UVCCM wamtaka Lissu aachane na hoja ya Katiba Mpya. Wamuonya asithubutu kurudi nyumbani na kuongoza maandamano

UVCCM wamtaka Lissu aachane na hoja ya Katiba Mpya. Wamuonya asithubutu kurudi nyumbani na kuongoza maandamano

..hivyo vidomodomo unavikata vipi wakati wana polisi, usalama, na mahakama, nyuma yao?

..mimi wasiwasi wangu ni kwamba hawa ndio wameandaliwa kushika uongozi.

..Ni vijana wa ajabu sana. Kuna mwingine nimekutana naye humu JF hata kuandika jina la Magufuli hajui anaandika " Maghufuri." 🤣
Mkuu 'JokaKuu',

Nikwambie bila shaka kabisa moyoni mwangu: Hapajawahi kuwa na fursa (nafasi) ya kuiondoa madarakani kama iliyopo sasa hivi.

CCM is at its lowest level, at this point than it has ever been, even during Kikwete's regime.

Hivyo vyombo unavyovitaja hapo juu, wewe bado unaviangalia kwa jicho lilelile ulivyoviangalia wakati wa Magufuli. Hiyo imekwishapita.

Ndiyo maana nasema, kuna umuhimu mkubwa sana wa kutoruhusu waji'group' tena na kuanza tena yale yale tuliyoyashuhudia wakati wa Magufuli.
 
Chadema mlikuwa mnachukia bure JPM na kuwaunga mkono janjawid, mnafikiri hao CCM wako tayari kuona wanapokonywa tonge mdomoni kupitia uchaguzi? Thubutu mmekosea sana kuwaunga mkono mahasimu wa JPM hamtakuja kupota sehemu yoyote ya kuwasemea wananchi kwa sasa msahau hao sio watu wazuri kabisa
Mwenye uwezo wa kuwasemea wananchi ni Mungu wala si mwanadamu,Magufuri hakuwa mtetezi wa wanyonge kama alivyojinadi bali alitumia mwanya huo kuwalaghai wajinga wengi wa Tanzania likiwemo kabila lake kujipa umaarufu ambao baadaye umegharimu maisha yake na kabila lake kwa ujumla.
 
CHADEMA wanaungana na CCM walamba asali kukandia Jina Magufuli. Hapa wameonywa na wenye chama wapunguze shobo wamenuna tena. Nyumbu kwelikweli.
 
Msemaji mwenyewe wa ccm katoa macho Kama kabanwa na kitu hovyo kabisa
 
Yaani Tanzania imejaa wajinga wa aina hii. Hawawezi kula bila kulamba viatu! Loh! Siku Samia akiruhusu Katiba mpya, wataandamana kuunga mkono!!
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.

..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.

 
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.

..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.

Hili kundi la uvcc m ni hatari sana kwa wakosoaji wa serikli ya ccm.

Inabidi mama Samia aliyupie jicho la pili maana litamkwamisha kwenye kuliunganisha taifa.
 
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.

..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.


Wapumbavu hawa UVCCM, hawa tunatarajia ndio wajibu mapigo wapambane kwa hoja then wanaleta ukibwengo wa aina hii, akili zao ni makopo tupu
 
Hawa ndiyo watu wakuondoa ili tusirudi kwenye ushenzi tuliko toka.
 
Ajiangalie isijekuta ni SAMIA ndio kampa Lissu green button, alafu yeye analopoka lopoka hapo-itakula kwake.
 
kweli tanzania ni "Banana Republic"; huyu anaonekana IQ chini ya 60, itakuwaje awe kiongozi? Only in banana republic; safari ni ndefu.
Mkuu, jibu hulioni katika muonekano wake tu?

Mwangalie vizuri alivyovimbiana sehemu zote za mwili wake.

Wewe unadhani kuvimbiana huko kunapatikana kirahisi?

Jinsi alivyo huyo, na kutokana na kujifunua kwake kuhusu uwezo wake kiakili, ni ajira gani anayoweza kuifanya mtu kama huyu ili aishi maisha anayoishi sasa hivi chini ya mwamvuli wa CCM?
Ukiondoa mwamvuli huo, huyu mtu hana popote pa kwenda.
 
Mimi CCM long time.
Hao mapimbi wa UVCCM hawajui kuwa maadui wao na jamii nzima ni ujinga, umasikini na maradhi.
Adui si mtanzania mwenzenu.
Pole sana mkuu wangu 'Masopa'.

Amina au usiamini, sasa hivi adui mkubwa kuliko adui wote tuliowahi kupambana nao hapa kwetu ni CCM ya sasa.

Kwa bahati mbaya sana, mliomo humo nanyi mmekumbwa kuwa mateka hata kama si kwa utashi wenu.
 
Wenzako wakisema hayana msingi.
Ila wewe ukisema unaona yanamsingi.
Vijana wa Uvccm kabla hamjatoa press za kuchamba fanyeni utafiti mitaani kwanza.mnawapa kick upande wa pili bila sababu.
 
Back
Top Bottom