UVCCM yenye kujenga hoja zenye mashiko iliisha enzi za kina EL, JK wakaiwa vijana wadadisi, ambao nao walirithi toka kwa kina Samweli Sita ambao hadi mwalimu akawacharaza viboko pale mlimani.
Hii UVCCM ya sasa ni mipasho mitupu, nyepesi saana na hii ni habari mbaya sana kwa ustawi wa CCM mbeleni.
Hii UVCCM ya sasa ni mipasho mitupu, nyepesi saana na hii ni habari mbaya sana kwa ustawi wa CCM mbeleni.