Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Hawa Marais wenye elimu akhera huwa hawajilimbikizii mali, wao wanajua hazina inawekwa akhera.Mama mcha Mungu hapendagi unafiki wa kikolomije...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Marais wenye elimu akhera huwa hawajilimbikizii mali, wao wanajua hazina inawekwa akhera.Mama mcha Mungu hapendagi unafiki wa kikolomije...
Mwendazake alikuwa anadhani Tanzania ni Chattle... sasa yale majengo ya eapoti tukafugie ng'ombe?Hawa Marais wenye elimu akhera huwa hawajilimbikizii mali, wao wanajua hazina inawekwa akhera.
K Vant ntalipia mimiMwambie Mama Samia aagize Novida nakuja kulipa.
Huyu Mama akisema anamuogopa Mungu nitamuamini, Kuliko yule mtangulizi wake.Hawa Marais wenye elimu akhera huwa hawajilimbikizii mali, wao wanajua hazina inawekwa akhera.
Eti unanipa robo saa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji2960]
Hatimaye kila lenye mwanzo halikosi mwishoHivi naskia huyu mdogo wake na Ditto James!!!
Kina roho ya uuaji hiki kijamaa
Wasukuma tutaanika michembe yetu pale...Mwendazake alikuwa anadhani Tanzania ni Chattle... sasa yale majengo ya eapoti tukafugie ng'ombe?
Novida sio nzuri mtafutie Sharbati.😉Mwambie Mama Samia aagize Novida nakuja kulipa.
Tangu Madam ale kiapo taifa lina 'family feeling' ndio maana wale 'machokoraa' wanatafuta namna ya kujirudi.
Waliomuuwa mawazo wameshahukumiwa.Mlivyo muua Kamanda Mawazo kinyama namna ile na wenginaeo weeengiiiii.... Na mkajeruhi wengi sana.
UVCCM mmetutesa sana.
Rais lazima aunde tume kama jina lake SULUHU/MARIDHIANO. Kama kweli tunataka kuponya nchi na tuwe wamoja tena.
Nchi imeparaganyika sana hii.
Msamaha hauji tu kwa kutweet, .
Waliomuuwa mawazo wameshahukumiwa.Mlivyo muua Kamanda Mawazo kinyama namna ile na wenginaeo weeengiiiii.... Na mkajeruhi wengi sana.
UVCCM mmetutesa sana.
Rais lazima aunde tume kama jina lake SULUHU/MARIDHIANO. Kama kweli tunataka kuponya nchi na tuwe wamoja tena.
Nchi imeparaganyika sana hii.
Msamaha hauji tu kwa kutweet, .
Dogo alikuwa na nyodo sana.
Sa hivi zam ya wapemba.
Dogo atulizane
Tatizo ni dogo alitoka "mwembe sangara" akajikuta maghorofani akajisahaulisha alikotoka...