Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hofu yao kuu ni hii hapa:
😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu yao kuu ni hii hapa:
Uvccm ndio kitu gani?..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
Four Four Fight For Food For Four years.Uvccm wengi ni form four failure, au degree holder third class ya social work, wengi ni zero kichwani.
Alijenga heshima kwa watanzania..marehemu si alikuwa madarakani kwa miaka 6?
..je, alijenga siasa za haki, utu, na kuheshimiana?
Kwani katiba mpya ni tatizo?
Alijenga heshima kwa watanzania
Uvccm ndio kitu gani?
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
NJE YA MADASi Lisu wala dereva wake ambaye yuko tayari kutoa ushirikiano, yani amepigwa risasi yeye lakini anataka wakahojiwe watu wengine. Jinga kabisa
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
Mkuu unahangaika bure. Fata ushauri wa zito ukalale kwa amani.Si Lisu wala dereva wake ambaye yuko tayari kutoa ushirikiano, yani amepigwa risasi yeye lakini anataka wakahojiwe watu wengine. Jinga kabisa
Wanasubiri Mama atasemaje waje waibuke kama mizuka🤣🤣Uvccm hawana akili tu,
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
Uhuru wa kujieleza upo ila ni nyinyi wenyewe hamtaki kuutumia.Tundu Lissu ni kaa la moto huko CCM, Kheri James alisema atamchoma sindano yenye sumu.
Uhuru wa Watanzania kujieleza umekwenda wapi?
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
Hiki kichwa cha kuku amevaa binadamu?Kwani katiba mpya ni tatizo?
..Sikilizeni hoja za UV-CCM kuhusu katiba mpya.
..UV-CCM sijui wamepatwa na nini kwa kweli.
Chadema mlikuwa mnachukia bure JPM na kuwaunga mkono janjawid, mnafikiri hao CCM wako tayari kuona wanapokonywa tonge mdomoni kupitia uchaguzi? Thubutu mmekosea sana kuwaunga mkono mahasimu wa JPM hamtakuja kupota sehemu yoyote ya kuwasemea wananchi kwa sasa msahau hao sio watu wazuri kabisa
akina musiba wengine haoHata hiyo kwao wanaona haiwapi ulinzi wa kutosha kama hii iliyopo sasa.
Hawa wapuuzi safari hii wasiachwe wakitamba. Wasipodhibitiwa safari hii, wataendelea kuiumiza nchi hii.
Vidomodomo hivi ni lazima safari hii vikatwe kabla havijaanza tena kutupeleka alikotufikisha Magufuli.
Wanaifanya nchi hii kama ni ya kwao peke yao?