900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
anaenda to kule kama study tour hakuna la zaidiLissu aache ujinga,ninakumbuka wakati wa tetesi za kifo cha Magufuli alikuwa anaandika twits za kufurahia sana tena sana.Yaani hata asiende huko kujichoresha kwa jinsi alivyokuwa anamtukana Magufuli na jinsi alivyofurahia kifo chake waziwazi kabisa.Magufuli mwenyewe alitamka "Mtanikumbuka"Hata miaka mitatu haijatimia kweli tunamkumbuka na hata waliofurahia kifo chake wanamkumbuka.
Aahaaaaa,umefupisha thread ya Chakaza kwa mstari mmoja tuCcm na chadema wanagombea Magufuli.
Hao ni mbwa wa viongozi wa CCM,hufanya,hufikiri na hutenda kadili ya matakwa ya viongozi waoDaaaa!Binadamu omba Sana MWENYEZI Mungu akupe akili na utashi. Hawa Jamaa Uvccm akili hakuna na utashi hakuna
Kila goti litapigwa!Aahaaaaa,umefupisha thread ya Chakaza kwa mstari mmoja tu
Aahaaaaa,hongera mkuu
Uvccm hataki JPM azungumzwe na CHADEMA
JPM,ndo kete Bora Kwa mwanasiasa yeyote Kwa uchaguzi wa 2024 na 2025Kila goti litapigwa!
sawa wafu hawajui neno lolotePiga Pini
Piga Pini huyo mnafiki wa Ubelgiji π€£π€£π€£
Acha uongo wapi Lisu alifurahia kifo cha Magu?nyinyi wenyewe kwa wenyewe Msogagangi ndio mlifurahia na kufanya sherehe,wengine wakisema bahari imetulia wengine wakisema wazuri wanaishi milele,hawa mterahamwe hawana uweze wa kumzua Lisu kwenda chato hii nchi sio yao.Lissu aache ujinga,ninakumbuka wakati wa tetesi za kifo cha Magufuli alikuwa anaandika twits za kufurahia sana tena sana.Yaani hata asiende huko kujichoresha kwa jinsi alivyokuwa anamtukana Magufuli na jinsi alivyofurahia kifo chake waziwazi kabisa.Magufuli mwenyewe alitamka "Mtanikumbuka"Hata miaka mitatu haijatimia kweli tunamkumbuka na hata waliofurahia kifo chake wanamkumbuka.
Sikudhani unaweza kuwa hivi, something wrong somewhereMimi sikumpenda Magufuli na naamini Magufuli ndiye aliyetuma wale wasiojulikana kumshambulia Tundu Lissu.
Lakini sikubaliani na UNAFIKI wa Lissu wa kwenda kaburini kwa Magufuli kujipatia umaarufu. Lengo lake ni kuwapumbaza wajinga kuonyesha kuwa "anamthamini" Magufuli kwa kulinda raslimali za nchi. Kinyume na Samia ambaye anaonekana anazikabidhi kwa wageni.
UVCCM HOYEΓEE. zuia kabisa huyo mlemavu
NI wahuni snCCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. CCM haina tofauti na bokoharam.
watanzania wengi wenye akili timamu tulifurahia sana kufa kwa huyo kambale, except few idiots like youLissu aache ujinga,ninakumbuka wakati wa tetesi za kifo cha Magufuli alikuwa anaandika twits za kufurahia sana tena sana.Yaani hata asiende huko kujichoresha kwa jinsi alivyokuwa anamtukana Magufuli na jinsi alivyofurahia kifo chake waziwazi kabisa.Magufuli mwenyewe alitamka "Mtanikumbuka"Hata miaka mitatu haijatimia kweli tunamkumbuka na hata waliofurahia kifo chake wanamkumbuka.
Niseme tu mama Samia anapwaya sana, maana kila mtu kawa kambale
Kumekucha. Mbwa ukimzoea sana atakufata hadi msikitini.
Ndiyo yanayotokea Chato, umoja huo wa vijana Chato unatoa tamko bila hofu ya dola kuwa hawatakubali kuona Lissu anakanyaga Chato na watafanya lolote huku wakitumia jina la Rais Samia kama kinga ya uovu wao.
Najiuliza, hivi UVCCM wamefikia mahali pa kutangazia umma kuwa fulani aende wapi na wapi asiende Tanzania hii? Hivi hao wachovu wanauwezo wa kuwa zuia vijana wa CHADEMA kama wataamua kuwalinda viongozi wao au watategemea nguvu za dola?
Na serikali mbona iko kimya kwenye tamko la kihuni kama hili huku tayari uvunjifu wa amani na gari kuchomwa moto tayari? Bandari imeleta haya yote, naiona DAMU ikienda kumwagika maana hoja zimeshindwa kujibiwa.
Nyie ni nani acheni upuuzi la sivyo hata hao wapuuzi wanaowatuma nao tutawazuia kwenda sehemu zingine wabaki makwao tuu. Hii Tanzania kila mmoja anaweza kwenda popote.
Kumekucha. Mbwa ukimzoea sana atakufata hadi msikitini.
Ndiyo yanayotokea Chato, umoja huo wa vijana Chato unatoa tamko bila hofu ya dola kuwa hawatakubali kuona Lissu anakanyaga Chato na watafanya lolote huku wakitumia jina la Rais Samia kama kinga ya uovu wao.
Najiuliza, hivi UVCCM wamefikia mahali pa kutangazia umma kuwa fulani aende wapi na wapi asiende Tanzania hii? Hivi hao wachovu wanauwezo wa kuwa zuia vijana wa CHADEMA kama wataamua kuwalinda viongozi wao au watategemea nguvu za dola?
Na serikali mbona iko kimya kwenye tamko la kihuni kama hili huku tayari uvunjifu wa amani na gari kuchomwa moto tayari? Bandari imeleta haya yote, naiona DAMU ikienda kumwagika maana hoja zimeshindwa kujibiwa.
nadhani hawamjui Lissu hawa masikini
Kumekucha. Mbwa ukimzoea sana atakufata hadi msikitini.
Ndiyo yanayotokea Chato, umoja huo wa vijana Chato unatoa tamko bila hofu ya dola kuwa hawatakubali kuona Lissu anakanyaga Chato na watafanya lolote huku wakitumia jina la Rais Samia kama kinga ya uovu wao.
Najiuliza, hivi UVCCM wamefikia mahali pa kutangazia umma kuwa fulani aende wapi na wapi asiende Tanzania hii? Hivi hao wachovu wanauwezo wa kuwa zuia vijana wa CHADEMA kama wataamua kuwalinda viongozi wao au watategemea nguvu za dola?
Na serikali mbona iko kimya kwenye tamko la kihuni kama hili huku tayari uvunjifu wa amani na gari kuchomwa moto tayari? Bandari imeleta haya yote, naiona DAMU ikienda kumwagika maana hoja zimeshindwa kujibiwa.
Kwani Chato ni mali ya Magufuli ?Lisu alimtukana sana magufuli, alikuwa anamuita dikteta uchwara
Mavijana majinga haya!!. Imagine wanashindwa kuisimamia serikali na kutoa mapendekezo haswa kweny masuala ya kimikataba. Yanabaki kukaza mafuvu kwa mamb yasiyo na tija!!πππ
Kumekucha. Mbwa ukimzoea sana atakufata hadi msikitini.
Ndiyo yanayotokea Chato, umoja huo wa vijana Chato unatoa tamko bila hofu ya dola kuwa hawatakubali kuona Lissu anakanyaga Chato na watafanya lolote huku wakitumia jina la Rais Samia kama kinga ya uovu wao.
Najiuliza, hivi UVCCM wamefikia mahali pa kutangazia umma kuwa fulani aende wapi na wapi asiende Tanzania hii? Hivi hao wachovu wanauwezo wa kuwa zuia vijana wa CHADEMA kama wataamua kuwalinda viongozi wao au watategemea nguvu za dola?
Na serikali mbona iko kimya kwenye tamko la kihuni kama hili huku tayari uvunjifu wa amani na gari kuchomwa moto tayari? Bandari imeleta haya yote, naiona DAMU ikienda kumwagika maana hoja zimeshindwa kujibiwa.
Ha ha ha ha daah umenikumbusha wapi sijui ??Nimecheka sana