaishi kisharishari tu, yaani kila kitu tunawaza kukomoana na kushindana kila wakati.

Matokeo yake watu kunyanyaswa bila sababu na kupoteza future za watu huku familia na watu wengine kuumia zaidi.

Hii ndiyo maana Tanzania hatuendelei kabisa.

Ubinafsi mwingi usio na wala sababu za msingi.
Njia ya kumdhibiti ni kama ile ya march 17 mbona rahisi tu
 
Kwa katiba hii ambayo Rais ana absolute power, Askofu Rashid akiwa Rais tushike mioyo yetu tu.

Ile kauli ya kugeuza Madrasah kuwa Sunday Schools itatimia.
 
Si rahisi mpinzani akatoa ushauri wa kukiimarisha chama kilichopo madarakani, ikitokea hivyo basi ushauri huo inatakiwa kuupitia kwa jicho la tatu.
 
Habari!

Niliandika uzi kuwa mbunge wa Kawe ana nia ya kugombea Urais 2025. Na kwa mujibu wa mifumo ya CCM 2025 ni zamu yako tena Mh. Samia Suluhu kugombea Urais.

Huyu Gwajima mtu mwenye nguvu na mjanja sana, kavipiga vita vingi na kushinda. Usipojifunga kiume umdhibiti mapema huyu Askofu Gwajima atakuharibia njia na kukimegamega chama chenu nasi wapinzani tutashangilia maana huwenda tukapata mpenyo.
Kwani lazima tuwe na Rais huyuhuyu? Kugombea Ni haki ya Kila Raia ,Cha msingi Kama Ana Sifa.
 
Habari!

Niliandika uzi kuwa mbunge wa Kawe ana nia ya kugombea Urais 2025. Na kwa mujibu wa mifumo ya CCM 2025 ni zamu yako tena Mh. Samia Suluhu kugombea Urais.

Huyu Gwajima mtu mwenye nguvu na mjanja sana, kavipiga vita vingi na kushinda. Usipojifunga kiume umdhibiti mapema huyu Askofu Gwajima atakuharibia njia na kukimegamega chama chenu nasi wapinzani tutashangilia maana huwenda tukapata mpenyo.
Kwani lazima tuwe na Rais huyuhuyu? Kugombea Ni haki ya Kila Raia ,Cha msingi Kama Ana Sifa.N
 
Back
Top Bottom