Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPO NDIO MNAAHARIBU,MNAMPA NGUVU
Hata hiyo kwao wanaona haiwapi ulinzi wa kutosha kama hii iliyopo sasa...lakini CCM wana katiba pendekezwa waliyoipitisha.
..nashangaa kwanini hawaipigii chapuo katiba hiyo.
Hata hiyo kwao wanaona haiwapi ulinzi wa kutosha kama hii iliyopo sasa.
Hawa wapuuzi safari hii wasiachwe wakitamba. Wasipodhibitiwa safari hii, wataendelea kuiumiza nchi hii.
Vidomodomo hivi ni lazima safari hii vikatwe kabla havijaanza tena kutupeleka alikotufikisha Magufuli.
Wanaifanya nchi hii kama ni ya kwao peke yao?
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
kweli tanzania ni "Banana Republic"; huyu anaonekana IQ chini ya 60, itakuwaje awe kiongozi? Only in banana republic; safari ni ndefu.
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.